nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Kundi la jiwe mmepoteana Sasa mmeanza kutetea weziMwenye uhakika kuwa Bashiru kachukua pesa aende mahakamani , Raisi kasema hazina ichunguzwe , tusubiri majibu ...kama atakuwa anatuhuma it is Okey awajibishwe , kama hajachukua basi hekima ya Raisi itende vyema ....kumtuhumu mtu bila Ushahidi ni ujuha mwingine