Tetesi: Kashogi hakuumia wakati anakatwa kichwa alishakufa

Tetesi: Kashogi hakuumia wakati anakatwa kichwa alishakufa

kumbe ndio maana mawigi kaogopa kuiangalia,,kasema video haifai haifai ...
 
Haifai ile video nimeiona aisee
Halafu lile shoka nadhani ni spesho kwa hizo kazi halafu ni kama linaumeme pia maana wakati anamkata ile shingo ule mfupa mkubwa unaounganisha uti wa mgongo na kichwa ulikataa kukatika yule mchinjaji alichofanya aka press button Fulani IPO kwenye shoka then akaikandamiza hiyo button ikatoa mlio flani hivi wa shiiiiiiiiiiii kana kwamba wanamchinja kwa msumeno wa umeme dah kashogi umondoka kwa ukatili mkubwa ila saudia italipa aisee
 
Halafu lile shoka nadhani ni spesho kwa hizo kazi halafu ni kama linaumeme pia maana wakati anamkata ile shingo ule mfupa mkubwa unaounganisha uti wa mgongo na kichwa ulikataa kukatika yule mchinjaji alichofanya aka press button Fulani IPO kwenye shoka then akaikandamiza hiyo button ikatoa mlio flani hivi wa shiiiiiiiiiiii kana kwamba wanamchinja kwa msumeno wa umeme dah kashogi umondoka kwa ukatili mkubwa ila saudia italipa aisee
Inasikitisha sana aisee,, jamaa anamkata binadamu mwenzie kama anakata nyama buchani,, halafu watu diazini ile karibia wapo kwenye serikali zote za kidunia,,vikosi maalum kwa mahuaji,, Mungu atunusuru nchini kwetu kusiwepo na Death squad aisee,

Nilichojifunza kwenye nchi ambazo hazithamini uhai wa mtu au haki za binadamu,,haifai kabisa kukosoa watawala,,ni bora uwe bize kuangaikia maisha yako na wanao,, Kashogy kuukosoa utawala wa bin Salman ndio kumemponza masikini ya Mungu
 
Inasikitisha sana aisee,, jamaa anamkata binadamu mwenzie kama anakata nyama buchani,, halafu watu diazini ile karibia wapo kwenye serikali zote za kidunia,,vikosi maalum kwa mahuaji,, Mungu atunusuru nchini kwetu kusiwepo na Death squad aisee
Kwetu hakuna ukatili kama ila watakupiga pyu pyu au polonium au ajali nk ila mauaji ya kuchinja hapana hayapo aisee
 
Waarabu ni kizazi cha shetani, siyo binadamu. Ulimwengu wao siyo huu huku walikosea njia tu.
 
Inasikitisha sana aisee,, jamaa anamkata binadamu mwenzie kama anakata nyama buchani,, halafu watu diazini ile karibia wapo kwenye serikali zote za kidunia,,vikosi maalum kwa mahuaji,, Mungu atunusuru nchini kwetu kusiwepo na Death squad aisee,

Nilichojifunza kwenye nchi ambazo hazithamini uhai wa mtu au haki za binadamu,,haifai kabisa kukosoa watawala,,ni bora uwe bize kuangaikia maisha yako na wanao,, Kashogy kuukosoa utawala wa bin Salman ndio kumemponza masikini ya Mungu
Kwetu hapa hata mange wangemkamata wasingemfanya vile am sure 100%
 
Back
Top Bottom