FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Mtakiona kilichomnyoa kanga manyoa mwaka huu.
Huyo kanga tumenyoa sisi tena ni kibudu aka nyamafu. Kuleni uozo wa matapishi mnayomezeshwa na Mbowe.
Misukule siwashangai kwa kuwa kila mtakacholishwa kwenu ni hewala tu, hamna akili za kufikiri wenyewe, nnamshangaa Mbowe, haoni hata haya kula matapishi yake?