Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu


Mkuu watanzania waliowengi inaonekana wanamatatizo ya akili,,, ni ngumu sana kufikili hiyo point ila ni rahisi kukubali utetezi dhaifu kabisa wa lowassa,,, kwa mtu mzalendo anaeipenda nchi yake hawezi kuona uozo akafumba mpaka mambo yakaharibika na tume ikaundwa,,, huyu mtu ni mtafuta maslahi tu kama wengine...
 

Mkuu LOWASSA ndio sio mzalendo kwani angekuwa mzalendo kumbe tusingeibiwa richmond huku yeye akiwa waziri mkuu,,, maana alijua mkataba feki yeye akaendelea kuwa waziri mkuu huku akijua tunakuja kupata hasara na yeye kesi itamuhusu,,, kwa nini asiseme kuliokoa taifa na sababu hiyo ingetosha kujiuzulu na kuwaambia watanzania anajiuzuru kwa kuwa kuna dhambi abc na sio kujiuzuru baada ya kukatwa,, je asingekatwa??? si angeendelea kuwa kimya bila ya taifa kujua??? Nimegundua kwa hili JK ndio mzalendo....
 
EL ni dhaifu , ameshindwa kutekeleza wajib wake akiwa kama mtendaji wa serikali [w/mkuu] kwa kumuogopa mkuu wake,
ilipaswa auvunje mkataba wa richmond au angejiuzulu ,

Uko sahihi sana*** mzalendo kumbe ni JK aliyemkata na kumshauri ajiuzuru..
 
Lowasa angekua mhusika asingeweza kutoka ndani ya sisiemu(ccm)coz ccm ndo ingekua imemhifadhi dhidi ya kashfa hiyo ya Richmond
 
waziri mkuu mzima jambo linakushinda unaenda kuomba ushauri kwa rostam azizi huyu hata ajitee vipi Richmond anayo chu wandishi wanawea mapezi wanashind kmuuliz mawali magumu
 
hamna kitu apo! Lowasa anahusika direct, kwani sahihi ni ya nani? sheria inambana 1 kwa 1.
ni sawa na wewe umuue mtu afu useme mamaako ndo alikwambia uue tena bila ushaidi! nan atahukumiwa?

hujui order and command:what: siku zote ulikuwa hujui mkulu anahusika na upo nchi hii😱 kathibitisha bado unajifanya kihelehele dah😎 chuki imekujaa punguza
 

Duuuuh. Jibu hili linapaswa kutolewa na mtoto wa miaka 5. Nadhani IQ ya huyu mzee ni ndogo sana. Waziri mkuu na waziri wa nishati ni nani yupo karibu zaidi na NGAZI YA JUU? Ilikuwaje yeye akapokea maelekezo ya waziri wa nishati bila kuthibitisha kwa hiyo ngazi ya juu? This is none sense
 


Kwa hiyo haya yote Dr.Slaa aliyajua ,ila alikuwa anatupigia kelele na kutujazia screen zetu za TV bila sababu since 2008???
 
ivi unaweza kumsema vibaya rais pindi akiwa madarakani ndio mana hata leo ameshindwa kumsema moja kwa moja amebali kusema mamlaka ya juu ndio uelewe hivyo acha unoko elewa haraka uclete mahaba

Kujiondoa CCM au kustaafu wadhifa wa Uwaziri mkuu hakuhitaji kumsema vibaya JK au raisi. Ni jambo ambalo lingeweza kufanyika bila kusubiri kuumbuliwa na mwakyembe.

CDM muwe na aibu, hakuna anayemzuia Lowassa kuwa CDM na UKAWA ila kumtetea mtu mliyekuwa mnamnanga kwa miaka 8 kisa amepenyeza rupia ni kitu kibaya sana.hii dhambi haitawaacha vivi hivi..., watu waliokufa kwenye maandamano yenu ya kupinga ufisadi damu zao hazitaenda vivi hivi..,karma will certainly strike back.
 
What changed is that ...Kwa sasa Tunaye Lowasa huku CHADEMA
Hata Dr Slaa alitoka CCM baada ya Kukatwa kwa tuhuma zake alizotungiwa na CCM...Its Just timing
This is Politics....Kule Field watu wanamwelewa sana Lowasa


haha.., subirieni muone mmtakachofanywa kwenye sanduku la kura.., maana mnawafanya watanzania mabwege...,
 
Dr Slaa bado tuendelee kukuamini?
tunaendelea kumwamini kwa sababu Lowasa hakupewa nafasi na kamati ya mwakyembe kujitetea, hata kule nec alitaka kubwaga manyanga Mkapa akamzuia, hili linaeleweka, ndio maana walishindwa kumvua gamba.
 
Huwezi kupingana na mamlaka iliyokuteua!
 
Asingekatwa tungejuaje?

Kuna watu wamezaliwa na wazazi wa ccm na wameapa kubakia humo humo hata iweje. Nadhani we ni mmoja wapo.
Ila kama we sio ccm basi lazima utakuwa ndugu yao mtoto wa baba mdogo ACT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…