falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
wadau wanasema lugha, sasa sijui wanamaana ganiHivi jombaaa kwa nini amekacha kwenda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wadau wanasema lugha, sasa sijui wanamaana ganiHivi jombaaa kwa nini amekacha kwenda?
Ni ushamba tu wa wakenya eti wanamtambulisha kama Kiongozi mkuu wa upinzani Tanzania sasa sijui Mbowe ni nani?
Eh ....jamaa hajaenda!!!!Hivi jombaaa kwa nini amekacha kwenda?
kwanini husemi atajwe tajwe mama samiaNi ushamba tu wa wakenya eti wanamtambulisha kama Kiongozi mkuu wa upinzani Tanzania sasa sijui Mbowe ni nani?
Wewe umeshachomoa?Ikikuuma chomoa
Mbona hata Lungu hatajwi tajwi?kwanini husemi atajwe tajwe mama samia
Kama ambavyo wengi wetu mnavyofuatilia sherehe za kuapishwa kwa rais Uhuru.
kuna kitu cha kutia moyo kinaendelea kwa Mc mkuu wa shughuli nzima kumtajataja mara kwa mara Mh Lowasa, kuwa anatambua uwepo wake huku camera nyingi zikielekezwa kwa mh Lowasa mara kwa mara kuliko mgeni yeyote yule je hii inaleta picha gani katika medani za siasa.......
Ulitegemea lipi baada ya kunadi ngombe wa jirani na kuchoma vifaranga.Tayari asha Dodge! Huyu mzee sijui ana nini yaan
Wewe umeshachomoa?
wasingemtaja uwepo wake ingeleta picha gani!Kama ambavyo wengi wetu mnavyofuatilia sherehe za kuapishwa kwa rais Uhuru.
kuna kitu cha kutia moyo kinaendelea kwa Mc mkuu wa shughuli nzima kumtajataja mara kwa mara Mh Lowasa, kuwa anatambua uwepo wake huku camera nyingi zikielekezwa kwa mh Lowasa mara kwa mara kuliko mgeni yeyote yule je hii inaleta picha gani katika medani za siasa.......
Ni ushamba tu wa wakenya eti wanamtambulisha kama Kiongozi mkuu wa upinzani Tanzania sasa sijui Mbowe ni nani?
Ndio kazi mnayomfanyia Mbowe hapo UfipaHaikuhusu wewe wakatie viuno wanaume wenzio wakubokoe.
Wazazi wako uliwaona siku ile? Au bado unawafuatilia!!Nasubiri uichomoe ikikuuma