Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

100% your right
 

mwanahalisi
 
Kujipa moyo kivipi wakati huo ndo ukweli!

Magamba kama kuna kitu kingine wanategemea sawa ila hii single ya Richmond imechuja.

Kuna TeamLowasa, 4Umovement, M4C,UKAWA wapenzi wa ccm wenye kumkubali Lowasa.Maccm mwaka huu umewaendele vibaya. Mwambieni huyo Mzee ashone suti ya siku ya kuapishwa hii kazi imeisha.
 

Kweli kabisa mkuu majibu ya Mh.Lowasa hayajitoshelezi.huwezi ukajibu maswali magumu kwa majibu rahisi kama alivyo Fanya. Angejiuzulu kabla ya kutia sahii . Ilionesha kuwa naye alishiriki kwenye hilo deal hata kama JK ndo alikuwa Engineer wa hilo dili. Kwakweli naona hafai . kwanza majibu aliyoyatoa dahhhhh! yaani ndo alijimaliza. Ingawa na JK kama mamlaka ya juu anatakiwa ajibu hizi tuhuma.
 
Wacheni kigugumizi,Muulizenu mbona akulisema hilo toka mwanzo aseme baada ya kukatwa?au kauli ya mfuga mbwa wazimu unamrudia mwenyewe...
 
Watu wenye hekima huwa hawajibizan na wendawazim. lko waz tu kuwa mkataba ule ulikuwa na sahihi ya lowasa na kama kwel aliagizwa na rais alipaswa kujionyesha hiyo document ya maagizo. naagizi hayatolew kwa mdomo. na kama kwa akili yake aliona c sahihi alipaswa kujiuzulu. Ni mwendawazimu tu anaeweza kuamin maneno ya fisad lowasa.
 
kikwete ndio muhusika mkuu wa wizi woote Tanzania na Richmond niyake pia hakuna asiye juwa ndio maana amekuwa kimya
 

Kuleni malimao kwa kuwa mwaka huu mmekanyaga mavi mnachechemea wakati sio mwiba
 
Hivi mfanyakazi akiambiwa na bosi wake aachane na jambo fulani. kikinuka huyo mfanyakazi hapaswi kusema hayo? Atakuwaje ameshirikiana na mkuu wake kama huyu zemarcopolo anavyobwabwaja? Bongo zingine utadhani ni usaha badala ya ubongo. Nyooo
 
Ikulu haina ubavu wa kumjibu Lowasa maana kufanya hivyo watazidi kuchafua hali ya hewa

Haya ndio mawazo ya wazee wa makapi. Viraka kila kukicha mmevibandua vya kuna shibuda mnabandika kina msindai. Siasa njaa kama hizi ccm itawale milele.
 

Hui ndio ukweli, JK analijua hilo kwamba zigo la Richmond ni Lake na familia yake, ajue kuna siku ya kujibu
 

Hivi kulingana na mtandao wa Forbes Lowasa ni tajiri wa ngapi hapa duniani? Maana anasemwa mno kwa pesa yake, watu wanamsimanga utadhani wanamdai.
 

KIJANA HUJUI SERIKALI INAVYOFANYA KAZI...UNAYAJUA MADOKEZO WEWE...! lowasa kaongea kidogo tu. Boss wako ni beyond you think..!mkurugenzi/au mkuu wa idara kakupa maelekezo fanya moja mbili tatu..acha hiyo..ipo safi, utafanyaje? Kikwete na lowasa walikuwa washikaji..lakin ushkaji unakufa pale mtu anakuwa boss wako.
 
ukimya ni silaha kubwa sana, wengine husema jibu la mjinga ni.....
 

Unashangaa nini serikalini kupokea maagizo kwa jnjia ya simu au kimemo tu? CCM inafanya hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…