Kashfa ya makontena TRA tena: Ni ya Silent Ocean

GSM/S.O/HSC hawa watu inabidi wapigwe fine ya mabilioni kwa kuhujumu uchumi,wasiache,Wanaishi maisha ya anasa kwa kutolipa kodi,Uncle Magu wapige fine ya mabilioni hao watu,fedha wanazo nyingi tu,fine haitoathiri kampuni.
 
Yaonekana unajua kitu Fulani mkuu,wengine umande ulitushinda hesabu za mafumbo hatuwezi,MWAGA MCHELE HUO
 
Nchi hii ufisadi hautaisha awamu hii ni mkubwa zaidi ila kwa sabababu watu wamezibwa midomo mtayasikia baaddhi tu.

ukitokea ule unaomhusu kiongozi wa juu kabisa yes juu kabisa hamtasikia kamwe
 
Pamoja na tuhuma hizi kuwa hazina mashiko kwa kukosa ushahidi wowote,
nichukue nafasi hii kumhakikishia mleta mada kuwa ufisadi upo na utaendelea kuwepo mpaka mwisho,na asikudanganye mtu eti kuna siku ufisadi hapa duniani utaisha....
 
Mkuu acha ubinafsi, kama wewe umeona mimi kuwasemea wengine nimekosea sawa, Je wewe unayo haki ya kuwasemea wengine, lakini mimi hakuna mahali nilipokosea. Nakuomba wewe binafsi jiondoe na usiwasemehe wengine kama ulivyonikosoa.Useme wewe sio mpiga dili sawa?? Unaniambia kuwa nakariri halafu unarudia kitu hicho hicho, sasa nani anayekariri ni mimi au wewe, Halafu unasema facts unajua facts wewe?!! Ph.D inaingiaje hapa?
 
Hata zinazo kusanywa haziwafikii walengwa. Halmashauri yangu haijapokea zaidi ya 31% ya bajeti yake miezi saba ya bajeti 2016/2017. Si ni sawa na kutokukusanywa.
 
Pamoja na tuhuma hizi kuwa hazina mashiko kwa kukosa ushahidi wowote,
nichukue nafasi hii kumhakikishia mleta mada kuwa ufisadi upo na utaendelea kuwepo mpaka mwisho,na asikudanganye mtu eti kuna siku ufisadi hapa duniani utaisha....
NEVER
 
Lakini Itakapokuwa Tofauti Na Matarajio Yenu, Msije Mkaleta Porojo Nyingine
Porojo zipi? Tusimuwekee na wala tusimchagulie maneno CAG, tumwache afanye kazi yake kwa weledi aliojaaliwa.
 
Lazima Mheshimiwa awe mkali,
kwa tabia hii, mmmh.
 

Exactly..
 



Ndugu Ukiwa Unaandika Tuliza Boli Kwanza, Nimesoma Sijaelewa Ufisadi Huo Ni Wa Namna Gani? Umefanyikaje? Wewe Ndugu Yangu Umetiririka Tu Kama Humu Ndani Wote Tunajua Nini Kinaendelea?

Hapo Kwenye Wekundu Sijakuelewa Kabisa

Slow Down, Digest Info, Then Tiririka Kwa Ufasaha Tafadhali Ndugu Yangu

Ahsante
 
Jamani kunamajipu mengine huwa yamekaa pabaya hayafai kutumbuliwa chakufanya huwa tunayapiga sindano za kukausha tu
 
Sa huoni kama wanasaidiana we mtu kapiga goti kaachiwa mbona si wanatukomalia hadi unadhulumika na kontena lenyewe..haya maisha madaraja hayawezi isha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…