Aisee nazidi kukupenda sana kwa kutumia akili sana.CHADEMA kwa Sasa inaendeleza operesheni achia wafungwa wa kisiasa inayoambatana na ujenzi wa ofisi za majimbo kote nchini. Ujenzi unafadhiliwa kwa 100 na wananchi wa kipato cha chini.
Niwapongeza wanaofanya kazi hii na kuwatakia kila la heri kukamiliza mradi huu ndani ya miaka mitatu iliyopangwa.
Kamuulize SabayaUshahidi uko wapi?
Ccm yenye magorofa imeifanyia nini Tanzania?Ruzuku huwa wanapeleka wap maana hata ofisi za makao makuu tu hawana.
Ccm inamajengo kibao lkn hakuna inakifanya zaidi ya kuwatia watanzania umasikiniWaache kuwaibia wananchi misharaha ya wabunge wao kipind chote walivhokuwa bungen pamoja na ruzuku wanazopata wangekuwa na ofis kila wilaya na kila kata
Inabidi wana wa Bukoba mjenge kitu cha uhakika maana kwa sasa cdm ni chama kikubwa na kinaheshimika duniani kote.Kamugisha, tumekusikia na sisi wa Bukoba.
Timu sukuma gang inazidi kumong'onyokaHii ni njia nyingine ya kutafuna pesa za walala hoi, bila shaka mleta mada ni mnufaika wa hili swala ndo maana umekimbilia kuleta huu uzi humu ili mpate watu wengi wa kuwapiga. Kila siku tunaambiwa kuwa mwenyekiti ni tajiri wa kutupa lkn utajiri wake hatuuoni.
Makao makuu hovyo, ofisi ndogo hovyo na bado ruzuku au michango ikipatikana inaliwa na mwenyekiti akishirikiana na genge lake ambalo wengine wapo humu. Kuna jamaa alitoa pesa za kujenga Makao Makuu ya chama pamoja na kuchimba visima mbali mbali, hela hiyo ikayayukia ktk mikono ya wajanja wachache ambao leo hii ndio wanaoshikilia remote ya chama.
Kamsaidie Sabaya kufungasha virago na huyo ni kati ya sukuma gang anazidi kutupiwa virago hadi muishe kabisaMbona Wilaya ya Hai hatuhamasiswi?
Kwahiyo wewe huo upumbavu ulionao ndiyo umekutia jeuri?upumbavu nao ni kipaji
Vipi Mama Kaka yako Mjomba Sabaya wamekula kichwa. pole sanaNa vikafutika sababu sio vyama vya siasa ni vitega uchumi vya wachache....
Ruzuku imepungua naona sasa mmeanza kupitisha bakuli ili mle๐คฃ๐คฃ
Vipi Mama Kaka yako Mjomba Sabaya wamekula kichwa. pole sana
Lowasa hanihusu. Lisabaya wamelinyosha kwelo kweli. Nchi inaendelea kuwa na amani.Waliliwa vichwa kina lowasa na lugola sembuse sabaya?
Wewe endelea kuidemkia tuu CCM maana huna namna hiyo ndo babalao
Lowasa hanihusu. Lisabaya wamelinyosha kwelo kweli. Nchi inaendelea kuwa na amani.
Atakuhusu vipi wakati mlimsafisha na hakusafishika๐๐๐๐
Kidumu chama cha mapinduzi
alijiona nguliUko excited kama vile umenunuliwa gauni la Eid๐๐๐๐
Kilichofanyika ni kitu cha kawaida sana katika utumishi, kama hujui kamuulize lugola na lowasa
Sasa wajinga wanakesha eti namna ya kumdhibiti mbowe ili kukiua chama!! Haya majibu yenu ni hayo.CHADEMA kwa Sasa inaendeleza operesheni achia wafungwa wa kisiasa inayoambatana na ujenzi wa ofisi za majimbo kote nchini. Ujenzi unafadhiliwa kwa 100 na wananchi wa kipato cha chini.
Niwapongeza wanaofanya kazi hii na kuwatakia kila la heri kukamiliza mradi huu ndani ya miaka mitatu iliyopangwa.