Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

Huoni kama kule Dodoma walimwaga ugali na yeye anamwaga mboga? Pengine (pengine kwa sababu sina hakika), kimya cha miaka minane yote hiyo kilikuwa ni katika juhudi za kuwakingia kifua wale "waliomkata". Baada ya kuona kuwa hawabebeki, hawafadhiliki, ndio hivi karibuni akaanza kutapika. Na kama atabanwa zaidi, anaweza kuitaja hiyo mamlaka ya juu iliyoidhinisha mkataba bomu.
Tutasikia mengi mwaka huu; kutoka pande zote. Huu ni mwanzo tu.
Lagu Jicho!
 
Baada ya mheshimiwa Lowasa kueleza ukweli kuhusu scandal hii ya richmond jk anapaswa atuambie ni kwanini aliruhusu mkataba wa kifisadi wa Richmond uendelee ilihali akijua ni wizi wa fedha za umma wa maskini watanzania ambao leo hii hawana hata madawati kwa ajili ya watoto wao mashuleni achilia mbali huduma mbovu za afya.

Kabisa..... November baada ya Ukawa kushika nchi walahi lazima atatueleza vizuri sana pale Kisutu
 
na yule aliye enda nje kufungua kampuni na kuweka uongozi wa kigeni na kampuni hyo kuja kuomba tenda hapa nchini ni nani eti
 
Nani anaweza kununua hii hekaya!

Yaani Waziri Mkuu anatumia maneno ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakati yeye ndiye namba tatu katika utawala wa nchi achilia mbali ile dhana ya kusema yeye hakukutana barabarani na Rais Kikwete. kwa maana kwamba, mahusiano yao yalikuwa zaidi ya mahusiano ya kikazi.

Kwa hiyo Mwanasheria Mkuu alivyomwambia, yeye hakuwasiliana na Rais kutaka kufahamu ukweli wake?

Kwa nini hakuliambia bunge hii story baada ya kupewa nafasi ya kutoa ufafanuzi?

Mtu mwenye fikara pana hawezi kununua hekaya hizi.
hoja nyepesi sana unatoa. huwezi tumia hoja hizi kukanusha kwamba mamlaka za juu hazikuhusika.
 
na yule aliye enda nje kufungua kampuni na kuweka uongozi wa kigeni na kampuni hyo kuja kuomba tenda hapa nchini ni nani eti

Msimvue nguo "mkwere" jamani..acheni akasimamie mashamba yake "msoga"
 
Msimvue nguo "mkwere" jamani..acheni akasimamie mashamba yake "msoga"

ni yule mfugaji na ana kampuni kadhaa zenye mchezo huo ndio maana anazitumia kwa utalii badala ya kuachana na mambo ambayo anajua hayato msaidia angetulia tu hata afya yake hamruhusu kuwa anvyotaka haigi mifano?
 
Baada ya mheshimiwa Lowasa kueleza ukweli kuhusu scandal hii ya richmond jk anapaswa atuambie ni kwanini aliruhusu mkataba wa kifisadi wa Richmond uendelee ilihali akijua ni wizi wa fedha za umma wa maskini watanzania ambao leo hii hawana hata madawati kwa ajili ya watoto wao mashuleni achilia mbali huduma mbovu za afya.

We unajuaje kana ni ukweli? Acha unafiki wewe
 
mngekalia kumpigia debe mgombea wenu mngemsaidia sana,kwani ana wakati mgumu sana kupambana na tingatinga
 
kaamua kumwaga mboga!!! Acheni kupigapiga kelele mwenye ushahidi aende mahakamani.




Mda huu katika kukakiribishwa na kukabidhiwa kadi MH.LOWASSA ndani ya CHADEMA ,ameulizwa swali moja kuwa Muuliza swali:MH.EDWARD LOWASSA unazungumiaje kuhusu kashfa ya richmond? MAJIBU LOWASSA:"nipende tu kusema mimi kama waziri mkuu kwa kawaida ya sheria huwa ninaletewa mkataba muda wa mwisho kuupitia na kuupitisha huwa sihusiki na kuandaa mikataba,mwenye mamlaka ni waziri husika,hivyo baada ya kuletewa mkataba husika wa richmond niliupitia na kiukweli niliuwekea shaka kwa sababu nilishawahi kuwa waziri wizara ya maji nina uzoefu na kuandaa mikataba,nilishauri mkataba huo uvunjwe lakini waziri wa nishati akawasiliana na...
 
Acheni kupiga piga kelele, mwenye ushahidi aende mahakamani!!!
Baada ya mheshimiwa Lowasa kueleza ukweli kuhusu scandal hii ya richmond jk anapaswa atuambie ni kwanini aliruhusu mkataba wa kifisadi wa Richmond uendelee ilihali akijua ni wizi wa fedha za umma wa maskini watanzania ambao leo hii hawana hata madawati kwa ajili ya watoto wao mashuleni achilia mbali huduma mbovu za afya.
 
Baada ya mheshimiwa Lowasa kueleza ukweli kuhusu scandal hii ya richmond jk anapaswa atuambie ni kwanini aliruhusu mkataba wa kifisadi wa Richmond uendelee ilihali akijua ni wizi wa fedha za umma wa maskini watanzania ambao leo hii hawana hata madawati kwa ajili ya watoto wao mashuleni achilia mbali huduma mbovu za afya.

Usishangae akirudi huko anakojazaga vyoo vya nchi za watu nchi itazuia Asiulizwe na waandishi wa habari.
 
Ma ccm huku, ma.vi yanawabana, kwendeni kuleeeeee.... sasa mnajutia...ndio mtakomaaaaa...mamaeeee, vyupi mkononiiii....
 
kwani mnamumunya maneno badala ya kuanika ukweli? mhusika wa richmond scandal ni JK.
 
Kwanini ripoti nyingi za ripoti za bunge zinazohusu maswala ya ufisadi kuna kipengele kinasema kuna vitu vikiwekwa hadharani nchi itatikisika? Ripoti ya Richmond na Escrow zinasema hivyo. Nani huyo akiguswa nchi itatikisika?
Sasa hivi watu wakimuona JK watakuwa wanaona SI Unit ya Ufisadi nchini.
 
Back
Top Bottom