KASARANI, KENYA: Yaliyojiri Sherehe za kuapishwa Rais mteule, Uhuru Kenyatta na William Ruto

Kwakweli Kiburi hakijengi.... Kiburi cha Magufuli kitatucost!! Kagame ni dictator lakini hana Kiburi that's why Rwanda inapaa!!

Kenya ni creative na hawana Kiburi sababu wanatafuta na hii itawasaidia sana!!

Wacha sisi tule jeuri ya Magu
Ficha Huo ujinga wako
kila nchi inautaratibu wake
na Hatufanyi kisa fulani kafanya
Never
 
Asante Uhuru, tupo njian twaja kuunga mkono juhudi za kimaendeleo barani Africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…