Kasi ya CHADEMA kujenga ofisi za majimbo kwa nguvu ya umma itufunze umuhimu wa kuwekeza kwa watu

Kasi ya CHADEMA kujenga ofisi za majimbo kwa nguvu ya umma itufunze umuhimu wa kuwekeza kwa watu

CHADEMA kwa Sasa inaendeleza operesheni achia wafungwa wa kisiasa inayoambatana na ujenzi wa ofisi za majimbo kote nchini. Ujenzi unafadhiliwa kwa 100 na wananchi wa kipato cha chini.

Niwapongeza wanaofanya kazi hii na kuwatakia kila la heri kukamiliza mradi huu ndani ya miaka mitatu iliyopangwa.
Mungu ibariki Chadema
 
CHADEMA kwa Sasa inaendeleza operesheni achia wafungwa wa kisiasa inayoambatana na ujenzi wa ofisi za majimbo kote nchini. Ujenzi unafadhiliwa kwa 100 na wananchi wa kipato cha chini.

Niwapongeza wanaofanya kazi hii na kuwatakia kila la heri kukamiliza mradi huu ndani ya miaka mitatu iliyopangwa.
Hata mimi nimeamini Nguvu ya itikadi na imani inazidi nguvu ya mabonu na Nyukilia.
 
Mwenyekiti angekuwa alianza na hela za ruzuku toka kitambo,saa hizi mngekuwa mnajenga kila tarafa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
ccm bila pesa za serikali za umma imewahi kujenga hata ofsi ya china?
 
Hii ni njia nyingine ya kutafuna pesa za walala hoi, bila shaka mleta mada ni mnufaika wa hili swala ndo maana umekimbilia kuleta huu uzi humu ili mpate watu wengi wa kuwapiga. Kila siku tunaambiwa kuwa mwenyekiti ni tajiri wa kutupa lkn utajiri wake hatuuoni.

Makao makuu hovyo, ofisi ndogo hovyo na bado ruzuku au michango ikipatikana inaliwa na mwenyekiti akishirikiana na genge lake ambalo wengine wapo humu. Kuna jamaa alitoa pesa za kujenga Makao Makuu ya chama pamoja na kuchimba visima mbali mbali, hela hiyo ikayayukia ktk mikono ya wajanja wachache ambao leo hii ndio wanaoshikilia remote ya chama.
wivu tu utakuua
 
CHADEMA kwa Sasa inaendeleza operesheni achia wafungwa wa kisiasa inayoambatana na ujenzi wa ofisi za majimbo kote nchini. Ujenzi unafadhiliwa kwa 100 na wananchi wa kipato cha chini.

Niwapongeza wanaofanya kazi hii na kuwatakia kila la heri kukamiliza mradi huu ndani ya miaka mitatu iliyopangwa.
Kama mnataka msonge cha kwanza kabisa ni kumwambia Mwenyekiti ajihuzuru. Hapo mtapiga bonge la step na kujenga imani kwa baadhi ya wananchi
 
Petty issues. Mnapoteza muda wa thamani sana kumshabikia mama badala ya kula naye sahani moja kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwa nguvu zote.
Ngoja kwanza tumlinde linde mama, maana sukumagang na MATAGA wanampiga vita. Tukishamjengea uwezo ndio tunaanza kumkaba naye atupe mahitaji yetu
 
Petty issues. Mnapoteza muda wa thamani sana kumshabikia mama badala ya kula naye sahani moja kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwa nguvu zote. Mkija kukurupuka kumekucha mnapigwa tena 2025 mnabakia kulalamika kwa malalamiko yale yale ya kuibiwa kura miaka nenda miaka rudi.

Nguvu zote zielekezwe kwenye katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla mama hajawa emboldened...mengine ni kupoteza muda tu labda kama lengo lenu si kushika dola siku moja na "kuwaokoa" Watanzania!
Tulia wewe katiba mpya uliisema wakati wa mwenda zake?
 
😆😂 mnaonaje mkianza na makao makuu kwanza?
 
Petty issues. Mnapoteza muda wa thamani sana kumshabikia mama badala ya kula naye sahani moja kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwa nguvu zote. Mkija kukurupuka kumekucha mnapigwa tena 2025 mnabakia kulalamika kwa malalamiko yale yale ya kuibiwa kura miaka nenda miaka rudi.

Nguvu zote zielekezwe kwenye katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla mama hajawa emboldened...mengine ni kupoteza muda tu labda kama lengo lenu si kushika dola siku moja na "kuwaokoa" Watanzania!
Upo sahihi kabisa
 
Petty issues. Mnapoteza muda wa thamani sana kumshabikia mama badala ya kula naye sahani moja kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwa nguvu zote. Mkija kukurupuka kumekucha mnapigwa tena 2025 mnabakia kulalamika kwa malalamiko yale yale ya kuibiwa kura miaka nenda miaka rudi.

Nguvu zote zielekezwe kwenye katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla mama hajawa emboldened...mengine ni kupoteza muda tu labda kama lengo lenu si kushika dola siku moja na "kuwaokoa" Watanzania!
katiba mpya hawawezi pewa wala tume huru hata wao wanalijua hilo, ndo maana wanatumia nguvu sehemu nyingine.

alafu katiba mpya mbona sio dawa mkuu, maana mbona hata hii inavunjwa tu na hakuna hatua zinazochukuliwa? hiyo mpya haitavunjwa??
 
Back
Top Bottom