Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

EL anasena walimsubiri Mgonja kwa lisaa limoja na baada ya hapo Mgonja akawaambia Mamlaka za juu zimesema hakuna kufuta mkataba.

EL hakuthibitisha hili kwa kumpigia au kuwasiliana na rais...sijui kwa nini hakufanya hivyo.

Baada ya hapo mkataba ukaendelea!

Je sasa tuamini kuwa Mgonja alimdanganya waziri mkuu?

Nani hasa alisaini huu mkataba?

Ni mamlaka ya juu au lowassa kwa ushauri wa mgonja?

Lowassa mstaarabu sana, alitoa jibu la utu uzima sana..... Ulitaka amvue ngup Mzee wa Mamlaka ya Juu...?
 
waulize CCM,maana mkutano wa leo walitaka kulizungumzia-wakaona itawa cost maana Lowassa angekuja na all guns blazing na kumwaga unga,ugali,maharage,dengu na what have you-nchi isingekalika-inabidi kuliko kujaza server humu kwanza ujaze dots mwenyewe
Maelezo haya hayakutolewa na ccm ...yalitolewa na lowassa
 
Maelezo haya hayakutolewa na ccm ...yalitolewa na lowassa
connect dots,CCM leo walitaka kumjibu Lowassa tuhuma hizi za Richmond,dakika za mwisho hiyo agenda ikafutwa maana Lowassa ametishia yuko tayari kuvunja kiapo auleze kinagaubaga huu mchezo ulivyoenda- take my word CCM hawataitaja Richmond tena-hiyo amri imetoka Australia
 
EL anasena walimsubiri Mgonja kwa lisaa limoja na baada ya hapo Mgonja akawaambia Mamlaka za juu zimesema hakuna kufuta mkataba.

EL hakuthibitisha hili kwa kumpigia au kuwasiliana na rais.Sijui kwanini hakufanya hivyo.

Baada ya hapo mkataba ukaendelea!

Je, sasa tuamini kuwa Mgonja alimdanganya waziri mkuu?

Nani hasa alisaini huu mkataba?

Ni mamlaka ya juu au lowassa kwa ushauri wa mgonja?
Kwa akili ya kawaida haikuishia hapo lazima aliconfirm mamlaka ya juu.....tatizo CCM wote wezi, Kagoda iko wap? Simba trust ? mermeta na upuuzi mwiingi...ONDOA CCM OCTOBER 25, 2015
 
mamlaka za juu ya waziri mkuu ni yapi zaidi ya rais? kusoma hujui hata kwa picha huwezi kuona?
Mamlaka ya juu haikuwasiliana na lowassa ikaamua kuwasiliana na Mgonja na lowassa mzee wa maamuzi magumu akakaa kimya!
 
CCM itaanguka kwa kuendekeza siasa za kinafiki na kuwatumia vijana kukashifu na kutukana watu.

Nape na kundi lake asije akaendelea kumdanganya rais na kujaribu kuvuruga taratibu za uchaguzi kama walivyovuruga taratibu za chama chao.
Sasa tunamchagua Rais wa nchi yenye watu mil.45.Walishachakachua kumpata rais wa chama chao sasa watuachie tumtafute rais wa nchi.

Goli la mkono analolizungumza Nape litamgharimu sana endapo CCM watajaribu kuhujumu ushindi wa UKAWA.
 
Muda huu katika kukakiribishwa na kukabidhiwa kadi MH.LOWASSA ndani ya CHADEMA ,ameulizwa swali moja kuwa

Swali: Mh. Edward Lowassa unazungumiaje kuhusu kashfa ya Richmond?

Majibu Lowassa:
Nipende tu kusema mimi kama waziri mkuu kwa kawaida ya sheria huwa ninaletewa mkataba muda wa mwisho kuupitia na kuupitisha huwa sihusiki na kuandaa mikataba,mwenye mamlaka ni waziri husika.

Hivyo baada ya kuletewa mkataba husika wa Richmond niliupitia na kiukweli niliuwekea shaka kwa sababu nilishawahi kuwa waziri wizara ya maji nina uzoefu na kuandaa mikataba, nilishauri mkataba huo uvunjwe lakini waziri wa nishati akawasiliana na "NGAZI YA JUU" na kulazimishwa kuupitisha mkataba huo.

Baada ya kugundulika kuwa mkataba huo ulikuwa na mapungufu mengi, "NILICHUKUA MAAMUZI MAGUMU KWA AJILI YA SERIKALI, na kubeba mzigo wote ndio maana hadi leo wanasema mimi ni FISADI WA RICHMOND, nipende kumaliza kwa kusema kwamba MWENYE USHAHIDI WA RICHMOND AENDE MAHAKAMANI AKANISHTAKI.

mwisho.

tusiwe wepesi wa kusahau jamani. Tume ya Mwakyembe iliyochunguza iligundua waziari mkuu alikuwa akiingilia mchakato wa ununuzi na taratibu za manunuzi ya umma na ndio alikuwa anashinikiza richmond ipewe kwa vimemo. Na ndio swala ambalo hata baada ya kina mwakyembe kumaliza kuwasilisha bungeni na wabunge kuchangia spika samweli sitta akampa nafasi ajitetee maana amekuwa implicated . Wote tuliona maana bunge lilikuwa live alishindwa kujitetea akaamua kuachia ngazi kwa aibu
sasa leo kasubiri wa tz tusahau aanze sanaa zake kama kawaida yake, tunamtaka aache kutupotosha
 
kama kweli lowasa alihusika katika suala la richmond kwa nini hadi leo hapelekwa mahakamani
 
Back
Top Bottom