Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu


ha ha ha hapo kwenye SI unit ni shidaaa.
 

Ndani ya week moja mtu akiwa makini atagundua akili za ki Afrika alizozingumzia Botha, count in yourself
 

Mnanichekesha usiku usiku. Mkuu wa kaya kakalia jipu bichi. Hili lazima litumbukie kwenye boxer.
 
Mm anenifurahisha mbowe alipo sema chadema sio mahakama kwahiyo hawawezi kumtia hatiani luwasa
 

Hahahaaaa hapooooooo kwenye SI UNIT ya ufisadi umeuaaaaa ni JOKELI JK
 
ina maana yeye aliamini mojamoja kwa moja maneno hayo?? kua mamlaka za juu zimeagiza yeye km wazirimkuu aliuliza hzo mamlaka za juu ili kujirizisha ama alimuamini tu katibu?? lowasa huna akili mzee wangu pole sana utakufa kifo kibaya sana.
 
Hivi dereva wa hilo tinga tinga ni nani?
mkuu, dereva wa hilo tingatinga ni babu wa loliondo. masaa machache tu yaliyopita tingatinga amepata magoli 2 wakati edo kapata goli 12. mioyo ya wato wote imehama, sipati picha baada ya mwezi mmoja au kampeni zikianza itakuwaje.
 
weka akiba ya maneno mtoto,na usiwaamini wanasiasa.
 
Heri yeye kasema japo too late, kuliko wale waliopiga kimya na wanaendelea kututafuna taratibu... asingeongea leo wangekufa na hizi siri wakazikwa nazo makaburini

watanzania tujifunze sasa, siasa sio timu za mpira, safari hii ukinipa kofia, tisheti, kanga na chupa za chai nachukua na kura yangu hupati unless uniambie hela za kuninunulia hizo accessories umepata wapi na utarudishaje na kwanini usizitumie kuchangia kuchimba kisima cha maji mtaani kwetu

chenye harufu ya panya, muonekano wa panya, mwendo wa panya ni panya
 
kingunge aliwaonya...mkimkata patachimbika sasa hawakuliona hilo akina nepi na mangula wake. ndo panaanza kuchimbika. maana ukiona paka mkuu anavuliwa nguo hadharani jua kazaraulika na yote tuta yapata mpaka ya escrow. sipati picha siku jk anamkabidhi nchi el......itakuwa aibu sana kwake na fedheha
 

makubwa
 
hoja nyepesi sana unatoa. huwezi tumia hoja hizi kukanusha kwamba mamlaka za juu hazikuhusika.

Huyo Ng'wamalalala ni kada wa CCM kindakindaki, humuwezi mkuu!

Kuna watu katika serikali ya JK walishasema kufanya kazi na huyo jamaa inahitaji moyo.

Na hata Pinda Mizengo hapo alipo anatamani ikiwezekana uchaguzi ufanyike hata kesho tu ili mzee wa watu ajipatie mafao yake akapumzike hukooo kijijini kwake ili aendelee na ufugaji wa nyuki wake kwa sbb kufanya kazi na Mkwere yahitaji moyo.

Unakumbuka sakata la Jairo Pinda alivyopata taabu bungeni wakati jamaa (JK) yuko ughaibuni anakula good time tu na kuagiza kwa simu tu kwamba baadhi ya maafisa wa wizara ya nishati na madini wasimamishwe, isipokuwaJairo asubiriwe yeye hadi atakaporudi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…