Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Unaweza kuta ni grade 3A lakini ana degree watu wanajiendeleza wanakuwa na malengo yao, asingeweza kuteuliwa kuwa DC. Na ndugu yangu ana masters ni trafic amekataa kupeleka vyeti polisi anaogopa ataondolewa barabarani ni zaidi ya miaka 3 sasa hatakiCWT ni laana!!
Walimu wapo darasani wana Masters kiongozi wao mkuu kama Katibu mkuu ni form four grade 3A?
Tena anateuliwa kuwa mkuu wa Wilaya akaringa!!