Kashfa nzito kwa Amunike na wabunge,matusi na kupanga matokeo kwahusishwa huko Misri

Kashfa nzito kwa Amunike na wabunge,matusi na kupanga matokeo kwahusishwa huko Misri

Chanzo :blog ya saleh jembe



***kabla ya mechi ya Algeria kuna jamaa wa kiarabu anayesemekana ni wakala wa Emanuel Amunike aliingia kambini kwa Taifa stars na ali demand Tanzania ifungwe kwa idadi kubwa ya magoli,inadaiwa clip ipo kuna afisa wa Tff aliirekodi

**Wabunge walioenda Misri walidai walipwe posho( hili maafisa wa TFF wanaogopa kuliongelea wasije wakaitwa kwenye kamaati ya kushughulikiana kule DOM)
**Kwenye mechi ya kenya wakati TZ ikiongoza 2-1 half time badala ya Amunike kuwaongezea maarifa wachezaji yeye alitumia muda huo kuwatukana haswa Kelvin Yondani aliyemuambia kwamba anacheza kama mwanamke hali iliyopelekea yondani kulia kwa dakika moja na nusu huku wachezaji wengine wakikasirishwa na maneno hayo ,ilimlazimu mbwana samata kuingilia kati kuwatuliza wachezaji

Kipindi cha pili kenya wakasawazisha na kuongeza jingine huku yondani akijifanya kaumia na kukataa kuendelaa na mchezo.Tusi hilo la wewe ni mwanamke inadaiwa ndilo alilopewa Abdi banda kule lesotho na Amunike na Banda hakumkopesha akamjibu kwamba yeye ni mwanaume siyo mwanamke akawa frozen kwenye team kwa madai ya utovu wa nidhamu

***Amunike huyohuyo baada ya kuona wachezaji hawampendi ndiye aliyeanzisha mgogoro wa kupandisha posho toka dollar 75 hadi 300 per day bila kuwasiliana na TFF,alifanya hivyo ili wachezaji wawe side yake

INAVYOONEKANA BWANA AMUNIKE ANAHUSIANA NA MAGENGE YA KAMARI maana hiyo issue ya wakala wake kutaka stars igongwe magoali mengi na Algeria plus alivyowatoa wachezaji kwenye mood dhidi ya kenya wakiwa wanaongoza 2-1 ni dhahiri hakutaka washinde.
Bado umelala?amka kumekucha acha kumsingizia Amnike.
 
CCM walii vuruga taifa star alafu leo wana-anzisha fitna za kitoto ili kuficha kile walicho kifanya, walipo anza kuingia wanasiasa wa CCM tulijua timu inakwenda kubugizwa magoli ya kutosha, na hili haliitaji hata kuliundia tume!
 
Mimi nimefarijika tu huyo kocha kuondolewa kwenye hicho kibarua chake. Na wakati mwingine ni vyema TFF ikafuata taratibu za kawaida kabisa kuajiri kocha wa Timu ya Taifa badala ya kupeana ajira kishkaji.
 
Yondani angemrukia vichwa
Write your reply...
mmh haya ma buku 7 yapo kazini
huu mchezo amunike karushiwa mpira!
eti alimuita yondani mwanamke! hivi yondani huyu huyu tunaemjua?
mbona wangetafutana humo ndani?
 
Chanzo :blog ya saleh jembe



***kabla ya mechi ya Algeria kuna jamaa wa kiarabu anayesemekana ni wakala wa Emanuel Amunike aliingia kambini kwa Taifa stars na ali demand Tanzania ifungwe kwa idadi kubwa ya magoli,inadaiwa clip ipo kuna afisa wa Tff aliirekodi

**Wabunge walioenda Misri walidai walipwe posho( hili maafisa wa TFF wanaogopa kuliongelea wasije wakaitwa kwenye kamaati ya kushughulikiana kule DOM)
**Kwenye mechi ya kenya wakati TZ ikiongoza 2-1 half time badala ya Amunike kuwaongezea maarifa wachezaji yeye alitumia muda huo kuwatukana haswa Kelvin Yondani aliyemuambia kwamba anacheza kama mwanamke hali iliyopelekea yondani kulia kwa dakika moja na nusu huku wachezaji wengine wakikasirishwa na maneno hayo ,ilimlazimu mbwana samata kuingilia kati kuwatuliza wachezaji

Kipindi cha pili kenya wakasawazisha na kuongeza jingine huku yondani akijifanya kaumia na kukataa kuendelaa na mchezo.Tusi hilo la wewe ni mwanamke inadaiwa ndilo alilopewa Abdi banda kule lesotho na Amunike na Banda hakumkopesha akamjibu kwamba yeye ni mwanaume siyo mwanamke akawa frozen kwenye team kwa madai ya utovu wa nidhamu

***Amunike huyohuyo baada ya kuona wachezaji hawampendi ndiye aliyeanzisha mgogoro wa kupandisha posho toka dollar 75 hadi 300 per day bila kuwasiliana na TFF,alifanya hivyo ili wachezaji wawe side yake

INAVYOONEKANA BWANA AMUNIKE ANAHUSIANA NA MAGENGE YA KAMARI maana hiyo issue ya wakala wake kutaka stars igongwe magoali mengi na Algeria plus alivyowatoa wachezaji kwenye mood dhidi ya kenya wakiwa wanaongoza 2-1 ni dhahiri hakutaka washinde.
Wabongo kwa majungu tu! Hamjambo
 
Taifa stars ni mali ya ccm; kwa nini usipeleke hili shauri kwa wenye mali wakaamue wenyewe? BAK, njoo nisaidie kutilia mkazo
Chanzo :blog ya saleh jembe



***kabla ya mechi ya Algeria kuna jamaa wa kiarabu anayesemekana ni wakala wa Emanuel Amunike aliingia kambini kwa Taifa stars na ali demand Tanzania ifungwe kwa idadi kubwa ya magoli,inadaiwa clip ipo kuna afisa wa Tff aliirekodi

**Wabunge walioenda Misri walidai walipwe posho( hili maafisa wa TFF wanaogopa kuliongelea wasije wakaitwa kwenye kamaati ya kushughulikiana kule DOM)
**Kwenye mechi ya kenya wakati TZ ikiongoza 2-1 half time badala ya Amunike kuwaongezea maarifa wachezaji yeye alitumia muda huo kuwatukana haswa Kelvin Yondani aliyemuambia kwamba anacheza kama mwanamke hali iliyopelekea yondani kulia kwa dakika moja na nusu huku wachezaji wengine wakikasirishwa na maneno hayo ,ilimlazimu mbwana samata kuingilia kati kuwatuliza wachezaji

Kipindi cha pili kenya wakasawazisha na kuongeza jingine huku yondani akijifanya kaumia na kukataa kuendelaa na mchezo.Tusi hilo la wewe ni mwanamke inadaiwa ndilo alilopewa Abdi banda kule lesotho na Amunike na Banda hakumkopesha akamjibu kwamba yeye ni mwanaume siyo mwanamke akawa frozen kwenye team kwa madai ya utovu wa nidhamu

***Amunike huyohuyo baada ya kuona wachezaji hawampendi ndiye aliyeanzisha mgogoro wa kupandisha posho toka dollar 75 hadi 300 per day bila kuwasiliana na TFF,alifanya hivyo ili wachezaji wawe side yake

INAVYOONEKANA BWANA AMUNIKE ANAHUSIANA NA MAGENGE YA KAMARI maana hiyo issue ya wakala wake kutaka stars igongwe magoali mengi na Algeria plus alivyowatoa wachezaji kwenye mood dhidi ya kenya wakiwa wanaongoza 2-1 ni dhahiri hakutaka washinde.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
eti katukanwa kabla ya mechi... Akakubali kucheza.... Afu akaumia mchezoni...
mkuu unajua mpira? unajua kitu kinaitwa half time ,mapumziko? unajua maana ya dressing room? au wewe ni kama wale imbeciles spin doctors wa buku 7 lumumba?tukio lililtokea half time,kipindi cha pili akajifanya kaumia na mechi ya lageria hakucheza hata nyoni akajifanya kaumia akatoka baada ya hao wawili kutoka uliona kilichotokea na baada ya hapo wote wawili wakatangaza kustaafu hadi Daudi Albert bashite alipoingilia kati wakabadili maamuzi
 
Hii timu Watanzania wengi tunaojitambua tumeishasusa. Maccm wameamua kuipora na kuifanya ni timu yao. Mpaka hapa Bashite mfoji vyeti atakapofuta kauli yake hii hapa chini au TFF kukanusha kauli ya Bashite mfoji vyeti wengi tutaendelea kuisusa. Sijawahi hata siku moja kuacha kuishangilia timu ya Taifa la Tanzania na Watanzania wengi pia ni hivyo hivyo, lakini hawa wahuni waporaji wa kila kitu nchini wamesababisha kwa mara ya kwanza tuione ni ccm stars badala ya Taifa Stars.



Taifa stars ni mali ya ccm; kwa nini usipeleke hili shauri kwa wenye mali wakaamue wenyewe? BAK, njoo nisaidie kutilia mkazo
 
😂😂😂Mbuzi ameishatolewa kafara,sasa hivi anakatiwa nyanya,vitungu,chumvi... ili aliwe vizuri
 
Msitafute kisingizio, team ilipewa jina la chama badala ya la taifa.
 
Kwahyo ulitaka umfunge Senegal na Algeria ?? Kwa mpira upi ??
 
Ewaaa hapo ndio nakuaminia maana unakujaga na full evidence; hebu tuwaachie ccm timu yao na Amunike ni mali yao pia watajuaa nae wenyewe
Hii timu Watanzania wengi tunaojitambua tumeishasusa. Maccm wameamua kuipora na kuifanya ni timu yao. Mpaka hapa Bashite mfoji vyeti atakapofuta kauli yake hii hapa chini au TFF kukanusha kauli ya Bashite mfoji vyeti wengi tutaendelea kuisusa. Sijawahi hata siku moja kuacha kuishangilia timu ya Taifa la Tanzania na Watanzania wengi pia ni hivyo hivyo, lakini hawa wahuni waporaji wa kila kitu nchini wamesababisha kwa mara ya kwanza tuione ni ccm stars badala ya Taifa Stars.

 
  • Nzuri
Reactions: BAK
🙏🏽🙏🏽🙏🏽 Shukrani sana. Bila evidence jamaa wanaweza kukwambia acha uzushi hahahahaha lol!

Ewaaa hapo ndio nakuaminia maana unakujaga na full evidence; hebu tuwaachie ccm timu yao na Amunike ni mali yao pia watajuaa nae wenyewe
 
Hawakawii kusema hii video ni ya kutengeeza na aliehusika kuitengeza anatafutwa na vyombo vya dola[emoji3][emoji3]
[emoji1431][emoji1431][emoji1431] Shukrani sana. Bila evidence jamaa wanaweza kukwambia acha uzushi hahahahaha lol!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Write your reply...Majungu Tanzania au Afrika hayaishi bora Amunike akajipumzikie huko kwao ...kwa akili zenu nyie mlitarajia Tanzania achukue kombe ...hio kushiriki tu kwa msaada wa jirani
 
Back
Top Bottom