King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
GSM/S.O/HSC hawa watu inabidi wapigwe fine ya mabilioni kwa kuhujumu uchumi,wasiache,Wanaishi maisha ya anasa kwa kutolipa kodi,Uncle Magu wapige fine ya mabilioni hao watu,fedha wanazo nyingi tu,fine haitoathiri kampuni.