Baadhi ya wabunge wa bunge la Ulaya wamekamatwa kwa tuhuma za rushwa waliyo lipwa na Qatar kwa sababu ambazo hazijajulikana. Huko ndiko CHADEMA huwa wanaenda kutuchafua wakati wao nao kumbe ni wachafu kama CHADEMA TU.
View attachment 2443857
Mtuhumiwa mkuu ni Eva Kaili
Mbona unatangatanga!! Kwenda misibani siyo jambo la maana kuliko kusaidia watu wasife. Hao wazungu ndiyo wanasababisha mpaka leo Tanzania tunapewa ARV bure!!UKIFA wanakuja msibani- wazungu hasa wa Ulaya hawaendi hata kuzika wazazi wao
ARV inaondoa kifo eeeMbona unatangatanga!! Kwenda misibani siyo jambo la maana kuliko kusaidia watu wasife. Hao wazungu ndiyo wanasababisha mpaka leo Tanzania tunapewa ARV bure!!
Wewe unangoja watu wafe lakini wazungu wanazuia watu wasife kwa UKIMWI.
Mawazo yko yanawaza tu kifo,hongeraUKIFA wanakuja msibani- wazungu hasa wa Ulaya hawaendi hata kuzika wazazi wao
Mimi mtu akituhumiwa tu- sikai nae. Kwa CHADEM,A wanavyojitanabaisha kuwa wasafi hii kashfa haiwaaich salama na wao ni yaleyale
Waulize WAVIU ndiyo wanajua!!ARV inaondoa kifo eee
Umesahau Mramba, Yona, na Mbowe walifungwa halafu unasema hapa hatua hazichukuliwi- Utakuwa ulikuwa mwezini
nimesoma habari nzima ao waendesha mashitak wenyewe wanashuku tu hawana ushaidi kamili .Wenye bunge wanaona ni kashfa kubwa wewe chawa unaona siyo shida
EU corruption scandal puts democracy under attack - European Parliament head
Four people have been arrested over accusations Qatar bribed officials to try to win influence.www.bbc.com
Kimalkia kimemchanganya!!nimesoma habari nzima ao waendesha mashitak wenyewe wanashuku tu hawana ushaidi kamili .
maana yake kuwa ao ni washukiwa na sio watuhumiwa mkuu elewa neno moja moja kabla ya kupost pumba zako hapa
utakuwa na upungufu wa kumbukumbu
1. Kange Lugora aliwahi kukamatwa kwa tuhuma za rushwa kwa kukumpa
2. WABUNGE wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Arusha, wametiwa mbaroni na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya rushwa katika uchaguzi wa chama hicho. Taarifa ya Takukuru, iliwataja wabunge hao kuwa ni Elisa Mollel (Arumeru Magharibi) na Michael Lekule Laizer (Longido), na kwamba wanaendelea kuhojiwa, ili ikithibitika kuwa wanahusika na tuhuma hizo, hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yao. mmoj
Kangi lugola alikuja kuja waziri. Kumbe ccm inapenda wala rushwa.
ππππ waswahili tunasema mchawi lughaKimalkia kimemchanganya!!
Ulichoandika naona aibu Mimi.Hivi nyie CHADEMA imewauma sana bunge la ulaya kukubwa na kashfa ya rushwa iliyotolewa ili waliotoa waswemwe vizuri. Inawezekana huwa mnawahonga wabunge wa bunge la Ulaya ili wawaseme vizuri. Ndiyo maana hela ya ruzuku na michango ya kila siku haijulikani inaenda wapi
Nadhani unayoisema siyo Tanzania inayoongozwa na chama tawala CCM
View attachment 2444087
umeuliza swali la kijinga na stahiki yako ni jibu la kijinga