Karugendo aonya: Acheni kumchafua Bashiru

Mdogo Mdogo tutafika. Mafao mafao yetu...mifuko ya jamii imefilisika
 
📌📌📌📌📌
 
Manung'uniko ya Watanzania kama ni ya kweli uwa yanaleta athari, tujitahidi kuepuka kuwatetea wanaowaumiza watu wengi ili tuweze kuishi salama na kwa amani.
 
Ukiwatetea wachafu HUTOBOI kamwe. Wapi Padri Karugendo?
 
Huyu alifukuzwa upadri baada ya kula waumini.

Bashiru waa kipindi ya JK ni tofauti na wa kipindi cha meko.
Karugendo apige kimya
Takukuru wakipeleka report ya bOt ajue kabis Bashiru anaenda lock up
Ripoto ya CAG imeshatoka!
Sasa atapekekwa 'lock up' ipi na kwa tuhuma zipi!?
 
Ninazo huko zaidi ya m60 PSSSF

na 16 NSSF

Niache brother.
Hawa watu watuelewe tu vile we feel nothing kwa maumivu yao.
Yani umenitonesha kidonda.
PSSSF?

Hovyo tu hao jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…