Nyinyi mnafikiri mnampenda Lakini hamuelewi ukweli ya yale yanayomsibu au ya yale ambayo yangemsibu Mzazi wake ndiye anyejua yale ambayo yangemkuta kwa yale anayoyafahamu yeye kutokana na habari alizozipata.Mzee Ametumia busara na Nyinyi mnashabikia na FREE AMINA Kwasababu hakuna anayejua kwa undani yanayomsibu huyo Mh.Amina kwasasa na Ambayo yangemsibu baada ya kuwaweka sawa wapinzani wake kwamba anataka kulipua bomu.
Hulka ya wanadamu waliowengi ni Ubinafsi, Mnachoshabikia nyinyi ni kutaka kusikia kile Mh.Amina alichotaka kukitoa hadharani na ndiyo kelele zote za FREE AMINA,Lakini wale wenye Mapenzi ya kweli na wenye uchungu na wanaomthamini Na watakaoathirika zaidi na matokeo ya maamuzi ya Mh Amina na Wanaolijua litakalomfika Mh.Amina endapo ataendelea kupayuka kwasasa ndiyo wanaoguswa zaidi na hiyo hatua waliyoichukua ndiyo wao wanaona ni muafaka kwasasa.Nani Kama Mzazi au Wazazi.?
Tusiyafanye ya wenzetu kuwa rahisi,tuangalie na athari za yale yanayowakuta au yatakayowakuta wenzetu kutokana na matendo wanayokusudia kuyafanya au waliyoyafanya au watakayofanyiwa au waliyofanyiwa.Fikra kila mmoja na zake Lakini wachache wenye kujaliwa BUSARA.[/QUOTE]
Hulka ya wanadamu waliowengi ni Ubinafsi, Mnachoshabikia nyinyi ni kutaka kusikia kile Mh.Amina alichotaka kukitoa hadharani na ndiyo kelele zote za FREE AMINA,Lakini wale wenye Mapenzi ya kweli na wenye uchungu na wanaomthamini Na watakaoathirika zaidi na matokeo ya maamuzi ya Mh Amina na Wanaolijua litakalomfika Mh.Amina endapo ataendelea kupayuka kwasasa ndiyo wanaoguswa zaidi na hiyo hatua waliyoichukua ndiyo wao wanaona ni muafaka kwasasa.Nani Kama Mzazi au Wazazi.?
Tusiyafanye ya wenzetu kuwa rahisi,tuangalie na athari za yale yanayowakuta au yatakayowakuta wenzetu kutokana na matendo wanayokusudia kuyafanya au waliyoyafanya au watakayofanyiwa au waliyofanyiwa.Fikra kila mmoja na zake Lakini wachache wenye kujaliwa BUSARA.[/QUOTE]