imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Yule jamaa alikuwa anaiogooa Chadema sanaEnzi ya utawala wa shetani wangeambiwa wanajenga kwenye reserve ya barabara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule jamaa alikuwa anaiogooa Chadema sanaEnzi ya utawala wa shetani wangeambiwa wanajenga kwenye reserve ya barabara
chadema itakutoa roho. sasa tuko 8M wanachama hai. Aliyepanga kuiua kafa yeye
Kama vyama havifi alikuwa anapambana ili iweje? alisema atavifuta. 😆😆akafutika yeye kamwe hatarudi tena.Binadamu wanakifa lakini vyama na taasisi makini hazifi.
Nyerere aliondoka lakini CCM aliyoijenga inaishi, Mkapa na JPM nao wamepumzika na kuacha chama imara
Chadema ilishakufaa zamani.... imebaki Sacco ya Mwenyekiti wa kudumu mwenye hakimiliki ya chama na wasaidizi wake watiifu waliojawa na karama ya uongo na matusi
Unataka kufungua kesi?Ushahidi uko wapi?
Bado mwasaka fursa ya kuleta maotea? Bidii za kishetani.Kama mnataka msonge cha kwanza kabisa ni kumwambia Mwenyekiti ajihuzuru. Hapo mtapiga bonge la step na kujenga imani kwa baadhi ya wananchi
Sina itikadi wala si mpenzi wa vyama ila kwa hili acha uongoHii ni njia nyingine ya kutafuna pesa za walala hoi, bila shaka mleta mada ni mnufaika wa hili swala ndo maana umekimbilia kuleta huu uzi humu ili mpate watu wengi wa kuwapiga. Kila siku tunaambiwa kuwa mwenyekiti ni tajiri wa kutupa lkn utajiri wake hatuuoni.
Makao makuu hovyo, ofisi ndogo hovyo na bado ruzuku au michango ikipatikana inaliwa na mwenyekiti akishirikiana na genge lake ambalo wengine wapo humu. Kuna jamaa alitoa pesa za kujenga Makao Makuu ya chama pamoja na kuchimba visima mbali mbali, hela hiyo ikayayukia ktk mikono ya wajanja wachache ambao leo hii ndio wanaoshikilia remote ya chama.
Wajenge tuu kwa kweli.. wametia aibu sana
Miaka zaidi ya 28 hawana hata makao makuu ya chama😃😃
UNAO USHAHIDI WA KUWA BABAKO NI KWELI BABAKO WA DAMU? (biological father) ????🤣🤣🤣🤨🤨🤨Ushahidi uko wapi?
Kama wewe ni pro-ccm hata akija na ushahidi wa jengo utasema ni Photoshop au utasema itabomoka kwakua wanatumia tope, bila kujua kuwa tofali zaa tope ni imara zaidiUshahidi uko wapi?
MmmghhhhWajenge tuu kwa kweli.. wametia aibu sana
Miaka zaidi ya 28 hawana hata makao makuu ya chama😃😃
Walafu mkuu utasikia watu wa Zama zile, na chama kile wakiyumba ,CHADEMA IMEKUFA,subutuCHADEMA kwa Sasa inaendeleza operesheni achia wafungwa wa kisiasa inayoambatana na ujenzi wa ofisi za majimbo kote nchini. Ujenzi unafadhiliwa kwa 100 na wananchi wa kipato cha chini.
Niwapongeza wanaofanya kazi hii na kuwatakia kila la heri kukamiliza mradi huu ndani ya miaka mitatu iliyopangwa.
Utasema ratio ya Cement ni ndogo!! Ilmaradi tuUshahidi uko wapi?
Dada hebu kamuulize Nduguyai kwanza, nadhani atakupa jibu la ukweli zaidi, litakakusaidia kuacha kuweweseka.Chadema ilishakufaa zamani.... imebaki Sacco ya Mwenyekiti wa kudumu mwenye hakimiliki ya chama na wasaidizi wake watiifu waliojawa na karama ya uongo na matusi
Shida huelewi hata Forensic auditing ni nini? Huwa inafanyika 360 search kuanzia movement ya pesa na miamala kwenye akaunti za wahusika na rafiki zao wa karibu. Hii ndio hupelekea hata watakatishaji fedha kukamatwa coz huwa hawatumii akaunti zao rasmi.Unauliza maswali ya kitoto sana. Michango inapitia kwenye akaunti binafsi ya viongozi na kuliwa, CAG ataviona?
Huyo Mdada ana IQ ya kupanua wigo tuKama vyama havifi alikuwa anapambana ili iweje? alisema atavifuta. 😆😆akafutika yeye kamwe hatarudi tena.
Usiongee kwa kukaririshwa manenoHii ni njia nyingine ya kutafuna pesa za walala hoi, bila shaka mleta mada ni mnufaika wa hili swala ndo maana umekimbilia kuleta huu uzi humu ili mpate watu wengi wa kuwapiga. Kila siku tunaambiwa kuwa mwenyekiti ni tajiri wa kutupa lkn utajiri wake hatuuoni.
Makao makuu hovyo, ofisi ndogo hovyo na bado ruzuku au michango ikipatikana inaliwa na mwenyekiti akishirikiana na genge lake ambalo wengine wapo humu. Kuna jamaa alitoa pesa za kujenga Makao Makuu ya chama pamoja na kuchimba visima mbali mbali, hela hiyo ikayayukia ktk mikono ya wajanja wachache ambao leo hii ndio wanaoshikilia remote ya chama.
Kama vyama havifi alikuwa anapambana ili iweje? alisema atavifuta. 😆😆akafutika yeye kamwe hatarudi tena.
Mama D upo , vipi lakin afya yako, maana mtikisiko haukuwa wa kawaida😀
Mmmghhhh