William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Mzee TZnjema,
Bigups bro, ila tu nimeshidnwa kuimaliza hii article lakini nitaitunza mpaka weekend niisome tena, lakini ina some points, na ninasema hivi Wa-Tanzania tunahitaji kuamuka, hizi siasa chafu are here to stay, haziendi kokote na the fact of the matter is hata Mwalimu alikuwa akizitumia hizi games, lakini wananchi tulikuwa tunamuamini na kufikiri kuwa it was the best for the country,
Aliyeyahalalisha haya makundi ni bm, kwa sababu wakati wa utawala wake ni wale tu waliokaribu na yeye ndio waliokuwa na free pass, kwa hiyo watengwa wakajikusanya na kuwa a team, na haya ndio matokeo yake!
Bigups bro, ila tu nimeshidnwa kuimaliza hii article lakini nitaitunza mpaka weekend niisome tena, lakini ina some points, na ninasema hivi Wa-Tanzania tunahitaji kuamuka, hizi siasa chafu are here to stay, haziendi kokote na the fact of the matter is hata Mwalimu alikuwa akizitumia hizi games, lakini wananchi tulikuwa tunamuamini na kufikiri kuwa it was the best for the country,
Aliyeyahalalisha haya makundi ni bm, kwa sababu wakati wa utawala wake ni wale tu waliokaribu na yeye ndio waliokuwa na free pass, kwa hiyo watengwa wakajikusanya na kuwa a team, na haya ndio matokeo yake!