Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu


Wakati hayo unayoeleza yanatokea LICHAMA ALILOKUWA NALO lilichukua hatua gani kuzuia hayo yote yasitokee kumbuka mwenyekiti wake ndo raisi wa JMT.
 
Wakati hayo unayoeleza yanatokea LICHAMA ALILOKUWA NALO lilichukua hatua gani kuzuia hayo yote yasitokee kumbuka mwenyekiti wake ndo raisi wa JMT.

Hatua zimeshachukuliwa na zinaendela kuchukiliwa na ndio maana fisadi Lowasa ameondolewa kwenye Kugombea Uraisi na Tume ya Maadili na Mahakama ya kushughulikia Mafisadi akiwemo yeye fisadi Lowasa na Genge lake inakuja...
 
kazi kweli kweli jamani muda hautoshi kumsafisha Lowasa mmeangukia Pua poleni
 
Hatua zimeshachukuliwa na zinaendela kuchukiliwa na ndio maana fisadi Lowasa ameondolewa kwenye Kugombea Uraisi na Tume ya Maadili na Mahakama ya kushughulikia Mafisadi akiwemo yeye fisadi Lowasa na Genge lake inakuja...
Huu ni ulaghai tu mafisadi CCM wameisha.
 
Lowassa amesingiziwa katika kashfa ya Richmond, ILA CCM MAMEIBA FEDHA NYINGI SANA ZA MALI YA UMMA KUPITIA MIKATABA MIBOVU KAMA EPA,Dowans,Kiwira n.k na bado wanalindana na kuendelea kutudanganya wananchi kwa ahadi za uongo. HATUDANGANYIKI TENA. Hatutamchagua mgombea wa CCM.
 
Hatua zimeshachukuliwa na zinaendela kuchukiliwa na ndio maana fisadi Lowasa ameondolewa kwenye Kugombea Uraisi na Tume ya Maadili na Mahakama ya kushughulikia Mafisadi akiwemo yeye fisadi Lowasa na Genge lake inakuja...

Ulishawahi sikia popote licha ya mbwembwe na kejeli nyingi Ulishaona JK anamwita LOWASA FISADI? Lowasa ni clean.Kama Lowasa ni fisadi wambie Magufuli,Mkapa,Mwinyi,na JK wamwite hadharani kuwa Lowasa ni fisadi
 
Ulishawahi sikia popote licha ya mbwembwe na kejeli nyingi Ulishaona JK anamwita LOWASA FISADI? Lowasa ni clean.Kama Lowasa ni fisadi wambie Magufuli,Mkapa,Mwinyi,na JK wamwite hadharani kuwa Lowasa ni fisadi
Kwani lowassa alishadai kua kikwete ni fisadi,,zaidi ya kusema mamlaka ya juju..waitane basi tujue moja
 
dah!! watu walipiga hela hadi wajukuu wao watakuwa matajiri kweli kuna watu hutumia fursa zao
 
Lowassa atueleze kwa ujasiri anavtoijua Richmond kama ambavyo Mwakyembe ameapa jana kumwaga mboga.
 
Last edited by a moderator:
Utangulizi: Lowassa alijiuzulu Uwaziri mkuu wa JMT mwaka 2008 kufuatia kashfa ya Richmond. Mwaka 2010 ulifanyika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, ambapo Mh. Edward Ngoyai Lowassa aligombea ubunge jimbo la Monduli. Team CCM ilipanda jukwaani na kumnadi mgombea ubunge huyo na alishinda.

Swali: Ni kitu gani Team CCM mliwaambia wananchi wa Monduli wakamchagua Lowassa ambacho leo kinakuwa dhambi Team UKAWA ikiwaeleza Watanzania?
 
Hawatajibu badala yake watakutukana. Hawana hoja za kujibu hoja strong kama hii badala yake watatoa povu tu.
 

Walikua na shida ya kura ya Raisi.
 
Huu uzi hautafikisha hata comments 200...ingaweje kimsingi ulitakiwa upate mjadala mpana sana...mnajua kwa nini???umewashika pabaya...
 
Wewe muuliza swali huna huruma, walau ungewauliza swali jepesi kwa mfano: Baada ya magufuli kuwakamata wale wavuvi wa asili ya asia na kuwafungulia kesi na hatimaye magufuli akashindwa kesi vibaya na wizara yake ikapigwa faini kubwa waulize je taifa limepata hasara kiasi gani kwa uzembe wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…