econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Baadhi ya wabunge wa bunge la Ulaya wamekamatwa kwa tuhuma za rushwa waliyo lipwa na Qatar kwa sababu ambazo hazijajulikana. Huko ndiko CHADEMA huwa wanaenda kutuchafua wakati wao nao kumbe ni wachafu kama CHADEMA TU.
View attachment 2443857
Mtuhumiwa mkuu ni Eva Kaili
Unahangaika na bunge la ulaya wakati nyumbani kuna deni la trilioni 91.