shikulaushinye
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 828
- 456
Mwizi ni mwizi hata angepewa nafasi angebaki kuwa mwizi. hili ni jizi lililokubuhu kamata peleka sero, tumempa heshima kutomvua mbele ya sheria lkn sasa anataka tumwage mboga. Akileta mbwembwe tutampandisha kizimbani kisutu. CCM waliambiwa peleka mahakamani mkamlinda sasa ona madhara yake anaua chama chenu.