Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

Lowassa mnamsafisha huyo nikinyesi hasafishiki

Rafiki,
Ikulu inatakiwa ikanushe kutoa maelekezo ya kutositishwa kwa mkataba wa Richmond na si porojo za kama zako hizi..
 
Mimi nadiriki kusema Laigwanan EL hana hatia katika swala la Richmond.
 
Kuna wakati ukijibu ujinga na wewe utaonekana mjinga,miaka 8 imepita leo mtu aseme uongo wake halafu eti ikulu ikanusha ,sio kila ujinga ikulu itakanusha kuna mambo ya maana ya kufanya hapo ikulu kuliko kukesha kukanusha kila jambo,si mungesema ikulu iseme miaka 8 iliyopita?wakijibu ikulu hapatatosha ndugu zanguni.

Mara nyingi ni bora kukaa kimya kuficha ulimbukeni wako kuliko kubwabwaja utumbo wako! Kauli ya Lowassa ni ya mamlaka makubwa sio ya kupuuzwa kama unavyodhani wewe mburula!
 
Katika kipindi hiki kifupi chenye mambo mengi kwa taifa letu ikulu haiwezi sema lolote koz kila mtu anafikiria nijinsi gani atarudi ofisini kwake baada ya uchaguzi kwisha
 
nitaendelea kumlaumu Mwakyembe na kamati yake kwa kukubali kutumiwa....TZ kuna watu wengi wana PhD wanazopaswa kuchang'anywa...Mwakyembe is one of them....Akili kubwa inapoamua kutumiwa na akili ndogo.
 
Let's assume kwamba alichosema Lowassa ni kweli.

Maana yake ni kwamba Lowassa alishirikiana na mamlaka kulitia hasara taifa.

Hiyo mamlaka haigombei urais. Anayegombea ni Lowassa.

Mtu aliyeshirikiana na mamlaka kulitia hasara taifa hafai kuwa Rais.

Kwenye Richmond tumemkamata, kuna mangapi kafanya hatujayashtikia.

Kiujumla utetezi alioutoa Lowassa kajimaliza mwenyewe kwa kukiri kuhusika. Mimi nilifikiri atasema hajahusika...

Chama kilichoshirikiana kulitia hasara taifa hakifai kutupatia rais. Lowassa aliwajibika, alijiuzulu hamna adhabu ingene yoyote unayoweza kumpa. Kwa mtazamo wako yeye ana Richmond, CCM na Magufuli wake wana eskrow, meremeta, epa, tangold, iptl, twin tower etc etc etc mlolongo mrefu sana na mengine chungu mbovu ambayo hatujayashtukia. Angalau Lowassa amekiri nyie CCM mmekiri nini? Au hamhusiki vyote hivyo alifanya Lowassa?
 
One of the owners of Richmond is Rostam and he is the best buddy and financier of the Lowassa, so what do you think?
 
Na hizo memo alizokuwa anawapa watu wake wa chini watekeleze zilikuwa za nini teamLowasa a.k.a team dodoki. tena kwa handwriting yake na evidence zote zipo. asicheze na akili za watu, Kwa taarifa yako Mbowe keshavuta $2million na Mtei keshavuta $2.5million toka kwa Lowasa kupitia Bank moja uko Middle East kwa sasa hivi tunatoa hint tu. Hivi kwa akili ndogo tu ukimweka Lowasa na Dr. Slaa kwenye Jukwaa na utendaji nani ni Zaidi, si ni Dr. slaa. Kwanza Lowasa hajui hata kujitetea au kuongea kwenye majukwaa sema pesa yake ndo inaongea tu kwa kuwapa pesa ndogodogo kama nyiwe hili kuwapumbaza watu.

Dr, slaa alikuwa na nafasi kubwa ya kushinda kuliko Lowasa. Pia hatuwezi kurudia uchaguzi Mwaka kesho kwa maana afya yake sio nzuri kabisa. Mwambiye anyanyuwe mkono juu kwa dakika moja uone kama hajapanda ndege kwenda Ujerumani kwa matibabu.

Pia matokeo ya uchaguzi wa October yatakuwa hivi= Magufuri/CCM 76% Lowasa/Ukawa 33%, Zito/ACT 0.6% waliobaki 0.4%

Naona wewe lazima una undugu na Magufuli.... Kwa takwimu kuchonga hauna mfano.
 
One of the owners of Richmond is Rostam and he is the best buddy and financier of the Lowassa, so what do you think?

He was the best buddy but now he is the financier of Tingatinga.
 
Wacheni kigugumizi,Muulizenu mbona akulisema hilo toka mwanzo aseme baada ya kukatwa?au kauli ya mfuga mbwa wazimu unamrudia mwenyewe...
Umenikumbusha zamani sana.
Tulipewa makokwa ya maembe tukiwa wadogo ili kila mmoja akapande, sasa mimi ya kwangu nikapanda moja lingine nikalisahau kulipanda. Nilikuja kushtuka baada ya miaka zaidi ya sita wakati mingine imeshaanza kuzaa kuwa sikulipanda na nilipokwenda kuipanda ikaota vizuri tu na sasa tunakula maembe.
Nilichojifunza ni kuwa mbegu ni sawa na ukweli kwamba hata ukiuhifadhi na kuusema baada ya karne unakuwa uko vile vile. Ni kama mtu aliyejifunza 1+1=2 miaka mia moja iliyopita hata atakaye solve hiyo hesabu leo italeta jibu hilo hilo.
Cha msingi aliowataja wakanushe, kwa vile ni swala la aibu kukaa kimya kunaweza kumaanisha kukubali.

 
Kuna wakati ukijibu ujinga na wewe utaonekana mjinga,miaka 8 imepita leo mtu aseme uongo wake halafu eti ikulu ikanusha ,sio kila ujinga ikulu itakanusha kuna mambo ya maana ya kufanya hapo ikulu kuliko kukesha kukanusha kila jambo,si mungesema ikulu iseme miaka 8 iliyopita?wakijibu ikulu hapatatosha ndugu zanguni.

Mbona hamkumwita fisadi miaka 8 iliyopita mnawita fisadi leo? Halafu ona aibu kuliita hili jambo la kijinga. Jambo la kijinga wakati kila Mtanzania analiongelea hivi sasa, jambo la kijinga wakati mnaita press conference halamfu mnaikimbia nyinyi wenyewe. Ikulu sasa hivi hapatoshi, Mambo yamewekwa hadharani wamebaki kubwabwaja "Utaona cha mtema kuni"
 
Kwa anayejua dhamana ya uongozi Lowassa hajajibu kitu. Kacheza na akili za wadanganyika tu. Eti simu ilipigwa kwa mwanasheria halafu akaja kusema uongozi wa juu umesema mkataba uendelee. Waziri mkuu anaongea utumbo kama huu halafu mnauita utetezi?

Kila nikitafakari sentensi hii naona kwamba Lowassa hafai kabisa kuwa rais. Kiongozi asiyejua mamlaka aliyonayo katika ofisi yake. Anayepokea maelekezo ya simu pasipo kuwapo ushahidi wa maandishi. Hiyo simu ilipigwa kwa mwanasheria, kwa nini maelekezo asipewe yeye moja kwa moja? Je alifanya juhudi gani kuthibitisha Kuwa kweli uongozi wa juu umeagiza hivyo?

Akiwa kiongozi mwenye dhamana na uchungu wa kuwatumikia watanzania, kwa nini hukuchukua jukumu la kujiuzulu nafasi yake ili kuepusha kujihusisha na kulihujumu taifa? Hii ingemjengea heshima kubwa pamoja na kuaminika na watanzania. Badala yake akaamua kutumikia maslahi ya uongozi wa juu. Hebu na atueleze yeye alinufaikaje na dili hilo. Ni wazi kwamba hakuishia kuidhinisha tu, kwa sababu alishaufahamu mchezo mzima.

Lowassa ni kiongozi dhaifu tofauti na baadhi ya watu wanavyomdhania. Hafai hata kidogo kupewa madaraka ya juu kabisa ya nchi

Pamoja na kuuita utumbo bado hakuna mamlaka ilijitokeza kusema kuwa mkataba ulisainiwa kwa agizo au baraka za nani!
 
Kublai at your best! Congrats! hawa magamba umewashughulikia kwa hoja kubwa kubwa zenye mashiko!
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha zamani sana.
Tulipewa makokwa ya maembe tukiwa wadogo ili kila mmoja akapande, sasa mimi ya kwangu nikapanda moja lingine nikalisahau kulipanda. Nilikuja kushtuka baada ya miaka zaidi ya sita wakati mingine imeshaanza kuzaa kuwa sikulipanda na nilipokwenda kuipanda ikaota vizuri tu na sasa tunakula maembe.
Nilichojifunza ni kuwa mbegu ni sawa na ukweli kwamba hata ukiuhifadhi na kuusema baada ya karne unakuwa uko vile vile. Ni kama mtu aliyejifunza 1+1=2 miaka mia moja iliyopita hata atakaye solve hiyo hesabu leo italeta jibu hilo hilo.
Cha msingi aliowataja wakanushe, kwa vile ni swala la aibu kukaa kimya kunaweza kumaanisha kukubali.

Hii falsafa kubwa sana magamba hawana uwezo wa kuhimili, inawazidi uwezo kwa mbali sana!
 
Wanasubiri kampeni zianze ili kuchukua hatua uku kampeni zikiendelea
 
Watu wenye hekima huwa hawajibizan na wendawazim. lko waz tu kuwa mkataba ule ulikuwa na sahihi ya lowasa na kama kwel aliagizwa na rais alipaswa kujionyesha hiyo document ya maagizo. naagizi hayatolew kwa mdomo. na kama kwa akili yake aliona c sahihi alipaswa kujiuzulu. Ni mwendawazimu tu anaeweza kuamin maneno ya fisad lowasa.
Waziri Mkuu haweki sahihi kwenye mikataba.
 
Kwa anayejua dhamana ya uongozi Lowassa hajajibu kitu. Kacheza na akili za wadanganyika tu. Eti simu ilipigwa kwa mwanasheria halafu akaja kusema uongozi wa juu umesema mkataba uendelee. Waziri mkuu anaongea utumbo kama huu halafu mnauita utetezi?

Kila nikitafakari sentensi hii naona kwamba Lowassa hafai kabisa kuwa rais. Kiongozi asiyejua mamlaka aliyonayo katika ofisi yake. Anayepokea maelekezo ya simu pasipo kuwapo ushahidi wa maandishi. Hiyo simu ilipigwa kwa mwanasheria, kwa nini maelekezo asipewe yeye moja kwa moja? Je alifanya juhudi gani kuthibitisha Kuwa kweli uongozi wa juu umeagiza hivyo?

Akiwa kiongozi mwenye dhamana na uchungu wa kuwatumikia watanzania, kwa nini hukuchukua jukumu la kujiuzulu nafasi yake ili kuepusha kujihusisha na kulihujumu taifa? Hii ingemjengea heshima kubwa pamoja na kuaminika na watanzania. Badala yake akaamua kutumikia maslahi ya uongozi wa juu. Hebu na atueleze yeye alinufaikaje na dili hilo. Ni wazi kwamba hakuishia kuidhinisha tu, kwa sababu alishaufahamu mchezo mzima.

Lowassa ni kiongozi dhaifu tofauti na baadhi ya watu wanavyomdhania. Hafai hata kidogo kupewa madaraka ya juu kabisa ya nchi

Mkuu hebu tumia busara japo kidogo tu. Barua yake ya kumpa kazi inasema kwamba atapewa kazi nyingineo na mwajiri wake. Aliapa kadamnasini kwamba atakuwa mtiifu kwa bosi wake na akamwomba Munugu amsadie. Jamaa kamtumia vibaya na amemwanzishia vita vitakatifu, maana pamoja na urafiki waliokuwa nao walijikuta wanajuana mambo mengi sana. Kitendo cha Lowasa kuwa kimya kitambo ni adhabu tosha kwa JK maana hajui EL akiipuka atatema cheche gani kuibua soooooo!! Anayasema leo baada ya kuona rafiki aliyemtosa anakurunzizia kumkandamiza asipumue.
 
Back
Top Bottom