Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Sambi sao venyewe......Swela ela
Kwa hiyo ?Hii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda
Tembeeni vifua mbere ๐
Inatusaidia nini kama Watanzania.Hii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda
Tembeeni vifua mbere ๐
Hicho ndicho mlichobakiza waafrika. Unafiki tu, hao jamaa hawana unafiki hadi jeshi unaajiriwa. Bongo kuiba kura ndiyo kazi waliyobakizaHii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda
Tembeeni vifua mbere ๐
Kashyap "Kash" Patel was born in 1980 in Garden City, New York, to Gujarati Indian parents who had immigrated to the United States from East Africa, via Canada.Hii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda
Tembeeni vifua mbere ๐
Namtumbo, SongeaHio Patel kaitolea wapi?
Huyu anashungulika na usalama na ndani ya USA na baadhi ya balozi. Hana tija kwetu sanaInatusaidia nini kama Watanzania.
Tupunguze kushoboka, tutatue changamoto zetu
So what??Hii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda
Tembeeni vifua mbere ๐
Hii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda
Tembeeni vifua mbere ๐
His name is Kash Patel, is Indian whose parents once lived in TZ and Uganda, Hana tofsuti na Obama, alizaliwa US, 1980Hii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda
Tembeeni vifua mbere ๐