Unpaired
Senior Member
- Aug 3, 2018
- 176
- 169
we nawe visingizio vingi mara mods wataondoa, mara unatumia freebasic.. poa basiNinayo ila natumia freebasics sidhani kama itaaplad
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we nawe visingizio vingi mara mods wataondoa, mara unatumia freebasic.. poa basiNinayo ila natumia freebasics sidhani kama itaaplad
Ukiangalia video ya kashogi wakati anachinjwa shingo na shoka alikuwa hatikisiki wala kuonyesha anapata maumivu makali (agony) pale walishamuua tayari sasa sijui walimuua kwa staili gani kwanza kabla ya kumchinja pole sana kashogi
Hatujui Ben yalimfika yapi kwenye mikono ya watekaji wake
Ukifa huwezi toa damu vile tena ukiangalia vzuri damu ilikua ya moto maana kunavimvuke. Waarabu wakatili sana.
Duh! Kuna watu wana roho mbaya kiasi kwamba hata shetani akiwaona anawaogopa...
1. Kummiminia Tundu Lisu risasi 30
2. Kukata kichwa kwa shoka Alphonce mawazo
3. Kumsambaratisha matumbo Saudi mwangosi
4. Kumkata shingo mwenyekiti cdm USA liver Arusha
Nk nk
Tanzania ni zaidi ya kashogi
Hawa naona Mungu alisinzia wakati wa uumbaji akasahau kuwawekea roho ya binadamu wakapewa roho za nyoka koboko.
we nawe visingizio vingi mara mods wataondoa, mara unatumia freebasic.. poa basi
HIVI WALE WALIOPATIKANA KWENYE VILOBA inatofauti gani na hii..?
Alikuwa hai.Kama angekuwa amekufa asingevuja damu vile.Ukiangalia video ya kashogi wakati anachinjwa shingo na shoka alikuwa hatikisiki wala kuonyesha anapata maumivu makali (agony) pale walishamuua tayari sasa sijui walimuua kwa staili gani kwanza kabla ya kumchinja pole sana kashogi
Hatujui Ben yalimfika yapi kwenye mikono ya watekaji wake
Huna uhakika huo, ya kwetu hayaanikwi kiasi hiki, lakini hata makatili tunao kati yetu.
Nani kakudanganya kuwa hatujafika huko,Tanzania hatujafikia huko ila tumuombe mungu tusifike ya kina kashogi video ya kashogi wakati anakatwa kichwa wakinamama wasiiangalie watablid bila kutarajia
Huyu kashogi hakusoma alama za nyakati walahi, Au ndio kifo kilikuwa kinamwita na huku mapenzi yamepamba moto na bibie, pesa alikuwa nayo nyingi sana na mtoto wa mfalme ni mwendawazimu, ya nini kushindana naye walahi
Duh NACHAGUA KUISHI WALAHI
Mkuu Mexico drug cartels kama Sinaloa ndio wanatumia chainsaw kukata shingo za watu Tanzania sijawahi kusikia hii toka tupate uhuruTukio la kinyama walilomfanyia Alphonse Mawazo lilikuwa la kutisha zaidi ya hili la kashogi. Mawazo hawakumchoma sindano yoyote
Macho yake yalishuhudia panga na shoka vikitua mwilini mwake na kumalizikia kichwani mwake na kutupwa barabarani huku wananchi wakiendelea na shughuli za upigaji picha hata kabla hajakata roho.
Haya yote kashogi hakuyapitia. Mungu ailaze mahala pema peponi Roho ya Mpendwa wetu Mawazo aliyeuliwa kinyama bila ya hatia. May his blood curse CCM and all of it's members
Huo ndio ulikuwa mwanzo wangu wa kuwachukia wasukuma. Waarabu wana nafuu maana wao wameathiriwa na imani potofu za kidini. Lakini ndugu zetu Hawa ni njaa tu ya madaraka mpaka kufanya unyama ule.
Eeh mola kwa bahati mbaya nimekumbuka tukio la kukatwa shingo na chainsaw mwenyekiti wa cdm kwenye uchaguzi Mdogo. Ccm!!
Mapenzi yauwa ndio hayo walahi
HahahaaMapenzi yauwa ndio hayo walahi