Mtakiona kilichomnyoa kanga manyoa mwaka huu.
Ha ha ha..mi pia napenda unitokee tena usiku!
sawa sawa sasa in lipi? linalowauma.
Tunawasikitikia Watanzania wenzetu msio na uwezo wa kufikiri, mnalishwa matapishi ya Mbowe na nyinyi mmo tu.
Punguza wasi wasi kwani unauza mirungi...
Ukawa Ikulu taka usitake ..
Kuwa mpole angalia Mchezo dakika 90 tu utaamini kitachotokea..
Mkuu LOWASSA ndio sio mzalendo kwani angekuwa mzalendo kumbe tusingeibiwa richmond huku yeye akiwa waziri mkuu,,, maana alijua mkataba feki yeye akaendelea kuwa waziri mkuu huku akijua tunakuja kupata hasara na yeye kesi itamuhusu,,, kwa nini asiseme kuliokoa taifa na sababu hiyo ingetosha kujiuzulu na kuwaambia watanzania anajiuzuru kwa kuwa kuna dhambi abc na sio kujiuzuru baada ya kukatwa,, je asingekatwa??? si angeendelea kuwa kimya bila ya taifa kujua??? Nimegundua kwa hili JK ndio mzalendo....
.. Good to read what you think and appreciate! Time will tellI guess am convinced to say thank you for your utmost stupid comment i have ever seen. Thanks for your efforts anyway.
EL ni dhaifu , ameshindwa kutekeleza wajib wake akiwa kama mtendaji wa serikali [w/mkuu] kwa kumuogopa mkuu wake,
ilipaswa auvunje mkataba wa richmond au angejiuzulu ,
Mkuu ,mfano wako siyo hai. Mama yako muda mwwingine uwezo wa kumbishia upo lakini siohamna kitu apo! Lowasa anahusika direct, kwani sahihi ni ya nani? sheria inambana 1 kwa 1.
ni sawa na wewe umuue mtu afu useme mamaako ndo alikwambia uue tena bila ushaidi! nan atahukumiwa?
Waziri mkuu anaposema mamlaka ya juu anamaanisha nini?...au anamkusudia nani?...haya sasaa mambo hadharanii...