Mmh katika umri huu nimeshafunga hesabu ila kuna pahala Kuna malalamiko ndio maana nikaamua kuweka post kamili
cc: Evelyn Salt sister
Chihuahua chunchanchu pyong'iyung'oho.Ksjshsnsmuah djdjdhdbsmuah jdjdhdhdhdmuah
Hehehehehehehe
Darasa limeshaanza?
Yani hii kitu inashangaza mno lazima kuwe na shartiDah, Kachumbali sintasahau, yaani unaweza hamshwa usiku wa manane utengeneze kachumbali na sio kila kachumbali bali iliyotengenezwa na mimi tu, nilishanunua kisu, sahani na vifaa vya kachumbari katikati ya jiji, nililipwa kwa kupewa twins
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimba zina mambo.Unaeza ingia hotelini umepanga kula kitu flani ukifika ukakutana na mtu anakula kitu kingine unaagiza hicho ulichoona.
Kuna sabuni ya kuogea nlikua natumia vzuri tu na naipenda.Nlivobeba mimba sikuzitaka tena.Manake ilikua nkiingia bafuni nkaskia tu ile harufu yake naskia kichefuchef.Siku iyo Mr.karudi kazini anaingia bafuni anauliza sabuni iko wapi nkamwambia nimeitupa nkaweka ya kipande.
Hahhahahaaaa daily kavu na ndizi 3 kachumbari kwa wingi pilipili na limao kwa sananilishafungishwa safari za kwenda kula kitimoto na bia karibu kila siku,ole wangu nichelewe kurudi ntaulizwa maswali hayo kazi itatukanwa hiyo ila nikifika home tu ghafla unageukwa tena kunawakati nilishafanywa house boy kabisaaa,mpaka wakumougesha..!!!sema kwa sehemu kubwa nilikuwa na enjoy hivi vituko but sometime ilikuwa too much unaweza kufatwa pahala uko na washkaji ukaamuliwa kama mtoto "wewe haya inuka haraka tangulia nyumbani"tena mtu kafura balaa hata washkaji hakuna anaeguna ila kesho ndio story na utani kweli kweli
mh! Hayo maembe yamentoa mate
Hahahaa hey, he is not me.
And you so silly...did your mom drop you on your head when you were little?
Coz when it comes to silly you take the cake.
NB: Do you have a bun in the oven?
I know it's not you..... what I thought is may be he is a new member....
Silly....!!??? That's another Kasie's name..... In all her veins it's filled with silliness. .......
NB: nooup
Hii ndio inaongoza kwa kupendwa na wajawazito wengi
mi wangu mimba ina miezi saba sasa kashaniambia kitambo hana hamu na mimi wala na hicho kitendo kwa hiyo nisimsumbue kwa vyovyote,mbaya zaidi kasema nikitaka kwenda nje niende tu yeye hana habari na mimi kabisa..Acha kabisa hii maneno
Kuteseka ni lazima kwa mama hata kwa baba pia
Huruma zaidi huja pale mimba inapomgeukia baba na kuwa kama yeye ndio kaibeba! Yaani vichefu chefu vyote yeye malimao mbilimbi na ubuyu ni yeye. .huwa inatia huruma mno
Miezi tisa ya ujauzito si safari rahisi asilani kuna mengi hapo yanayohitaji kujitoa na uvumilivu wa kiwango cha juu mno
.mimba zina hulka ya kupenda watu fulani
.mimba zina hulka ya kuchukia watu fulani bila sababu
.mimba zinaleta hasira na kisirani
.mimba zina tabia ya kupenda sana ama kuchukia sana vyakula vya aina fulani (usiombe mjamzito akose akitakacho ni shida kubwa)
.baadhi ya mimba huja na na baraka lakini nyingine huja na mikosi
.baadhi ya mimba ni kuugua mwanzo mwisho na baadhi ni kutapika kila kinachoingia mdomoni kwa miezi yote tisa
Inasemekana mimba za watoto wa kiume ndio zenye mateso sana kuliko zile za watoto wa kike
Jamani jamani jamani kwa wale ndugu zangu ambao ndio wanatarajia kupata watoto wa kwanza figisu za mimba zaweza kuwa kitu kigeni kwao...nawashauri sana mkiona mabadiliko wakati wa ujauzito wa shemeji jitahidini kuvumilia kwakuwa sio wao na si kwamba wanafanya kusudi ni hio hali waliyo nayo
-mkeo anaweza kuongeza wivu maradufu! vumilia
-mkeo anaweza kuwa mtu wa kususa na kuzira hata kwa kitu kidogo kabisa! vumilia
-mkeo anaweza kuwa na ongezeko la hamu ya kufanya ngono au kupoteza hamu kabisa! Vumilia
Yapo mengi mengi mno yatokeayo kipindi cha ujauzito na kama ndio unaingia kwenye ndoa na mimba hapo hapo unaweza kuona maisha ya ndoa ni jehanam kubwa...Vumilia baada ya miezi 9 yote huisha na furaha ya kiumbe kipya hutamalaki
So 'silly' is your middle name huh..?
It fits you to a tee!
Btw, fcuk you.
Hahaha I know your name. ..
Faaark you right back
What's my name...?
You.....
James......
James Jedda. ...
Love him biggy
Muah!!
And he loves you back with all his heart and soul and there's nothing you can do about it.