Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

11221345_742060975904529_1389171789283824097_n.jpg
 
Ukweli haufichiki kamwe, sasa tumemjua mchawi nani. Na Lowasa kaweka wazi tu, toka andoke mbona mikataba mingi mibovu imesainiwa na hakuna mkubwa kama yeye aliejiuzulu au ni kivuli chake ndo kilisaini? Naamini hapa ni mwanzo tu ngoja angie ikulu tuyajue mengi.
 
Mlitaka aseme alihusika ili akatwe tena? kashfa aliyotuhumiwa sio ya siasa ya chama bali ni maslahi ya umma na alipaswa kuulizwa na mamlaka ya serikali(mahakama) ikizingatiwa kuwa wanaomuuliza ndio waliomtuhumu kuhusika! au chadema wamekuwa mahakama?
 
Kwahiyo wenye Richmond ni Mamlaka ya Juu? Mbona kama Sielewi Baada ya Miaka Nane? tena Baada ya Kukatwa?
Alinyamza ili asimuabishe mkuu wa Kaya, ila kwa vile waswahili hatuna shukrani tukaanza kumnanga na kuomuona kama choo cha shimo, kila kitu tunatumiamo humo........sasa imetosha mwanaume kaona isiwe shida.
 
Lowassa: Nilipeleka documents kuwa kampuni ya Richmond haikuwa halali. Hizo documents nilizipeleka kwa mwanasheria mkuu Johnson Mwanyika. Lakini baada ya siku tano nilipoona mwanasheria mkuu hatekelezi niliamua kuitisha kikao kilichoongozwa na katibu mkuu kiongozi pamoja na makatibu wakuu wahusika akiwemo mwanasheria mkuu. Tuliongea mengi ila mwanasheria mkuu akaomba pumziko la masaa mawili. Alitoka nje kuongea na simu na aliporudi ndani akasema kuwa mamlaka ya juu imeagiza kuwa Richmond ni halali na kila kitu kiendelee kama ilivyokuwa. Mimi Lowassa ningeongea tena nini?

Duh!
haya maneno kayaongea leo??
 
Kwahiyo wenye Richmond ni Mamlaka ya Juu? Mbona kama Sielewi Baada ya Miaka Nane? tena Baada ya Kukatwa?
"Nilitaka kuvunja mkataba wa Richmond baada ya kugundua kuna mashaka ya Upatikanaji wake, Alie husika kuingia mkataba aliomba Lisaa limoja na alipo rudi alisema haya nimeambiwa na mamlaka ilio juu ya ofisi ya Waziri Mkuu nisivunje" .

"Mwenye ushahidi aende mahakamani kama huuna ushahidi plz shut up and keep quite.

#Edward Lowasa
#zuiaGoliLaMkono2015

Mkiendelea kuuliza tunamwaga ugali wote.
 
Back
Top Bottom