Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mungu ibariki ChademaCHADEMA kwa Sasa inaendeleza operesheni achia wafungwa wa kisiasa inayoambatana na ujenzi wa ofisi za majimbo kote nchini. Ujenzi unafadhiliwa kwa 100 na wananchi wa kipato cha chini.
Niwapongeza wanaofanya kazi hii na kuwatakia kila la heri kukamiliza mradi huu ndani ya miaka mitatu iliyopangwa.
Hata mimi nimeamini Nguvu ya itikadi na imani inazidi nguvu ya mabonu na Nyukilia.CHADEMA kwa Sasa inaendeleza operesheni achia wafungwa wa kisiasa inayoambatana na ujenzi wa ofisi za majimbo kote nchini. Ujenzi unafadhiliwa kwa 100 na wananchi wa kipato cha chini.
Niwapongeza wanaofanya kazi hii na kuwatakia kila la heri kukamiliza mradi huu ndani ya miaka mitatu iliyopangwa.
walikuwa wanatafuta kwanza wafuasi. sasa wamewapata kujenga imekuwa rahisi kama kunawaWajenge tuu kwa kweli.. wametia aibu sana
Miaka zaidi ya 28 hawana hata makao makuu ya chamaππ
ccm bila pesa za serikali za umma imewahi kujenga hata ofsi ya china?Mwenyekiti angekuwa alianza na hela za ruzuku toka kitambo,saa hizi mngekuwa mnajenga kila tarafa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
wivu tu utakuuaHii ni njia nyingine ya kutafuna pesa za walala hoi, bila shaka mleta mada ni mnufaika wa hili swala ndo maana umekimbilia kuleta huu uzi humu ili mpate watu wengi wa kuwapiga. Kila siku tunaambiwa kuwa mwenyekiti ni tajiri wa kutupa lkn utajiri wake hatuuoni.
Makao makuu hovyo, ofisi ndogo hovyo na bado ruzuku au michango ikipatikana inaliwa na mwenyekiti akishirikiana na genge lake ambalo wengine wapo humu. Kuna jamaa alitoa pesa za kujenga Makao Makuu ya chama pamoja na kuchimba visima mbali mbali, hela hiyo ikayayukia ktk mikono ya wajanja wachache ambao leo hii ndio wanaoshikilia remote ya chama.
Kama mnataka msonge cha kwanza kabisa ni kumwambia Mwenyekiti ajihuzuru. Hapo mtapiga bonge la step na kujenga imani kwa baadhi ya wananchiCHADEMA kwa Sasa inaendeleza operesheni achia wafungwa wa kisiasa inayoambatana na ujenzi wa ofisi za majimbo kote nchini. Ujenzi unafadhiliwa kwa 100 na wananchi wa kipato cha chini.
Niwapongeza wanaofanya kazi hii na kuwatakia kila la heri kukamiliza mradi huu ndani ya miaka mitatu iliyopangwa.
Ngoja kwanza tumlinde linde mama, maana sukumagang na MATAGA wanampiga vita. Tukishamjengea uwezo ndio tunaanza kumkaba naye atupe mahitaji yetuPetty issues. Mnapoteza muda wa thamani sana kumshabikia mama badala ya kula naye sahani moja kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwa nguvu zote.
hili linatarajiwa siku za usoni. Chadema kusurvive hii dhoruba ya Mwendazake sio kazi rahisiChadema n imani, iko mioyon mwa watu[emoji119]
Kila Zama zina mwisho wake, ukwel mchungu ccm haina muda mrefu, mbuyu utaanguka
Unauliza maswali ya kitoto sana. Michango inapitia kwenye akaunti binafsi ya viongozi na kuliwa, CAG ataviona?Kivipi sasa CAG anatoa hati safi?
Tulia wewe katiba mpya uliisema wakati wa mwenda zake?Petty issues. Mnapoteza muda wa thamani sana kumshabikia mama badala ya kula naye sahani moja kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwa nguvu zote. Mkija kukurupuka kumekucha mnapigwa tena 2025 mnabakia kulalamika kwa malalamiko yale yale ya kuibiwa kura miaka nenda miaka rudi.
Nguvu zote zielekezwe kwenye katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla mama hajawa emboldened...mengine ni kupoteza muda tu labda kama lengo lenu si kushika dola siku moja na "kuwaokoa" Watanzania!
Hakika. Bado kusudi la Mungu lipo[emoji109]hili linatarajiwa siku za usoni. Chadema kusurvive hii dhoruba ya Mwendazake sio kazi rahisi
Hatuna haja nayo. Huwezi kujenga shina bila mizizi itaanguka tuππ mnaonaje mkianza na makao makuu kwanza?
walikuwa wanatafuta kwanza wafuasi. sasa wamewapata kujenga imekuwa rahisi kama kunawa
chadema itakutoa roho. sasa tuko 8M wanachama hai. Aliyepanga kuiua kafa yeyeKweli wamepata wafuasi million2 kwa miaka 28π π π π
Upo sahihi kabisaPetty issues. Mnapoteza muda wa thamani sana kumshabikia mama badala ya kula naye sahani moja kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwa nguvu zote. Mkija kukurupuka kumekucha mnapigwa tena 2025 mnabakia kulalamika kwa malalamiko yale yale ya kuibiwa kura miaka nenda miaka rudi.
Nguvu zote zielekezwe kwenye katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla mama hajawa emboldened...mengine ni kupoteza muda tu labda kama lengo lenu si kushika dola siku moja na "kuwaokoa" Watanzania!
katiba mpya hawawezi pewa wala tume huru hata wao wanalijua hilo, ndo maana wanatumia nguvu sehemu nyingine.Petty issues. Mnapoteza muda wa thamani sana kumshabikia mama badala ya kula naye sahani moja kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwa nguvu zote. Mkija kukurupuka kumekucha mnapigwa tena 2025 mnabakia kulalamika kwa malalamiko yale yale ya kuibiwa kura miaka nenda miaka rudi.
Nguvu zote zielekezwe kwenye katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla mama hajawa emboldened...mengine ni kupoteza muda tu labda kama lengo lenu si kushika dola siku moja na "kuwaokoa" Watanzania!