Kasi ya CHADEMA kujenga ofisi za majimbo kwa nguvu ya umma itufunze umuhimu wa kuwekeza kwa watu

Kasi ya CHADEMA kujenga ofisi za majimbo kwa nguvu ya umma itufunze umuhimu wa kuwekeza kwa watu

Shida huelewi hata Forensic auditing ni nini? Huwa inafanyika 360 search kuanzia movement ya pesa na miamala kwenye akaunti za wahusika na rafiki zao wa karibu. Hii ndio hupelekea hata watakatishaji fedha kukamatwa coz huwa hawatumii akaunti zao rasmi.

Sasa hiyo kazi TAKUKURU wakishirikiana na FIU walisaka data zote ila hawakuona wizi ndani ya CHADEMA hasa viongozi wake na kesi ikafutwa sasa ww ni nani kudai kuna ufisadi.
Unadhania kila mtu ni mbumbumbu?
 
Wanachi wameamua kujiongeza maana hela zote anakula Mbowe na genge lake!

Nyarandu: Wanachama wa kawaida wa chadema hawana shida kabisa, ukiwambia chochote watafanya, shida ipo kwa viongozi.
🤣🤣🤣 Hakika huyu mtu anaitwa Mbowe itakua ni the best sana yaan bungeni ni yeye mitandaon ni yeye kibaya zaid hua hajibu mashambulizi. Maybe he's very smart, BTW kwan nyalandu alikua anataka uongoz wa CDM ufanye nn kwan? Why karudi alikotoka? Hapo ndipo utaelewa kwann nguchiro hakamatiki. OVER!!
 
Sio mbaya sana kwa akili za chadema .....

Viongozi wenyewe Wametumbua ruzuku miaka yote28 bila kuwaza ujenzi wa office, baada ya ruzuku kupungua ndio akili ya kuwakamua wananchi kujenga hizo office imekuja🤣🤣🤣

Kuwa CHADEMA yataka moyo
Ni ngumu sana kumuelewesha mtu wa aina yako, ni ngumu sana! Umeshinda! Mara Chadema imekufa, Mara ni Saccos Mara Kikundi cha kitapeli!

Hizi ni hasira na kumpoteza Mwendazake na kumchukia Samia, kwahio kuwajibu watu wenye stress kiasi hiki ni ngumu. Mmeshinda!
 
Ni ngumu sana kumuelewesha mtu wa aina yako, ni ngumu sana! Umeshinda! Mara Chadema imekufa, Mara ni Saccos Mara Kikundi cha kitapeli!

Hizi ni hasira na kumpoteza Mwendazake na kumchukia Samia, kwahio kuwajibu watu wenye stress kiasi hiki ni ngumu. Mmeshinda!

Kusema chadema ni chama cha siasa ni utapeli na maigizo yanayofurahiwa na waliomchukia mwendazake kwa sababu zao binafsi.

Chadema ilikufa walipoamua kumchukua Lowasa aliyeshinikizwa na chama chake kujiuzulu kwa ufisadi na baadae kukatwa akiwa kwenye harakati ya kushika dola...

Bila kujali wala kuona haya chadema haohao wakamchukua waliyemuita fisadi papa na kumsafisha huku wakitaka ashike dola

Wanaojinasibu kuwa wanaChadema ni wasaka tonge, wasalitii na vibaraka tuu

Nina uchungu wa kumpoteza JPM ila Sina stress za kumpoteza JPM sababu ameacha serikali imara na rais wetu SSH yupo imara... tulieni maana kile mnachokitaka nusunusu atawapa kikiwa kamili

Stress ziko kwenu ambao Rais wenu ni mkimbizi huko ubelgij, ruzuku zimekata ndio mnashtuka kuanza kutembeza bakuli, miaka28 chama hakina office🤣🤣


Kuwa mwanachadema lazima mtu mzima ujitoe ufahamu kidogo
 
Kusema chadema ni chama cha siasa ni utapeli na maigizo yanayofurahiwa na waliomchukia mwendazake kwa sababu zao binafsi.

Chadema ilikufa walipoamua kumchukua Lowasa aliyeshinikizwa na chama chake kujiuzulu kwa ufisadi na baadae kukatwa akiwa kwenye harakati ya kushika dola...

Bila kujali wala kuona haya chadema haohao wakamchukua waliyemuita fisadi papa na kumsafisha huku wakitaka ashike dola

Wanaojinasibu kuwa wanaChadema ni wasaka tonge, wasalitii na vibaraka tuu

Nina uchungu wa kumpoteza JPM ila Sina stress za kumpoteza JPM sababu ameacha serikali imara na rais wetu SSH yupo imara... tulieni maana kile mnachokitaka nusunusu atawapa kikiwa kamili

Stress ziko kwenu ambao Rais wenu ni mkimbizi huko ubelgij, ruzuku zimekata ndio mnashtuka kuanza kutembeza bakuli, miaka28 chama hakina office🤣🤣


Kuwa mwanachadema lazima mtu mzima ujitoe ufahamu kidogo
Hahahaahaa Samia kamkata nanihiiii Sabaya huko hahahahhahahaa safi sana
 
Kusema chadema ni chama cha siasa ni utapeli na maigizo yanayofurahiwa na waliomchukia mwendazake kwa sababu zao binafsi.

Chadema ilikufa walipoamua kumchukua Lowasa aliyeshinikizwa na chama chake kujiuzulu kwa ufisadi na baadae kukatwa akiwa kwenye harakati ya kushika dola...

Bila kujali wala kuona haya chadema haohao wakamchukua waliyemuita fisadi papa na kumsafisha huku wakitaka ashike dola

Wanaojinasibu kuwa wanaChadema ni wasaka tonge, wasalitii na vibaraka tuu

Nina uchungu wa kumpoteza JPM ila Sina stress za kumpoteza JPM sababu ameacha serikali imara na rais wetu SSH yupo imara... tulieni maana kile mnachokitaka nusunusu atawapa kikiwa kamili

Stress ziko kwenu ambao Rais wenu ni mkimbizi huko ubelgij, ruzuku zimekata ndio mnashtuka kuanza kutembeza bakuli, miaka28 chama hakina office🤣🤣


Kuwa mwanachadema lazima mtu mzima ujitoe ufahamu kidogo
Hahahaha hahahaahahhaa hahahaha andikaaaaa weeeeeee leo Nina raha tu, Mama atawashangaza hadi mkufe
 
Hahahaha hahahaahahhaa hahahaha andikaaaaa weeeeeee leo Nina raha tu, Mama atawashangaza hadi mkufe
Kinachokuchekesha hapo ni nini!?
Kwani ndio mara ya kwanza kushuhudia rais akitengua uteuzi au kusimamisha mtu kazi hadi tushangae?

Wanafiki wakubwa nyie
Wanafki ni nyie msiojua hata mnachokitaka😆😆😆
Wacha ironlady awavuruge maana sasa hamjui hata mliposimama🤣🤣🤣🤣
 
CHADEMA kwa Sasa inaendeleza operesheni achia wafungwa wa kisiasa inayoambatana na ujenzi wa ofisi za majimbo kote nchini. Ujenzi unafadhiliwa kwa 100 na wananchi wa kipato cha chini.

Niwapongeza wanaofanya kazi hii na kuwatakia kila la heri kukamiliza mradi huu ndani ya miaka mitatu iliyopangwa.
Tuendelee kutuma michango mpaka jobo apasuke
 
Hii ni njia nyingine ya kutafuna pesa za walala hoi, bila shaka mleta mada ni mnufaika wa hili swala ndo maana umekimbilia kuleta huu uzi humu ili mpate watu wengi wa kuwapiga. Kila siku tunaambiwa kuwa mwenyekiti ni tajiri wa kutupa lkn utajiri wake hatuuoni.

Makao makuu hovyo, ofisi ndogo hovyo na bado ruzuku au michango ikipatikana inaliwa na mwenyekiti akishirikiana na genge lake ambalo wengine wapo humu. Kuna jamaa alitoa pesa za kujenga Makao Makuu ya chama pamoja na kuchimba visima mbali mbali, hela hiyo ikayayukia ktk mikono ya wajanja wachache ambao leo hii ndio wanaoshikilia remote ya chama.
Walala hoi wakoje unaowazungumzia kama wewe au?
 
Back
Top Bottom