OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 434
EL anasena walimsubiri Mgonja kwa lisaa limoja na baada ya hapo Mgonja akawaambia Mamlaka za juu zimesema hakuna kufuta mkataba.
EL hakuthibitisha hili kwa kumpigia au kuwasiliana na rais...sijui kwa nini hakufanya hivyo.
Baada ya hapo mkataba ukaendelea!
Je sasa tuamini kuwa Mgonja alimdanganya waziri mkuu?
Nani hasa alisaini huu mkataba?
Ni mamlaka ya juu au lowassa kwa ushauri wa mgonja?
Maelezo haya hayakutolewa na ccm ...yalitolewa na lowassawaulize CCM,maana mkutano wa leo walitaka kulizungumzia-wakaona itawa cost maana Lowassa angekuja na all guns blazing na kumwaga unga,ugali,maharage,dengu na what have you-nchi isingekalika-inabidi kuliko kujaza server humu kwanza ujaze dots mwenyewe
Lowassa mstaarabu sana, alitoa jibu la utu uzima sana..... Ulitaka amvue ngup Mzee wa Mamlaka ya Juu...?
Chokonozi. . . . . . .
connect dots,CCM leo walitaka kumjibu Lowassa tuhuma hizi za Richmond,dakika za mwisho hiyo agenda ikafutwa maana Lowassa ametishia yuko tayari kuvunja kiapo auleze kinagaubaga huu mchezo ulivyoenda- take my word CCM hawataitaja Richmond tena-hiyo amri imetoka AustraliaMaelezo haya hayakutolewa na ccm ...yalitolewa na lowassa
Ikulu ilitajwa sehemu gani?
Ikulu ilitajwa sehemu gani?
Lowassa mstaarabu sana, alitoa jibu la utu uzima sana..... Ulitaka amvue ngup Mzee wa Mamlaka ya Juu...?
Kwa akili ya kawaida haikuishia hapo lazima aliconfirm mamlaka ya juu.....tatizo CCM wote wezi, Kagoda iko wap? Simba trust ? mermeta na upuuzi mwiingi...ONDOA CCM OCTOBER 25, 2015EL anasena walimsubiri Mgonja kwa lisaa limoja na baada ya hapo Mgonja akawaambia Mamlaka za juu zimesema hakuna kufuta mkataba.
EL hakuthibitisha hili kwa kumpigia au kuwasiliana na rais.Sijui kwanini hakufanya hivyo.
Baada ya hapo mkataba ukaendelea!
Je, sasa tuamini kuwa Mgonja alimdanganya waziri mkuu?
Nani hasa alisaini huu mkataba?
Ni mamlaka ya juu au lowassa kwa ushauri wa mgonja?
Mamlaka ya juu haikuwasiliana na lowassa ikaamua kuwasiliana na Mgonja na lowassa mzee wa maamuzi magumu akakaa kimya!mamlaka za juu ya waziri mkuu ni yapi zaidi ya rais? kusoma hujui hata kwa picha huwezi kuona?
lowasa muongo sana huyo mzee....
EL anasena walimsubiri Mgonja kwa lisaa limoja na baada ya hapo Mgonja akawaambia Mamlaka za juu zim.., lowassa kwa ushauri wa mgonja?
Muda huu katika kukakiribishwa na kukabidhiwa kadi MH.LOWASSA ndani ya CHADEMA ,ameulizwa swali moja kuwa
Swali: Mh. Edward Lowassa unazungumiaje kuhusu kashfa ya Richmond?
Majibu Lowassa: Nipende tu kusema mimi kama waziri mkuu kwa kawaida ya sheria huwa ninaletewa mkataba muda wa mwisho kuupitia na kuupitisha huwa sihusiki na kuandaa mikataba,mwenye mamlaka ni waziri husika.
Hivyo baada ya kuletewa mkataba husika wa Richmond niliupitia na kiukweli niliuwekea shaka kwa sababu nilishawahi kuwa waziri wizara ya maji nina uzoefu na kuandaa mikataba, nilishauri mkataba huo uvunjwe lakini waziri wa nishati akawasiliana na "NGAZI YA JUU" na kulazimishwa kuupitisha mkataba huo.
Baada ya kugundulika kuwa mkataba huo ulikuwa na mapungufu mengi, "NILICHUKUA MAAMUZI MAGUMU KWA AJILI YA SERIKALI, na kubeba mzigo wote ndio maana hadi leo wanasema mimi ni FISADI WA RICHMOND, nipende kumaliza kwa kusema kwamba MWENYE USHAHIDI WA RICHMOND AENDE MAHAKAMANI AKANISHTAKI.
mwisho.
Utetezi wa kitoto,,, lowassa hawezi kujitoa kwenye hiki kinyesi...