gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,577
Utaisha pale madudu aliyoyasababisha fisadi Lowasa na Genge lake yatakapokuwa cleared, Kumbuka Mgao wa Umeme unatokana na kwamba Tanesco imefilisika kabisa kwa sababu za kulipa madeni ya kampuni hewa iliyoletwa na fisadi Lowasa na Genge lake, hivyo hakuna fedha tena za kuwekeza kwenye Umeme na tunalipa madeni tu sasa hivi na ndiyo maana mtu kama fisadi Lowasa na genge lake walipaswa wawe shot at close range kwa maana kwa matendo yao watu wengi wamekuwa masikini, wamepoteza maisha, wengine wanashindwa kusoma, wawekezaji wanaondoka kwa sababu hatuna umeme, kujibu jibu lako ni kwamba hali hii tutaendela nayo kwa muda mrefu tu ujao na hayo ndiyo madhara ya ambayo fisadi Lowasa na Genge lake wameifanyia nchi hii achilia mbali wizi wa dhahabu zote ambazo Rostam ambaye ni genge la Lowasa wameiba mgodi wote wa Buzwagi wafaidika ni fisadi Lowasa na genge lake na wananchi wa Kahama wanaambulia saratani tu kutokana na vumbi kwa sababu ile ni open pit mining!
Hivyo tutachukuwaa muda mrefu ku-recover!
Wakati hayo unayoeleza yanatokea LICHAMA ALILOKUWA NALO lilichukua hatua gani kuzuia hayo yote yasitokee kumbuka mwenyekiti wake ndo raisi wa JMT.