Kasheshe vituko na vitimbwi vya mimba

Umeokoa jahazi, nlikua nataka nimpeleke nyumbani huyu ila ntamuacha hapa hapa, ni mimba yake ya kwanza ila sasa imekua kama ana kidonda vile dah...
 
Enzi zake......hapo mate yashajaaa mdomoni........huyo jamaa alikuwa ananiwekea na kiti changu kabisa ....nikifika napewa kiti na supu yangu nakunywa ah roho inazuuzika kabisa......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umeokoa jahazi, nlikua nataka nimpeleke nyumbani huyu ila ntamuacha hapa hapa, ni mimba yake ya kwanza ila sasa imekua kama ana kidonda vile dah...
Pole sana vumilia ni mapito tu
 
Ukweli 100%
 
[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji85]
 
Mkuu usisahau na wale wanaotaka dudu hata mara tano au zaidi kwa siku maana genye zao zinakuwa plus plus.
mda mwingine hadi mgawa dudu unamuhurumia mpokea dudu.. yan tumbo ndi ndi ndii na dudu dudududuuuuuu.. hatari lakin salama
 
Acha kabisa hii maneno
Kuteseka ni lazima kwa mama hata kwa baba pia

.baadhi ya mimba huja na na baraka lakini nyingine huja na mikosi
tafadhari mshana embu dadavua upande wa baraka na mikosi. mie wakati shemeji yako mjamzito nilikuwa na majanga ya kugombana na makonda wa daladala plus kuibiwa kwenye biashara zangu( iwe kwa wafanyakazi au wezi kuvunja). mwishowe nkamwachia Mungu kha
 
Mapambano ya dunia ya giza na dunia ya nuru huanza tangu kutungwa mimba refer post ya mimba za kuzimu [/URL, watoto ni baraka na uumbaji wa Mungu lakini shetani hufanya kila namna aongeze idadi ya wanaomtii, na hupenda zaidi kuchukua kabla ya kuzaliwa
Kwahiyo vita huanzia hapo..ndio maana utakuta kipindi hicho ukiacha zile kasheshe za kawaida za mimba lakini kuna mambo mengine ya ziada ya kushangaza hujitokeza
 
Kuna kitu hakiko sawa hapa lakini maana yangu ni kwamba kipindi cha mimba kiumbe aliyeko tumboni hupiganiwa na nguvu mbili hasi na chanya rejea mimba za kuzimu
 
I report you for using alien's, 'steada languages we all understand.

"Clicking Kasie" sounds about nice too tho. Are you clickable?

Ooh yeah.....

Silas do that several times. ....

About the language.... worry out sometimes Kasie is a linguistic, was telling Mshana how pple in hear baptise Kasie another tribe easly like that while it's known openly that Kasie ni mbeba mizigo mizito.

How are you?
 
Mizigo mizito lakini sio ile inayohema [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Haaaaa aaaaaa hariikaaa. ......haiyee

Si hiyoo banaaaa Kasie hethina ulozii hangi thiumanyaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
 

You know you don't have to mention Silas every time we're having a convo, right? It kinda kills the vibe. Well then, I'll holla when I'm ready to click.

I'm good Kasie, thank you. How are you, yourself?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…