Kashfa nzito: Zitto vs Amina Chifupa

Kashfa nzito: Zitto vs Amina Chifupa

Status
Not open for further replies.
siwezi kuwa mwanachama wa NGO. Nenda Kigoma toka Zitto awe Mbunge vimefumuka NGO za mikobani nyinyi sana hadi mama yake kamfungulia. Mnyika John anazo tatu.
Jasusi utaingia vipi chama bila kujua kina vision gani? uchaguzi wa mwaka juzi hadi dakika za mwisho ndio wameleta mgombea urais baada ya kuona aibu watu wamshtuka hii NGO au chama. wakaja na mgombea wa kuokota.DJ Mbowe. Siwezi kuwa Chadema nilijua kama Mkumbo atapewa uenyekiti ningemfuata. lakini comments zake dhidi yangu jana kwenye thread ya wanene na marupurupu imenifanya nifikiri tena. kumbe jamaa naye anaongozwa na Jazba.

Mswahili,
Naona jina lako linasanifu sana maandiko yako pia...teh teh teh
 
sasa hapa unaharibu Mafuchila uswahili au mswahili si jina baya tunajifagharisha sana kwa jina hilo.

tafadhali sana rekebisha kauli yako
 
Kaka mkandara salama lakini...nini kinakusibu?

Tanzanianjema
 
Du mwakijiji wewe kweli ni chadema, inakuwaje mtu waanze kumshangilia hata swali lenyewe hajauliza???????? halafu wewe useme inawezekana swali lilikuwa zuri sana?????? Mimi naona walimshangilia kwa sababu ya ukidume wake wa kusadikiwa kuvunja ndoa na watu.
 
kawaida timu hushangiliwa na washabiki wake,nadhani walioshangilia pia ni wanomuunga mkono katika tuhuma zake
asilimia kubw ya wabunge ni wazinzi ndo maana walikuwa wakimshangilia muwakilishi wao
hasa kwa kufanikiwa kuvunja ndoa ya mwenzao
kwani hata majimboni kwetu wanazivunja sana ndoa
 
kawaida timu hushangiliwa na washabiki wake,nadhani walioshangilia pia ni wanomuunga mkono katika tuhuma zake
asilimia kubw ya wabunge ni wazinzi ndo maana walikuwa wakimshangilia muwakilishi wao
hasa kwa kufanikiwa kuvunja ndoa ya mwenzao
kwani hata majimboni kwetu wanazivunja sana ndoa

Sasa wewe unaleta "mambo binafsi" ktk forum
 
Habari za kuwa Mbunge wa viti Maalum Bi. Amina Chifupa kwamba ni mgonjwa zilikuwa ni habari za kutarajiwa na siyo ngeni. Kutotokea kwake Bungeni na kuwa huru kuzungumza ni kitu ambacho tulikipigia kelele mwanzoni mwa saka hili na tukaonekana wazandiki. Kuna watu wanaojifanya wanaonesha huruma sasa hivi wakati tulipopiga kelele mara ya kwanza wao walikaa kimya. Nitawakumbusha:

Niliandika kuhusu hali ya Amina mara ya kwanza tarehe 9 Mei Hapana kuripoti ifuatavyo:


Habari ambazo zinazidi kupenyezwa kwa wenu mtiifu... ni kuwa bi. Amina inadaiwa hali yake ya kiafya ya kiakili si nzuri na licha ya watu wa karibu kutambua hilo hajafikishwa hospitali hadi hivi sasa. Jambo lolote ambalo litamtokea akiwa mikononi mwa hawa jamaa wajiandae kwa hatua kali za kisheria kwa kumshikilia Mbunge wa Jamhuri ya Muungano bila ya ridhaa yake. Kama kweli Bi. Chifupa hali yake ndivyo ilivyo apelekwe hospitali kabla mambo hayajawa mabaya, haitaeleweka!!

Free Amina Now!

Kesho yake nikawaandikia ifuatavyo tena Hapa

Mkandara, Amina amezuiwa kuzungumza na baadhi ya watu (angalia kwenye post Kuu) na kama nilivyowaripotia mara ya kwanza baada ya kugundua hatatokea hadharani. Sababu kubwa ambayo imetolewa ni kuwa hali yake ya kiakili inatajwa kuwa si nzuri na leo kuna maneno ya kuwa "she is under somekind of suicide watch"... Kuhusu kujiuzulu bado sijasikia source nyingine kuconform lakini inatafutwa njia muafaka ya kuhakikisha kuwa atakapotokea hadharani hatazungumzia sakata hili. Kwa mtu ambaye ni free spirit kama yeye basi inakuwa vigumu kukubaliana na wale wanaomtaka anyamaze wakati ndoa yake iko matatani, hadhi yake imeendelea kuchafuliwa na heshima yake kukanyagwa kanyagwa. Kwa maoni yake njia pekee ni "kuweka wazi mambo yote yaliyosababisha kuvunjika ndoa yake.

Kuna baadhi ya "wazee" wanajaribu kuwarejesha wana ndoa hawa ili mambo haya yamalizwe kiutu uzima.

Maoni yangu:

- Jinsi gani AC atalalamika mbele ya wakubwa wa chama kuhusu "mbaya wake" na jinsi wakubwa hao watashughulikia madai hayo ni kama vita vya panzi mbele ya kunguru!

- Mtego ambao Zitto amewekewa ni mbaya sana na kwa kutokutaka kulikalia kimya jambo hili anazidi kujinasisha. Hata hivyo inaonekana ni mtego wa kujitakia.

Na nikapiga kelele hapa kuwa wamuachilie Amina Huru na nikajenga hoja ya Kikatiba: Hapa

Mlalahoi.. hiyo ndiyo sauti inayotakiwa kusikika. Hata kama hawezi kuzungumza hadharani, basi aonekane hadharani kuwa ni mzima wa afya. Kama ni mgonjwa apelekwe hospitali na siyo kushikiliwa "ili atulie". Mnyezi Mungu ananjia nyingi za kuwaumbua watu!! Jambo likimtokea binti huyu kuna watu itapasa waseme. Kama amefanya kosa la kimaadili, hilo ni jambo moja la kumuangalia binadamu mwenzako kama "pensheni" na hivyo kufanya lolote lile ili "pensheni" isikatike ni kosa kubwa zaidi kwani wanamuangalia binadamu mwenzao kama kitu kinachoweza kutumiwa!

Katiba yetu iko wazi kuhusu hili (msisitizo wote wangu):

Ibara 16:1

Kila mtu anastahili kuheshimiwa na kupata hifadhi
kwa nafsi yake, maisha yake binafsi na familia yake na
unyumba wake, na pia heshima na hifadhi ya maskani yake na
mawasiliano yake ya binafsi.


Hivyo, kama Amina anatakiwa kuwasiliana na mtu yeyote basi waliomchukulia simu yake WANAVUNJA KATIBA

Ibara 17:1

Kila raia (hata kama ni Mbunge! M.M.) wa Jamhuri ya Muungano anayo haki ya
kwenda kokote katika Jamhuri ya Muungano na kuishi katika
sehemu yoyote, kutoka nje ya nchi na kuingia, na pia haki ya
kutoshurutishwa kuhama au kufukuzwa
kutoka katika Jamhuri
ya Muungano.


Wale ambao wanamlazimisha Amina kuwa mahali fulani wakati yeye anataka kuwa mahali kwingine WANAVUNJA KATIBA!

Ibara 18:1

Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru
kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake
, na kutafuta,
kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo
chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wa
mawasiliano yake kutoingiliwa kati.


Amina alitaka kutoa mawazo na maoni yake kama mtu huru. Kuna watu wametangaza hadharani ati wamemzuia! Kama Amina angekuwa mtoto wa miaka 18 wazazi wake kweli wangeweza kumsemea. Lakini akiwa mtu mzima tena Mbunge wa Bunge takatifu la Enzi la Jamhuri yetu Tukufu ya Muungano! anayo haki ya kutoa maoni yake bila "Mawasiliano yake kutoingiliwa kati". Waliokiri kufanya hivyo WANAVUNJA KATIBA!

Hivyo basi:

- Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mhe. Amina Chifupa Mpaka nje, apewe uhuru wake wa kusema, kuwaza, kwenda, kufanya atakalo bila kuingiliwa na mtu yeyote, kulazimishwa na mtu yeyote au kukwaza na mtu yeyote hata kama mtu huyu ni ndugu wa damu.

- Familia wanaweza kumshauri mtoto wao na ndugu yao kufanya lolote au kutofanya lolote, lakini kama amewaambia anataka kufanya jambo fulani na wao wanamng'ang'aniza asifanye wakati yeye akiwa na akili timamu na mtu huru anataka kufanya vinginevyo watu hao watishiwe kuchukuliwa hatua za kisheria wasipobadili vitendo vyao mara moja.

- Bi. Amina aachiliwe huru mara moja bila ya masharti yoyote na kama hataki kuzungumzia mambo ya ndoa yake hadharani huo ni uhuru wake na asilazimishwe na mtu yeyote kufanya hivyo. Na kama anataka kuzungumza hadharani basi asinyamazishwe na mtu yeyote hata kama mtu huyo ana malengo mazuri na nia nzuri!

Wenye kuchapisha tisheti chapesheni na picha yake muiweke hadharani hadi huyo binti aonekane hadharani mzima wa afya akiwa mtu huru!!! Uhuru katika nchi yetu siyo hisani ya wazazi wetu kwani Katiba inasema hivi:

Ibara 12:1

Binadamu wote huzaliwa huru, na wote ni sawa.

Miongoni mwa binadamu hao ni Mhe. Amina wa Mpakanjia!!!!
hivyo basi,

FREE AMINA NOW!! FREE AMINA NOW! FREE AMINA NOW

chapisheni tsheti n.k!! ili liwe somo kwa watanzania kuwa nchi yetu bado huru na itaendelea kuwa huru!!!!

Nikimjibu Kakalende nikaandika hivi kuhusu hizi jitihada za kumnyamazisha Amina Hapa

Kakalende, wakati Mbunge wa Bunge la Muungano anashikiliwa na watu pasipo ridhaa yake na kunyimwa uhuru wake wa kikatiba, hilo linapita Udaku! Wakati raia wa Tanzania anataka kutoa mawazo au maoni yake ambayo yanatishia maslahi ya watu wachache, na watu hao wachache wanatumia nafasi zao katika maisha ya mtu huyo ili kumnyamazisha, hilo linapita Udaku! Inapotokea kuwa serikali inakalia kimya kiongozi wa juu katika siasa kushikiliwa bila ridhaa yake na hadi mumewe (licha ya matatizo yao ya chumbani) anatokea na kuomba mtalikiwa wake ajitokeze hadharani hilo linapita udaku! Kama wanaweza kufanya hili (la kumnyamazisha Amina kulinda maslahi yao) kwa Mbunge wa Bunge la Muungano ambaye pia Mbunge wa Chama tawala, hivi unafikiri wanaweza kufanya nini kwa mtu wa kawaida ambaye anatishia maslahi yao? kama yanavyosema Maandiko "Kama wameweza kufanya hivi kwa mti mbichi, itakuwaje kwa mti mkavu?".

Binafsi nimeshaachana na suala la chumbani la Amina na Zitto siku mbili zilizopita. Ninachopigia kelele ni hii tabia ya kuvumilia ukandamizaji kwa vile anayekandamizwa tunafikiri "anastahili" kwa vile tu "amekiuka maadili n.k". Hilo nalikataa na nitaendelea kulikataa!!

Free Amina Now!!! Free Amina Now!

Na wakati namjibu Mnyalu nikasema:

Mnyalu...kama hali yake kisaikolojia siyo nzuri hatakiwi kuwa nyumbani.... apelekwe hospitali... na kwa vile ni mbunge wa Tanzania.. wananchi wanayo haki ya kujua hali ya kiongozi wao kwani wanajali hali yake. So, ni mgonjwa, yuko kifungoni, anaangaliwa asijiue????

Mwishoni nikasema hivi:

Kichuguu, inasikitisha watu wanafikiri tunazungumzia mambo ya ngono hapa. Tunachozungumzia ni jambo zito sana. Mbunge wa Jamhuri ya Muungano anataka kuzungumza na waandishi akikimbilia haki yake ya kutoa maoni na mawazo ili kusema alichonacho halafu analazimishwa na watu wachache na kunyang'anywa simu, na kila analofanya kuwa na watu wanaomuangalia. Dereva wake amebakia kushangaa kwani hawezi kumsikiliza bosi wake na kwenda naye anakotaka kwenda... Kulifumbia macho jambo hili ni ukosefu mkubwa wa maadili kwa kuruhusu ukandamizaji mbele ya macho yetu!!

Je, hebu jiulizeni hivi Amina atapata nafasi yoyote tena ya kusimama hadharani na kusema lolote kwa uhuru wake? Je akitokea na kusema "nimebadili mawazo" huku kazungukwa na wanafamilia, mtaamini maneno yake? Je kuanzia sasa atakuwa huru tena kwenda mahali popote, kukutana na mtu yeyote, na wakati wowote bila kuwa na mtu wa karibu "kumsimamia"? Je Amina anaweza kuitisha mkutano wa waandishi wa habari akitaka kuzungumzia mambo mengine ya kijamii bila kufanya "wakubwa" waumwematumbo?

Kuna njia mbili kubwa za kumnyamazisha na ya kwanza imeshaanza kuwekewa msingi:

a. Madai ya kuwa ni mgonjwa wa kiakili/saikokojia.
Kumbukeni kuwa kwa mujibu wa sheria zetu "akili timamu" ni mojawapo ya sifa zinazomwezesha mtu kuwa Mbunge. Je, Amina bado ana "akili timamu"?


b. Ya pili ni kumrudisha kwa mumewe.

c. La tatu nitawaacha mlifikirie....

FAN FAN FAN

Nini kinaandaliwa?
 
Ulifanya kazi nzuri sana. mimi nilikuunga mkono ndio maana hujaweka jina langu hapo kuonesha nilikupinga.

sasa hikii U-TURN yako ya kumtetea Zitto ambaye ndiye sababu ya kumvunjia ndoa mwenzake, na sasa hataki kwenda kumpa pole, ina maana Zitto ni rafiki wa raha tu kwenye shida hamjui mtu?

siku wazungu wakisimamisha pesa Chadema atarudi CCM? kashindwa kumfariji mtu aliyekuwa nae shuka moja atatujua sisi au Mbowe? walifikia kuvaliana nguo bungeni leo hamjui, kwani hafahamu hujafa hujaumbuka? haoni mifano halisi kwenye familia yake?

Nawashauri dada zangu mnapotafuta mume mpitie background zao kwanza, wengine watawapenda mkiwa wazima likija lolote baya hawapo na nyinyi Amina sasa amejua kuwa Mpakanjia ndiye mtu aliyekuwa na nia naye njema.

Hongera Mpakanjia kuonesha utu.pamoja na yote uliyofanyiwa bado una msaidia Amina,

naamini una akili timamu na si limbukeni wa maisha, umetoka kwenye mifupa ya watu, wewe ni mtoto wa watu, unajua nini ihsani. unajua kabisa uovu na usaliti uliofanyiwa kwa njama ya ZITTO KABWE,haulingani na mazuri aliyokufanyia AMINA ikiwa kukupatia na mtoto.

kwenda kumsaidia Amina umefanya uungwana sana. huo ni ustaraabu ambao nadra kuupata kwa watu wenye asili ya nchi za jirani tena hawakupata malezi ya baba na mama, wamejipenyeza kwenye chama ambacho hakiko makini na kutuingizia bungeni watu wahuni na raia wa nchi za jirani zenye asili ya vurugu.

Mpakanjia usijali malipo ni hapa hapa duniani, na ukitaka nikupe mikakati ya kumtoa nishai huyu Zitto nitafute, atashughulikiwa vizuri na atastarehe na roho yake.

MEDI tuko nawe kaka yetu.
 
Mswahili,
Mwanzoni nilikuwa nashangaa na pengine kutokuelewa maudhui ya michango yako ktk JF. Lakini sasa ndio nimekuelewa ni mtu wa aina gani kutokana na kile unachokiandika.
Unahalalisha kabisa tuhuma za upande mmoja na kuchanganya mambo yasiyohusiana nayo kwa maslahi yako binafsi.
Acha hizo.
 
Mnakumbuka mambo ya Anna Nicole Smith? Amina is a tragedy waiting to happen... mark my words.
 
Ubovu Mungu hafuati wishes zetu binadamu, ni binadamu tunaotakiwa kufuata wishes za Mungu.
 
Ulifanya kazi nzuri sana. mimi nilikuunga mkono ndio maana hujaweka jina langu hapo kuonesha nilikupinga.

sasa hikii U-TURN yako ya kumtetea Zitto ambaye ndiye sababu ya kumvunjia ndoa mwenzake, na sasa hataki kwenda kumpa pole, ina maana Zitto ni rafiki wa raha tu kwenye shida hamjui mtu?

siku wazungu wakisimamisha pesa Chadema atarudi CCM? kashindwa kumfariji mtu aliyekuwa nae shuka moja atatujua sisi au Mbowe? walifikia kuvaliana nguo bungeni leo hamjui, kwani hafahamu hujafa hujaumbuka? haoni mifano halisi kwenye familia yake?

Nawashauri dada zangu mnapotafuta mume mpitie background zao kwanza, wengine watawapenda mkiwa wazima likija lolote baya hawapo na nyinyi Amina sasa amejua kuwa Mpakanjia ndiye mtu aliyekuwa na nia naye njema.

Hongera Mpakanjia kuonesha utu.pamoja na yote uliyofanyiwa bado una msaidia Amina,

naamini una akili timamu na si limbukeni wa maisha, umetoka kwenye mifupa ya watu, wewe ni mtoto wa watu, unajua nini ihsani. unajua kabisa uovu na usaliti uliofanyiwa kwa njama ya ZITTO KABWE,haulingani na mazuri aliyokufanyia AMINA ikiwa kukupatia na mtoto.

kwenda kumsaidia Amina umefanya uungwana sana. huo ni ustaraabu ambao nadra kuupata kwa watu wenye asili ya nchi za jirani tena hawakupata malezi ya baba na mama, wamejipenyeza kwenye chama ambacho hakiko makini na kutuingizia bungeni watu wahuni na raia wa nchi za jirani zenye asili ya vurugu.

Mpakanjia usijali malipo ni hapa hapa duniani, na ukitaka nikupe mikakati ya kumtoa nishai huyu Zitto nitafute, atashughulikiwa vizuri na atastarehe na roho yake.

MEDI tuko nawe kaka yetu.


Huyu Mungu pia atunusuru na viongozi hatari, na wananchi wanafiki
!


Ubovu Mungu hafuati wishes zetu binadamu, ni binadamu tunaotakiwa kufuata wishes za Mungu.

Mmmhhhhh ! JF kutamu ....
 
Mswahili,
Mwanzoni nilikuwa nashangaa na pengine kutokuelewa maudhui ya michango yako ktk JF. Lakini sasa ndio nimekuelewa ni mtu wa aina gani kutokana na kile unachokiandika.
Unahalalisha kabisa tuhuma za upande mmoja na kuchanganya mambo yasiyohusiana nayo kwa maslahi yako binafsi.
Acha hizo.
NYIE MNAANDIKA KWA MASLAHI YA NANI? KAMA SI CHADEMA NA MBOWE?
KILA ANAYEANDIKA ANAANDIKA KWA MASLAHI YAKE AU KUNDI LAKE.KWA BAHATI MBAYA CHIFUPA AU MEDI HAWANA WATU. INABIDI TUWAJIBIE.
CHADEMA WAMEAJIRI WASEMAJE KABISA HAPA. KAMA HAO WAKINA MWANAKJJ,KICHUGUU. MKANDARA N.K
 
Mzee Mwanakijiji,

You really have time for this stuff. Mpaka mavifungu ya katiba, ma-cross reference, na mazagazaga mengine. Heshima yako mkubwa!
 
Mzee Mwanakijiji,

You really have time for this stuff. Mpaka mavifungu ya katiba, ma-cross reference, na mazagazaga mengine. Heshima yako mkubwa!
Kaka mugongo.
hujui ni full time staff wa Mbowe? yupo kazini kaka.
Makamba anapiga usingizi tu, seif yuko kwenye kahawa. cheyo kwenye biashara waambie waje humu. hukuona mbowe alivyokuwa Mwanza aliisifu Jambo forum kuwa ni kitengo cha chama chake kwenye kampeni ya 2010.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom