Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

Nani anaweza kununua hii hekaya!

Yaani Waziri Mkuu anatumia maneno ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakati yeye ndiye namba tatu katika utawala wa nchi achilia mbali ile dhana ya kusema yeye hakukutana barabarani na Rais Kikwete. kwa maana kwamba, mahusiano yao yalikuwa zaidi ya mahusiano ya kikazi.

Kwa hiyo Mwanasheria Mkuu alivyomwambia, yeye hakuwasiliana na Rais kutaka kufahamu ukweli wake?

Kwa nini hakuliambia bunge hii story baada ya kupewa nafasi ya kutoa ufafanuzi?

Mtu mwenye fikara pana hawezi kununua hekaya hizi.

Fikra zako pana zinakuambia Waziri Mkuu alitakiwa aseme bungeni kwamba Richmond ni Ya Mkuu wa kaya hapo ndo uwezo wako wa fikra pana ulipofikia?
 
Badhani tumeshajua sasa kwa nini watu wanasema atalipiza kisasi, na kwa sababu ya kisasi tuu kura yangu angepata japo amwshasahau
 
Fikra zako pana zinakuambia Waziri Mkuu alitakiwa aseme bungeni kwamba Richmond ni Ya Mkuu wa kaya hapo ndo uwezo wako wa fikra pana ulipofikia?

Makes a lot of sense. Na ndiyo maana hadi leo hakuna anayejua mmiliki/wamiliki wa Simba Trust. Lakini tutajua tu ukweli wote in due time.
 
Mlitaka aseme alihusika ili akatwe tena? kashfa aliyotuhumiwa sio ya siasa ya chama bali ni maslahi ya umma na alipaswa kuulizwa na mamlaka ya serikali(mahakama) ikizingatiwa kuwa wanaomuuliza ndio waliomtuhumu kuhusika! au chadema wamekuwa mahakama?

Hakuhusika ndiyo maana hajafikishwa mahakamani
 
Dah siasa za kiafrika....
Jamani tuna hitaji elimu hasa
 
Ukweli haufichiki kamwe, sasa tumemjua mchawi nani. Na Lowasa kaweka wazi tu, toka andoke mbona mikataba mingi mibovu imesainiwa na hakuna mkubwa kama yeye aliejiuzulu au ni kivuli chake ndo kilisaini? Naamini hapa ni mwanzo tu ngoja angie ikulu tuyajue mengi.

Sasa kama yeye ni raodlofa.
 
Fikra zako pana zinakuambia Waziri Mkuu alitakiwa aseme bungeni kwamba Richmond ni Ya Mkuu wa kaya hapo ndo uwezo wako wa fikra pana ulipofikia?
Fikira zako pana unadhani alitakiwa aseme nini?

Kwa nini hakuwaambia wabunge wakati wa kujitetea kama mamlaka ya juu ya nchi ilimzuia kuvunja mkataba?
 
Bahati yenu mmeamua kuwawekea kinga hao wastaafu wenu wa magogoni wasisimame kwenye vizimba vya mahakama, vinginevo nisingepata picha baada ya kipindi flani kuisha.
 
Kwa kifupi utetezi wa Lowassa ni wa kimaslahi zaidi kuliko uhalisia. Binafsi niliacha kazi katika taasisi moja ya umma Tanzania kwa kutokuheshimiwa kwa utaalam wangu nilioutoa ambao ndio msingi wa mkataba wangu. Lowassa alipaswa kuachia ngazi ili kukataa kuitia hasara nchi kama aliona dili ilikuwa ni ulaji/ maslahi binafsi ya bosi wake. Kitendo cha kuridhia na kujiuzulu kwa shinikizo la Kamati ya Mwakyembe, kisha kujitetea baada ya kuenguliwa nafasi ya urais ni unafiki na ubinafsi uliopitiliza. Only fool people ndio wataweza kumuelewa.
 
kwa hiyo mamlaka juu ni ??????????? nasubiri majibu kwa waliojibu la mshahara wangu
 
CHADEMA wanachosahau ni kuwa Tuhuma za kumuita Lowassa Fisadi hazijatoka CCM zimetoka kwao CDM. sasa Lowassa anaposimama kudai walete ushahidi ni maigizo ya hali ya juu.

Siku zote wanaojisifu kwa kufichua ufisadi ni Upinzani, wakiongozwa na Dr.Slaa, kashfa nyingi CCM huwa inakataa uwepo wake na kuzitetea..,

kwa hali inakoelekea Rugemalila akipenyeza bilioni kadhaa Ufipa, utetezi wa Escrow unanza upyaa!!!! na watu tutadaiwa ushahidi au tu-shutup.,wakati tuhuma zimetoka humo humo UKAWA.

Hivi hawa viongozi wenu wa JUU wa ukawa bongo zao zimekaa vizuri????


Huyu Lowassa anayedai ushahidi nje ya UKAWA akili yake imekaa vizuri?amesahau hata aliyemuita fisadi ni nani?

nimekereka na kiwango ambacho hawa kina mbowe na wenzao wanadhania watanzania ni wapuuzi..,


Whatever circus that goes on in Lowassa- UKAWA fiasco,hatakiwi kuomba ushahidi wa ufisadi wake kokote kule kwani CCM has nothing to do with it kwa sababu wao hawakumuita Lowassa Fisadi kabla ya CDM kumnuita, Hata mie ningekuwa JK ningejitetea kuwa huyu mtu nimemkata kwa kuwa alikuwa na TUHUMA nyingi,tuhuma zikiongozwa na nyie UKAWA.simple and clear..,

Uko sahihi kabisa. Ni uninafsi na maslahi binafsi tu ndicho kilicho nyuma ya lowasa. How come mwenye maamuzi magumu kwa maslahi ya umma ukaridhia kufumbia macho wizi wa bodi wako? Si angejiuzulu at that moment ili kuonyesha kutoridhishwa na bosi wake kuifisadi nchi kama yeye siyo sehemu ya ufisadi huo?
 
Kwa kifupi utetezi wa Lowassa ni wa kimaslahi zaidi kuliko uhalisia. Binafsi niliacha kazi katika taasisi moja ya umma Tanzania kwa kutokuheshimiwa kwa utaalam wangu nilioutoa ambao ndio msingi wa mkataba wangu. Lowassa alipaswa kuachia ngazi ili kukataa kuitia hasara nchi kama aliona dili ilikuwa ni ulaji/ maslahi binafsi ya bosi wake. Kitendo cha kuridhia na kujiuzulu kwa shinikizo la Kamati ya Mwakyembe, kisha kujitetea baada ya kuenguliwa nafasi ya urais ni unafiki na ubinafsi uliopitiliza. Only fool people ndio wataweza kumuelewa.

ahata asingesaini mkataba ungepita tu kwa amri kutoka juu..
 
Back
Top Bottom