Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafiti wa Kichini chini Ulifanywa Karibu Mikoa Yote Ya Tanzania Bara na Visiwani na Ikajulikana Kuwa ktk Kila WENDAWAZIMU 15 Unaokutana Nao 14 ni Mashabiki Wakubwa na Wanazi wa Yanga na Wa Pili Ulifanyika Ni Kuangalia Kati Ya Mashabiki Wa Simba na Yanga Wepi ndiyo Wana IQ Nzuri na Kubwa na Wasomi Wa Ukweli Ikajulikana Kuwa ni Mashabiki wa Simba na Mwisho Ulifanyika Ushabiki wa Timu gani Inaongoza Kuwa na Mashabiki na Wanachama Matajiri Kuliko Nyingine Jibu Likawa ni Timu Ya Simba. Sasa Kwa Matokeo tu Ya Utafiti Huo wa Chini Chini Uliofanywa na Taasisi Moja Maarufu Jina Linahifadhiwa ili (KUEPUSHA KUVULIWA KOFIA NA WAZEE WASHIRIKINA NA WACHAWI WANAOGANGA NJAA PALE KLABUNI NA KUISHIA TU KUOMBA HELA KWA WACHEZAJI NA VIONGOZI) Sishangai Kwa Yanga Kumsajili Tena Golikipa Ambaye ni MLA RUSHWA MKUBWA HAPA NCHINI ambaye Kazi Yake ni Kuoa na Kisha Watoto wa Mjini WANAMGONGEA TU KAMA HAWANA AKILI NZURI. Na Hizo Hela Alizopewa Mwambieni Ampelekee Pia na Demu Wake Mtoto wa Mchungaji Anayeishi Kawe ambaye Kila Kukicha Anaumwa tu Kisichojulikana na Mwili Wake UNAKONGOROKA Siku hadi Siku. Muda Wowote Barthez Anarudi Kundini Nyumbani!
Utafiti wa Kichini chini Ulifanywa Karibu Mikoa Yote Ya Tanzania Bara na Visiwani na Ikajulikana Kuwa ktk Kila WENDAWAZIMU 15 Unaokutana Nao 14 ni Mashabiki Wakubwa na Wanazi wa Yanga na Wa Pili Ulifanyika Ni Kuangalia Kati Ya Mashabiki Wa Simba na Yanga Wepi ndiyo Wana IQ Nzuri na Kubwa na Wasomi Wa Ukweli Ikajulikana Kuwa ni Mashabiki wa Simba na Mwisho Ulifanyika Ushabiki wa Timu gani Inaongoza Kuwa na Mashabiki na Wanachama Matajiri Kuliko Nyingine Jibu Likawa ni Timu Ya Simba. Sasa Kwa Matokeo tu Ya Utafiti Huo wa Chini Chini Uliofanywa na Taasisi Moja Maarufu Jina Linahifadhiwa ili (KUEPUSHA KUVULIWA KOFIA NA WAZEE WASHIRIKINA NA WACHAWI WANAOGANGA NJAA PALE KLABUNI NA KUISHIA TU KUOMBA HELA KWA WACHEZAJI NA VIONGOZI) Sishangai Kwa Yanga Kumsajili Tena Golikipa Ambaye ni MLA RUSHWA MKUBWA HAPA NCHINI ambaye Kazi Yake ni Kuoa na Kisha Watoto wa Mjini WANAMGONGEA TU KAMA HAWANA AKILI NZURI. Na Hizo Hela Alizopewa Mwambieni Ampelekee Pia na Demu Wake Mtoto wa Mchungaji Anayeishi Kawe ambaye Kila Kukicha Anaumwa tu Kisichojulikana na Mwili Wake UNAKONGOROKA Siku hadi Siku. Muda Wowote Barthez Anarudi Kundini Nyumbani!
Nakubaliana na wewe kwa sababu: 1. Si taabu hata kidogo kwa mashabiki wasomi na wenye IQ wa Simba kuelewa kwamba fedha za kuuzia Okwi, Ochan, Samata, na Kazimoto hazijatafunwa. Wangekuwa ni Yanga ndiyo waliyowauza, ungeona iwendawazimu wao. 2. Jinsi walivyo na akili, ilimchukua Rage dakika chache tu kumaliza kikao walichokisubiri kwa hamu ili wamn'goe. Alochofanya ni kuwakumbusha tu kwamba yeye ni mbunge na anaendeshwa na dereva, wasomi wale wa IQ kubwa wakafahamu sawia. Sidhani kama mbumbumbu wa Yanga wangemwelewa. 3. Jinsi Simba ilivyo na viongozi matajiri, wamemkatia tiketi kocha waliyemtupia virago Lewis mara tatu kuja kummalizia vihela vyake mbuzi vya kumkatishia mkataba. Bado anasubiri. 4. Jinsi walivyo na akili timamu, waliweza kubaini mwanzoni tu mwa msimu huu kwamba Kaseja ameshuka kiwango, na baada ya kufungwa mfululizo mechi za Taifa Stars akiwa bila ya klabu, wakabaini kiwango chake kimesharejea na kuanza taratibu za kumsajili. Hilo ndilo lililowaamsha viongozi mbumbubuya Yanga kwamba Kaseja anafaa na kam kama kawaida yao, wakakurupuka kumsajili. 5. Jinsi walivyo na akili timamu, waliiagiza timu yao itangulie kufungwa 3-0 makusudi siku ya mechi ya Yanga, na baadaye kurejesha yote ili kwao iwe ni furaha zaidi kuliko hata kushinda kabisa. Lakini wakashindwa kuamua kurejesha goli moja siku ya Azam wala kutangulia wao lwa matatu siku ya Kagera, wakaishia na sare. 6. Jinsi walivyo na akili timamu, wanaamini kwamba kocha wa Timu yao B ana uwezo zaidi kuliko wa Timu A, lakini wanaridhika wabaki hivyohivyo ili kila mchezaji wa A akishuka kiwango, kocha wa B atumike kukirejesha.Utafiti wa Kichini chini Ulifanywa Karibu Mikoa Yote Ya Tanzania Bara na Visiwani na Ikajulikana Kuwa ktk Kila WENDAWAZIMU 15 Unaokutana Nao 14 ni Mashabiki Wakubwa na Wanazi wa Yanga na Wa Pili Ulifanyika Ni Kuangalia Kati Ya Mashabiki Wa Simba na Yanga Wepi ndiyo Wana IQ Nzuri na Kubwa na Wasomi Wa Ukweli Ikajulikana Kuwa ni Mashabiki wa Simba na Mwisho Ulifanyika Ushabiki wa Timu gani Inaongoza Kuwa na Mashabiki na Wanachama Matajiri Kuliko Nyingine Jibu Likawa ni Timu Ya Simba. Sasa Kwa Matokeo tu Ya Utafiti Huo wa Chini Chini Uliofanywa na Taasisi Moja Maarufu Jina Linahifadhiwa ili (KUEPUSHA KUVULIWA KOFIA NA WAZEE WASHIRIKINA NA WACHAWI WANAOGANGA NJAA PALE KLABUNI NA KUISHIA TU KUOMBA HELA KWA WACHEZAJI NA VIONGOZI) Sishangai Kwa Yanga Kumsajili Tena Golikipa Ambaye ni MLA RUSHWA MKUBWA HAPA NCHINI ambaye Kazi Yake ni Kuoa na Kisha Watoto wa Mjini WANAMGONGEA TU KAMA HAWANA AKILI NZURI. Na Hizo Hela Alizopewa Mwambieni Ampelekee Pia na Demu Wake Mtoto wa Mchungaji Anayeishi Kawe ambaye Kila Kukicha Anaumwa tu Kisichojulikana na Mwili Wake UNAKONGOROKA Siku hadi Siku. Muda Wowote Barthez Anarudi Kundini Nyumbani!
dah! Mpira wa bongo, kizungumkuti 40mill..??????
Naukumbuka sana huu utafiti.Utafiti wa Kichini chini Ulifanywa Karibu Mikoa Yote Ya Tanzania Bara na Visiwani na Ikajulikana Kuwa ktk Kila WENDAWAZIMU 15 Unaokutana Nao 14 ni Mashabiki Wakubwa na Wanazi wa Yanga na Wa Pili Ulifanyika Ni Kuangalia Kati Ya Mashabiki Wa Simba na Yanga Wepi ndiyo Wana IQ Nzuri na Kubwa na Wasomi Wa Ukweli Ikajulikana Kuwa ni Mashabiki wa Simba na Mwisho Ulifanyika Ushabiki wa Timu gani Inaongoza Kuwa na Mashabiki na Wanachama Matajiri Kuliko Nyingine Jibu Likawa ni Timu Ya Simba. Sasa Kwa Matokeo tu Ya Utafiti Huo wa Chini Chini Uliofanywa na Taasisi Moja Maarufu Jina Linahifadhiwa ili (KUEPUSHA KUVULIWA KOFIA NA WAZEE WASHIRIKINA NA WACHAWI WANAOGANGA NJAA PALE KLABUNI NA KUISHIA TU KUOMBA HELA KWA WACHEZAJI NA VIONGOZI) Sishangai Kwa Yanga Kumsajili Tena Golikipa Ambaye ni MLA RUSHWA MKUBWA HAPA NCHINI ambaye Kazi Yake ni Kuoa na Kisha Watoto wa Mjini WANAMGONGEA TU KAMA HAWANA AKILI NZURI. Na Hizo Hela Alizopewa Mwambieni Ampelekee Pia na Demu Wake Mtoto wa Mchungaji Anayeishi Kawe ambaye Kila Kukicha Anaumwa tu Kisichojulikana na Mwili Wake UNAKONGOROKA Siku hadi Siku. Muda Wowote Barthez Anarudi Kundini Nyumbani!
Yanga nia yao si mashindano ya kimataifa tu bali pia wamewahi SIMBA ili wasimpate.
Utafiti wa Kichini chini Ulifanywa Karibu Mikoa Yote Ya Tanzania Bara na Visiwani na Ikajulikana Kuwa ktk Kila WENDAWAZIMU 15 Unaokutana Nao 14 ni Mashabiki Wakubwa na Wanazi wa Yanga na Wa Pili Ulifanyika Ni Kuangalia Kati Ya Mashabiki Wa Simba na Yanga Wepi ndiyo Wana IQ Nzuri na Kubwa na Wasomi Wa Ukweli Ikajulikana Kuwa ni Mashabiki wa Simba na Mwisho Ulifanyika Ushabiki wa Timu gani Inaongoza Kuwa na Mashabiki na Wanachama Matajiri Kuliko Nyingine Jibu Likawa ni Timu Ya Simba. Sasa Kwa Matokeo tu Ya Utafiti Huo wa Chini Chini Uliofanywa na Taasisi Moja Maarufu Jina Linahifadhiwa ili (KUEPUSHA KUVULIWA KOFIA NA WAZEE WASHIRIKINA NA WACHAWI WANAOGANGA NJAA PALE KLABUNI NA KUISHIA TU KUOMBA HELA KWA WACHEZAJI NA VIONGOZI) Sishangai Kwa Yanga Kumsajili Tena Golikipa Ambaye ni MLA RUSHWA MKUBWA HAPA NCHINI ambaye Kazi Yake ni Kuoa na Kisha Watoto wa Mjini WANAMGONGEA TU KAMA HAWANA AKILI NZURI. Na Hizo Hela Alizopewa Mwambieni Ampelekee Pia na Demu Wake Mtoto wa Mchungaji Anayeishi Kawe ambaye Kila Kukicha Anaumwa tu Kisichojulikana na Mwili Wake UNAKONGOROKA Siku hadi Siku. Muda Wowote Barthez Anarudi Kundini Nyumbani!
mkuu, mm nimekereka sana yan, kupita maelezo!
Yanga kati ya mambo ya kipyyzi waliyowahi kufanya hili ndo la kwanza, pumbav.u kweli uongozi wa manji,. Bora nibaki na watoto wa home mbeya city