Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
Umesahau na maiti kwenye viroba...1. Kummiminia Tundu Lisu risasi 30
2. Kukata kichwa kwa shoka Alphonce mawazo
3. Kumsambaratisha matumbo Saudi mwangosi
4. Kumkata shingo mwenyekiti cdm USA liver Arusha
Nk nk
Tanzania ni zaidi ya kashogi
Dokta ulimboka mlimfanya nnTanzania hatujafikia huko ila tumuombe mungu tusifike ya kina kashogi video ya kashogi wakati anakatwa kichwa wakinamama wasiiangalie watablid bila kutarajia
Mkuu ww ndio yule mtoto wa Lowasa uliehudhuria kwa makonda ama ni majina tu kufanana,Video ilirekodiwa na nan?
Haaaaaa mkuu umewaza mbali sanaMkuu ww ndio yule mtoto wa Lowasa uliehudhuria kwa makonda ama ni majina tu kufanana,
Tukio la kinyama walilomfanyia Alphonse Mawazo lilikuwa la kutisha zaidi ya hili la kashogi. Mawazo hawakumchoma sindano yoyoteDokta ulimboka mlimfanya nn
Laiti video yake ingetoka basi akina mama wajawazito wangejifungua kabla ya siku zao
Wewe si uweke mzee baba ,mbona unaingilia majukumu ya mods ? Wakitoa hiyo haizuii haki yako ya kuiwekaModes wataitoa tu maana naona hata youtube wameiondoa
Iko wapi hiyo videoUsiombe kuiona kama una roho ndogo
nitumie PM MkuuMauaji mabaya sana yale.
Niliiona kwenye Page ya Abdul Nondo Instagram mkuu sinayo.nitumie PM Mkuu
Weka link mkuu tuone unyamaNiliiona kwenye Page ya Abdul Nondo Instagram mkuu sinayo.
Kama yale ya MO tunaambiwa? Kuwa hata mahojiano yake na "wazungu" yapo kwenye saver ni swala la muda tuu kuwekwa hadharani.SAA yake ilirekodi kila tukio huku ikituma kwenye laptop yake
Huna uhakika huo, ya kwetu hayaanikwi kiasi hiki, lakini hata makatili tunao kati yetu.Tanzania hatujafikia huko ila tumuombe mungu tusifike ya kina kashogi video ya kashogi wakati anakatwa kichwa wakinamama wasiiangalie watablid bila kutarajia
Weka link mkuu tuone unyama