Kashfa nzito kwa Amunike na wabunge,matusi na kupanga matokeo kwahusishwa huko Misri

Write your reply...
mmh haya ma buku 7 yapo kazini
huu mchezo amunike karushiwa mpira!
eti alimuita yondani mwanamke! hivi yondani huyu huyu tunaemjua?
mbona wangetafutana humo ndani?
niombe radhi mimi siyo buku 7 halafu wachezaji wa taifa stars ni binadamu kama sisi wanaishi mitaani ndug na jamaa zao tunajuana nao nafikiri ni bora kwa muda wako ungefatilia kuhusu hilo,huyo yondani unayemuona muhuni alichofanya ni kulia na kipindi cha pili akajifanya kaumia na mechi ya algeria akasusa baada ya hapo akatangaza kustaafu kuchezea team ya taifa hadi bashite alipoingilia kati huoni connection ya matukio?
muhuni ni banda tu aliyejibishana na amunike baada ya kuitwa mwanamke kule lesotho
 
Najiuliza tu Yondani baada ya kutukanwa akalia!?
hahahahaaa chezea mpopo wewe kaona hawa majamaa wanaenda kuifunga kenya hela ya kamari atakosa akaona awatoe kwenye mood ni mitusi tu dakika kumi nzima ,Yanga hawaamini muhuni wao alilia kwa dakika na nusu akajifanya kaumia kipindi cha pili baada ya hapo akatangaza kustaafu kabisa
 
Wabongo kwa ramli hamjambo
 
Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu, ukweli tunatafuta kila sababu na mahali pa kuficha udhaifu wetu kuwa hatukuwa tumejiandaa kushindana AFCON, na hata kupita kushiriki ilikuwa ni bahati tu.

Tunafawanya wachezaji, TFF na bechi lao la ufundi waone kwamba wamefanya vema kumbe ndio wamezingua zaidi.
 
Huyo mwandishi ni mhariri wa magazeti ya udaku, umbea, fitina na uchonganishi.

Tusimlaumu Amunike Tanzania bado sana kisoka.
 
mkuu sijamaanisha we ni buku 7.
halafu hili la kina yondani kustaafu ghafla linatia mashaka!
duh so yondani nae alilia nini sasa?
ila banda walimuondoa wakidai kakosa nidhamu lakini hawataji kosa lake eti?
 
Mbaazi Ukikosa Maua Husingizia Jua
Zilongwa Mbali, Zitendwa Mbali
 
mkuu sijamaanisha we ni buku 7.
halafu hili la kina yondani kustaafu ghafla linatia mashaka!
duh so yondani nae alilia nini sasa?
ila banda walimuondoa wakidai kakosa nidhamu lakini hawataji kosa lake eti?
banda alilalamika upangaji team kule lesotho wakabiashana na amunike akaitw mwanamke inaonekana ndiyo tusi kubwa la amunike banda hakukubali na yeye akaja juu kwa upande wa yondani yeye alilia kwa hasira na kudanganya kaumia kipindi cha pili inasemekana hata manula na nyoni pia ni kama walifanya vile kususia mechi ya algeria
 
mkuu sisi tunaojua fixed game nakuelewa unachomaanisha...ila kuna FUNZA HAPA WATAKUBISHIA ILIHALI HATA MATCH FIXING HAWAJUI..MAMAEEE
 
Inaonyesha hili suala unalifahamu peke yako!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…