Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani ni muha?Hii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda
Tembeeni vifua mbere 😄
Wewe makala zako hovyo nakueleza kila siku. UsijiteteeHapa siyo chumba Cha Mtihani
Unaenda wapi ngoja tutekwe kwanza bwana?Umaskini Bongo, bye bye! Welcome, American dream!
UmechemshaHapa siyo chumba Cha Mtihani
Obama alipotembelea Kenya akiwa Rais, hakuruhusiwa wala kupangiwa kwenda Kisumu kwa baba yake mzazi na ndugu zake walikuwepo. Sababu yeye ni mmarekani. Haitusaidii lolote. Ataapa kujilinda katiba ya Marekani na maslahi yake na si vinginevyoKama Mama Mtanzania tuwena uhakika kuwa pindi tukihitaji msaada wa kupambana na watekaji,wauaji,mafisadi,wachakachua chaguzi msaada chap kwa haraka ama Itabidi bado kibali cha Mzee Trump?
Angekuwa bongo angebaguliwa kwa uhindi wake wa asili leo kama fbi director anasifiwaWatanzania mbona tupo kila mahali, kwenye kila issue duniani hutukosekani. Mtanzania vita ya Russia ya ukraine Kuna aliyefia huko, vita ya Israel na hamas watanzania walifia huko. Na leo hii tena kwenye uongozi wa trumps aliyepenya kimiujiza Mtanzania yupo
Pongeza kwa mama na CCM yani awamu hii kwa juhudi za serikali tumepata mkuu wa FBI ambaye ana vinasaba vya Tanzania.Tanzania yavunja rekodi tena Kash Patel ambaye mama yake ni mtanzania ateuliwa kuwa mkuu wa shirika la ujasusi la FBI Marekani na Trump
😄 🤣Pongeza kwa mama na CCM yani awamu hii kwa juhudi za serikali tumepata mkuu wa FBI ambaye ana vinasaba vya Tanzania.
Hatupoi.
Mama kaupiga mwingiPongeza kwa mama na CCM yani awamu hii kwa juhudi za serikali tumepata mkuu wa FBI ambaye ana vinasaba vya Tanzania.
Hatupoi.
Mama yake asili ya Tanzania weweKazaliwa marekani, halafu wazazi wake Wana urais wa Canada.
Kuwa wanawake wa Tanzania wana uwezo wa kuzaa chema kinacjoweza kutambuliwa kimataifaInatusaidiaje watanzania?
Hiyo hapoDunia y sasa habari bila picha sw n takataka TU.
All the best
well said watanzani tunafaidi wanawake wakitanzania, ila najiuliza ndio hawa hawa au wengine.Kuwa wanawake wa Tanzania wana uwezo wa kuzaa chema kinacjoweza kutambuliwa kimataifa
Wageni wanakaribishwa si tu kuangalia mbuga za wanyama waje waoe na kuzaa na wanawake wa kitanzania wapate chema
alikuwa mtanzania 🤣🤣🤣Hii ni Habari Njema kwa watanzania kwamba mkurugenzi mpya wa FBI Kash Patel mama yake alikuwa Mtanzania na baba yake ni Mganda
Tembeeni vifua mbere 😄
Wanawake wa Tanzania wana akili nyingi kuliko wanaume wakizaa na wenye akili wa nje ndipo wanatoa mitoto genius sana .Wanaume wa Tanzania wanatakiwa kujitathimini kama kuna dawa ya kuongeza akili waitafute harakawell said watanzani tunafaidi wanawake wakitanzania, ila najiuliza ndio hawa hawa au wengine.
Inawasaidia Nini Watanzania?Tanzania yavunja rekodi tena Kash Patel ambaye mama yake ni mtanzania ateuliwa kuwa mkuu wa shirika la ujasusi la FBI Marekani na Trump
Huyu ni wa pili baada ya waziri mkuu wa uingereza Rish Sunak ambaye mama yake mtanzania pia