Tetesi: Kashogi hakuumia wakati anakatwa kichwa alishakufa

Tetesi: Kashogi hakuumia wakati anakatwa kichwa alishakufa

Yatajulikana,mbeleni uchunguzi ukifanyika.
Ukiangalia video ya kashogi wakati anachinjwa shingo na shoka alikuwa hatikisiki wala kuonyesha anapata maumivu makali (agony) pale walishamuua tayari sasa sijui walimuua kwa staili gani kwanza kabla ya kumchinja pole sana kashogi

Hatujui Ben yalimfika yapi kwenye mikono ya watekaji wake
 
Hawa naona Mungu alisinzia wakati wa uumbaji akasahau kuwawekea roho ya binadamu wakapewa roho za nyoka koboko.kuwatambua unapima yatokayo vinywani mwao hawana maneno ya utu,wengi ni mchanganyiko wa binadamu na majini baada ya kupatikana kwa waganga pale wazazi wao walipokosa watoto.
Duh! Kuna watu wana roho mbaya kiasi kwamba hata shetani akiwaona anawaogopa...
 
1. Kummiminia Tundu Lisu risasi 30

2. Kukata kichwa kwa shoka Alphonce mawazo

3. Kumsambaratisha matumbo Saudi mwangosi

4. Kumkata shingo mwenyekiti cdm USA liver Arusha

Nk nk

Tanzania ni zaidi ya kashogi

Kabisa, alafu kuna mshkaji hapo juu anasema waarabu ni makatili wakati sisi ndio mara elufu kumi ya waarabu. Hii ngozi yetu bwana aliyetuloga alikuwa shujaa sana
 
Hawa naona Mungu alisinzia wakati wa uumbaji akasahau kuwawekea roho ya binadamu wakapewa roho za nyoka koboko.

Ila nasisi tusijisahau kwa kuwakatili maalbino na vikongwe! Tena sisi ni makatili zaidi ya binadamu wote duniani. Ni heri ningezaliwa mchina
 
Ukiangalia video ya kashogi wakati anachinjwa shingo na shoka alikuwa hatikisiki wala kuonyesha anapata maumivu makali (agony) pale walishamuua tayari sasa sijui walimuua kwa staili gani kwanza kabla ya kumchinja pole sana kashogi

Hatujui Ben yalimfika yapi kwenye mikono ya watekaji wake
Alikuwa hai.Kama angekuwa amekufa asingevuja damu vile.
 
Huyu kashogi hakusoma alama za nyakati walahi, Au ndio kifo kilikuwa kinamwita na huku mapenzi yamepamba moto na bibie, pesa alikuwa nayo nyingi sana na mtoto wa mfalme ni mwendawazimu, ya nini kushindana naye walahi
Duh NACHAGUA KUISHI WALAHI
 
Huyu kashogi hakusoma alama za nyakati walahi, Au ndio kifo kilikuwa kinamwita na huku mapenzi yamepamba moto na bibie, pesa alikuwa nayo nyingi sana na mtoto wa mfalme ni mwendawazimu, ya nini kushindana naye walahi
Duh NACHAGUA KUISHI WALAHI

😂😂
 
Video ile haifai kuwekwa hapa. Imeniharibia siku yangu kabisa. Ila ukweli ni kuwa kashogi alishazimia kabla ya kukatwa ile shingo kwa shoka. Sababu ukiangalia wakati anakatwa utaona vidole vya mikono vinahisi kitu kisichokwaida. Vinafinya[emoji24][emoji24]
 
Tukio la kinyama walilomfanyia Alphonse Mawazo lilikuwa la kutisha zaidi ya hili la kashogi. Mawazo hawakumchoma sindano yoyote
Macho yake yalishuhudia panga na shoka vikitua mwilini mwake na kumalizikia kichwani mwake na kutupwa barabarani huku wananchi wakiendelea na shughuli za upigaji picha hata kabla hajakata roho.
Haya yote kashogi hakuyapitia. Mungu ailaze mahala pema peponi Roho ya Mpendwa wetu Mawazo aliyeuliwa kinyama bila ya hatia. May his blood curse CCM and all of it's members

Huo ndio ulikuwa mwanzo wangu wa kuwachukia wasukuma. Waarabu wana nafuu maana wao wameathiriwa na imani potofu za kidini. Lakini ndugu zetu Hawa ni njaa tu ya madaraka mpaka kufanya unyama ule.

Eeh mola kwa bahati mbaya nimekumbuka tukio la kukatwa shingo na chainsaw mwenyekiti wa cdm kwenye uchaguzi Mdogo. Ccm!!
Mkuu Mexico drug cartels kama Sinaloa ndio wanatumia chainsaw kukata shingo za watu Tanzania sijawahi kusikia hii toka tupate uhuru
 
Back
Top Bottom