Karugendo aonya: Acheni kumchafua Bashiru

Karugendo aonya: Acheni kumchafua Bashiru

Mbona anaongea 'kinganga njaa' kama waganga njaa wengine
 
Mhaya anamtetea mhaya mwenzake..

Tayari hapa kuna ukabila, Karugendo afunge domo lake kashindwa kanisa kaanza kula waumini, kaoa, sasa kaanza siasa, siasa yenyewe hafai, hajui.. Akae kimya.

Kwani vyombo vya uchunguzi si vipo, wasiwasi wa nini?
 
Kama yeye Karugendo anashirikiana na wezi na mafisadi ni kwa upande wake yeye, sisi asituambie huo upuuzi
Kama una ushahidi wa huo wizi jitokeze hadhalani uupeleke mahakamani wacha kujificha na kuchafua watu.
 
Mwenye uhakika kuwa Bashiru kachukua pesa aende mahakamani, Rais kasema hazina ichunguzwe, tusubiri majibu... kama atakuwa ana tuhuma it is Okey awajibishwe, kama hajachukua basi hekima ya Rais itende vyema ....kumtuhumu mtu bila Ushahidi ni ujuha mwingine
🖐🖐
 
Kuna wimbi la kutaka kumchafua Katibu Mkuu Kiongozi Dr. Bashiru.

Kimsingi hakuna ushahidi wa moja kwa moja kuhusika kwa Dr.Bashiru na wizi wowote uliofanyika kama upo kweli.

Nakuomba sana Mh. Rais usikurupuke kuchukua maamuzi yeyote kwa Chief Secretary bila kufanya uchunguzi wa kina maana naona propaganda zinaanza tena nchi hii.
 
Kuna wimbi la kutaka kumchafua Katibu Mkuu Kiongozi Dr.Bashiru likiongozwa na mtu anayejiita Kigogo 2014 huko tweeter.

Kimsingi hakuna ushahidi wa moja kwa moja kuhusika kwa Dr.Bashiru na wizi wowote uliofanyika kama upo kweli. Nakuomba sana Mh.Rais usikurupuke kuchukua maamuzi yeyote kwa Chief Secretary bila kufanya uchunguzi wa kina.maana naona propaganda zinaanza tena nchi hii.
Kama alishindwa kuishi matamshi yake,tumuamini kwa lipi labda? hana msimamo yuko cheap sana!!
 
Kuna wimbi la kutaka kumchafua Katibu Mkuu Kiongozi Dr. Bashiru likiongozwa na mtu anayejiita Kigogo 2014 huko tweeter.

Kimsingi hakuna ushahidi wa moja kwa moja kuhusika kwa Dr.Bashiru na wizi wowote uliofanyika kama upo kweli. Nakuomba sana Mh. Rais usikurupuke kuchukua maamuzi yeyote kwa Chief Secretary bila kufanya uchunguzi wa kina maana naona propaganda zinaanza tena nchi hii.
Kwahiyo unataka kutuambia mwizi ni nani? Au na wewe umeamua tu kujitoa akili kama ulivyo?
 
Mm kwa kweli wanasiasa kuwaamini hua siwaamini sana niko 50/50.Inawezekana kweli kapiga ama anachafulia.Mleta mada pia acha achunguzwe sio na ww unakuja kumsafisha huku hujui chochote ..au ww ndo bashiru mwenyewe,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna wimbi la kutaka kumchafua Katibu Mkuu Kiongozi Dr. Bashiru.

Kimsingi hakuna ushahidi wa moja kwa moja kuhusika kwa Dr.Bashiru na wizi wowote uliofanyika kama upo kweli. Nakuomba sana Mh. Rais usikurupuke kuchukua maamuzi yeyote kwa Chief Secretary bila kufanya uchunguzi wa kina maana naona propaganda zinaanza tena nchi hii.
Kama amekutuma kumtetea mwambie apambane na hali yake
 
Kuhusu wa bandari umesikia au bado kama aliweza kusimamia mitambo haramu ya uchaguzi atashindwaje kuiba hela
 
Mm kwa kweli wanasiasa kuwaamini hua siwaamini sana niko 50/50.Inawezekana kweli kapiga ama anachafulia.Mleta mada pia acha achunguzwe sio na ww unakuja kumsafisha huku hujui chochote ..au ww ndo bashiru mwenyewe,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bahati nzuri Bashiru mwenyewe hajawahi kukanusha
 
Rais anajua taratibu na atafanya kadri ya ukweli wa mambo
 
Back
Top Bottom