Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joka kuu.1. Zitto usibabaike, UGONI si sifa kwa mwanaume wa Kitanzania. Naomba mrejee makala ya Prince Bagenda akimzungumzia "raisi mtarajiwa."
2. Mbavu zinaniuma kusikia eti Bwana Mpakanjia kamuandia Spika kuhusu masuala yake na mkewe. Hivi Mpakanjia anamjua Spika vizuri? Kama hamjui, aulize ili apewe historia ya Spika alipokuwa kijana.
3. Wale waliokuwa wakimlinganisha Chifupa na Mbowe sijui wana maoni gani kwa kweli. Tupo tulioeleza toka mwanzo kwamba huyu Amina Chifupa hakuwa na background ya ku-serve ktk bunge la Jamhuri. Hapa sizungumzii suala la maadili tu, bali hata uwezo wa kujenga na kupambanua hoja.
Jamani ,
Nimejaribu kuifuatlia hii habari lakini naona kuna maswali bado najiuliza :
1. Nchimbi anahusika vipi katika hii ishu ?
2. Huyu mwanadada na ndugu yetu zito walifumaniwa au ni hear say ?
Natanguliza shukrani ...
Mkuu Yebo Yebo.
Nchimbi anaweza kugombea tena uenyekiti?naona amekaa vipindi viwili kumradhi mie sijui sana kanuni za UVCCM.
Browne said."Concerning the court documents disclosed today, I wish to acknowledge that I did have a four-year relationship with Jeff Chevalier who has now chosen to tell his story to Associated Newspapers, publishers of The Daily Mail, Mail on Sunday and Evening Standard,"
"These allegations are full of misleading and erroneous claims. In particular, I deny categorically any allegations of improper conduct relating to BP," he added.
"I have always regarded my sexuality as a personal matter, to be kept private," he said. "It is a matter of deep disappointment that a newspaper group has now decided that allegations about my personal life should be made public."