KASARANI, KENYA: Yaliyojiri Sherehe za kuapishwa Rais mteule, Uhuru Kenyatta na William Ruto

KASARANI, KENYA: Yaliyojiri Sherehe za kuapishwa Rais mteule, Uhuru Kenyatta na William Ruto

45630ba1d41e1a9c20bc104b84f4f016.jpg

Makamu akiwasili kenya
 
Magufuluuu hawezi kwenda wakenya wanaweza mpiga risasi afie mbaliii
 
Fourth largest city in Africa...Nairo...malilizia ili povu ikutoke.
largest? does that warrant comparing it to London? only Harare can compare to London if we skip Durban, and Pretoria, Johannesburg. Nairobi features the largest slum in the world, Kibera
 
largest? does that warrant comparing it to London? only Harare can compare to London if we skip Durban, and Pretoria, Johannesburg. Nairobi features the largest slum in the world, Kibera
Nyerere said it am just a messenger.
 
Kama ambavyo wengi wetu mnavyofuatilia sherehe za kuapishwa kwa rais Uhuru.

kuna kitu cha kutia moyo kinaendelea kwa Mc mkuu wa shughuli nzima kumtajataja mara kwa mara Mh Lowasa, kuwa anatambua uwepo wake huku camera nyingi zikielekezwa kwa mh Lowasa mara kwa mara kuliko mgeni yeyote yule je hii inaleta picha gani katika medani za siasa.......
 
Laigwanannnn weweeeeeee.....
Vp mama s hajatajwaaaaa

Ova
 
Kama ambavyo wengi wetu mnavyofuatilia sherehe za kuapishwa kwa rais Uhuru.

kuna kitu cha kutia moyo kinaendelea kwa Mc mkuu wa shughuli nzima kumtajataja mara kwa mara Mh Lowasa, kuwa anatambua uwepo wake huku camera nyingi zikielekezwa kwa mh Lowasa mara kwa mara kuliko mgeni yeyote yule je hii inaleta picha gani katika medani za siasa.......
Ni ushamba tu wa wakenya eti wanamtambulisha kama Kiongozi mkuu wa upinzani Tanzania sasa sijui Mbowe ni nani?
 
Back
Top Bottom