haya sasa matumbo joto
Jk na Simba trust ...
Lowassa alikuwa anamsitiri kwakuwa alitaka kuweka heshima ya Chama na serikali
Baada ya mheshimiwa Lowasa kueleza ukweli kuhusu scandal hii ya richmond jk anapaswa atuambie ni kwanini aliruhusu mkataba wa kifisadi wa Richmond uendelee ilihali akijua ni wizi wa fedha za umma wa maskini watanzania ambao leo hii hawana hata madawati kwa ajili ya watoto wao mashuleni achilia mbali huduma mbovu za afya.
hoja nyepesi sana unatoa. huwezi tumia hoja hizi kukanusha kwamba mamlaka za juu hazikuhusika.Nani anaweza kununua hii hekaya!
Yaani Waziri Mkuu anatumia maneno ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakati yeye ndiye namba tatu katika utawala wa nchi achilia mbali ile dhana ya kusema yeye hakukutana barabarani na Rais Kikwete. kwa maana kwamba, mahusiano yao yalikuwa zaidi ya mahusiano ya kikazi.
Kwa hiyo Mwanasheria Mkuu alivyomwambia, yeye hakuwasiliana na Rais kutaka kufahamu ukweli wake?
Kwa nini hakuliambia bunge hii story baada ya kupewa nafasi ya kutoa ufafanuzi?
Mtu mwenye fikara pana hawezi kununua hekaya hizi.
na yule aliye enda nje kufungua kampuni na kuweka uongozi wa kigeni na kampuni hyo kuja kuomba tenda hapa nchini ni nani eti
Msimvue nguo "mkwere" jamani..acheni akasimamie mashamba yake "msoga"
Baada ya mheshimiwa Lowasa kueleza ukweli kuhusu scandal hii ya richmond jk anapaswa atuambie ni kwanini aliruhusu mkataba wa kifisadi wa Richmond uendelee ilihali akijua ni wizi wa fedha za umma wa maskini watanzania ambao leo hii hawana hata madawati kwa ajili ya watoto wao mashuleni achilia mbali huduma mbovu za afya.
mngekalia kumpigia debe mgombea wenu mngemsaidia sana,kwani ana wakati mgumu sana kupambana na tingatinga
Kwa hiyo ndo tuseme mwenye richmond kashapewa mzigo wake kiaina.
Mda huu katika kukakiribishwa na kukabidhiwa kadi MH.LOWASSA ndani ya CHADEMA ,ameulizwa swali moja kuwa Muuliza swali:MH.EDWARD LOWASSA unazungumiaje kuhusu kashfa ya richmond? MAJIBU LOWASSA:"nipende tu kusema mimi kama waziri mkuu kwa kawaida ya sheria huwa ninaletewa mkataba muda wa mwisho kuupitia na kuupitisha huwa sihusiki na kuandaa mikataba,mwenye mamlaka ni waziri husika,hivyo baada ya kuletewa mkataba husika wa richmond niliupitia na kiukweli niliuwekea shaka kwa sababu nilishawahi kuwa waziri wizara ya maji nina uzoefu na kuandaa mikataba,nilishauri mkataba huo uvunjwe lakini waziri wa nishati akawasiliana na...
Baada ya mheshimiwa Lowasa kueleza ukweli kuhusu scandal hii ya richmond jk anapaswa atuambie ni kwanini aliruhusu mkataba wa kifisadi wa Richmond uendelee ilihali akijua ni wizi wa fedha za umma wa maskini watanzania ambao leo hii hawana hata madawati kwa ajili ya watoto wao mashuleni achilia mbali huduma mbovu za afya.
Baada ya mheshimiwa Lowasa kueleza ukweli kuhusu scandal hii ya richmond jk anapaswa atuambie ni kwanini aliruhusu mkataba wa kifisadi wa Richmond uendelee ilihali akijua ni wizi wa fedha za umma wa maskini watanzania ambao leo hii hawana hata madawati kwa ajili ya watoto wao mashuleni achilia mbali huduma mbovu za afya.