mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Dada hebu kamuulize Nduguyai kwanza, nadhani atakupa jibu la ukweli zaidi, litakakusaidia kuacha kuweweseka.
Chadema ni mfano wa chama cha siasa ila sio chama cha siasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada hebu kamuulize Nduguyai kwanza, nadhani atakupa jibu la ukweli zaidi, litakakusaidia kuacha kuweweseka.
Unadhania kila mtu ni mbumbumbu?Shida huelewi hata Forensic auditing ni nini? Huwa inafanyika 360 search kuanzia movement ya pesa na miamala kwenye akaunti za wahusika na rafiki zao wa karibu. Hii ndio hupelekea hata watakatishaji fedha kukamatwa coz huwa hawatumii akaunti zao rasmi.
Sasa hiyo kazi TAKUKURU wakishirikiana na FIU walisaka data zote ila hawakuona wizi ndani ya CHADEMA hasa viongozi wake na kesi ikafutwa sasa ww ni nani kudai kuna ufisadi.
🤣🤣🤣 Hakika huyu mtu anaitwa Mbowe itakua ni the best sana yaan bungeni ni yeye mitandaon ni yeye kibaya zaid hua hajibu mashambulizi. Maybe he's very smart, BTW kwan nyalandu alikua anataka uongoz wa CDM ufanye nn kwan? Why karudi alikotoka? Hapo ndipo utaelewa kwann nguchiro hakamatiki. OVER!!Wanachi wameamua kujiongeza maana hela zote anakula Mbowe na genge lake!
Nyarandu: Wanachama wa kawaida wa chadema hawana shida kabisa, ukiwambia chochote watafanya, shida ipo kwa viongozi.
Chadema ni mfano wa chama cha siasa ila sio chama cha siasa
Nakusalimu kwa hisani ya coral paint ya kijani na njano
Ni ngumu sana kumuelewesha mtu wa aina yako, ni ngumu sana! Umeshinda! Mara Chadema imekufa, Mara ni Saccos Mara Kikundi cha kitapeli!Sio mbaya sana kwa akili za chadema .....
Viongozi wenyewe Wametumbua ruzuku miaka yote28 bila kuwaza ujenzi wa office, baada ya ruzuku kupungua ndio akili ya kuwakamua wananchi kujenga hizo office imekuja🤣🤣🤣
Kuwa CHADEMA yataka moyo
Ni ngumu sana kumuelewesha mtu wa aina yako, ni ngumu sana! Umeshinda! Mara Chadema imekufa, Mara ni Saccos Mara Kikundi cha kitapeli!
Hizi ni hasira na kumpoteza Mwendazake na kumchukia Samia, kwahio kuwajibu watu wenye stress kiasi hiki ni ngumu. Mmeshinda!
Hahahaahaa Samia kamkata nanihiiii Sabaya huko hahahahhahahaa safi sanaKusema chadema ni chama cha siasa ni utapeli na maigizo yanayofurahiwa na waliomchukia mwendazake kwa sababu zao binafsi.
Chadema ilikufa walipoamua kumchukua Lowasa aliyeshinikizwa na chama chake kujiuzulu kwa ufisadi na baadae kukatwa akiwa kwenye harakati ya kushika dola...
Bila kujali wala kuona haya chadema haohao wakamchukua waliyemuita fisadi papa na kumsafisha huku wakitaka ashike dola
Wanaojinasibu kuwa wanaChadema ni wasaka tonge, wasalitii na vibaraka tuu
Nina uchungu wa kumpoteza JPM ila Sina stress za kumpoteza JPM sababu ameacha serikali imara na rais wetu SSH yupo imara... tulieni maana kile mnachokitaka nusunusu atawapa kikiwa kamili
Stress ziko kwenu ambao Rais wenu ni mkimbizi huko ubelgij, ruzuku zimekata ndio mnashtuka kuanza kutembeza bakuli, miaka28 chama hakina office🤣🤣
Kuwa mwanachadema lazima mtu mzima ujitoe ufahamu kidogo
Hahahaha hahahaahahhaa hahahaha andikaaaaa weeeeeee leo Nina raha tu, Mama atawashangaza hadi mkufeKusema chadema ni chama cha siasa ni utapeli na maigizo yanayofurahiwa na waliomchukia mwendazake kwa sababu zao binafsi.
Chadema ilikufa walipoamua kumchukua Lowasa aliyeshinikizwa na chama chake kujiuzulu kwa ufisadi na baadae kukatwa akiwa kwenye harakati ya kushika dola...
Bila kujali wala kuona haya chadema haohao wakamchukua waliyemuita fisadi papa na kumsafisha huku wakitaka ashike dola
Wanaojinasibu kuwa wanaChadema ni wasaka tonge, wasalitii na vibaraka tuu
Nina uchungu wa kumpoteza JPM ila Sina stress za kumpoteza JPM sababu ameacha serikali imara na rais wetu SSH yupo imara... tulieni maana kile mnachokitaka nusunusu atawapa kikiwa kamili
Stress ziko kwenu ambao Rais wenu ni mkimbizi huko ubelgij, ruzuku zimekata ndio mnashtuka kuanza kutembeza bakuli, miaka28 chama hakina office🤣🤣
Kuwa mwanachadema lazima mtu mzima ujitoe ufahamu kidogo
Hahahaahaa Samia kamkata nanihiiii Sabaya huko hahahahhahahaa safi sana
Wanafiki wakubwa nyieRais anafanya kazi yake
Kinachokuchekesha hapo ni nini!?Hahahaha hahahaahahhaa hahahaha andikaaaaa weeeeeee leo Nina raha tu, Mama atawashangaza hadi mkufe
Wanafki ni nyie msiojua hata mnachokitaka😆😆😆Wanafiki wakubwa nyie
Wazidi kunichekesha. Pole.Chadema ni mfano wa chama cha siasa ila sio chama cha siasa
Tuendelee kutuma michango mpaka jobo apasukeCHADEMA kwa Sasa inaendeleza operesheni achia wafungwa wa kisiasa inayoambatana na ujenzi wa ofisi za majimbo kote nchini. Ujenzi unafadhiliwa kwa 100 na wananchi wa kipato cha chini.
Niwapongeza wanaofanya kazi hii na kuwatakia kila la heri kukamiliza mradi huu ndani ya miaka mitatu iliyopangwa.
😀😃😃😃😃Nipoooo tena imara zaidi ya jana
Wewe ni mbumbumbu mkuuUnadhania kila mtu ni mbumbumbu?
Wewe ni mbumbumbu na tapeli wa kisiasa. Kufa na Act wazalendo yako ukitapeli wapuuzi.Wewe ni mbumbumbu mkuu
Mbona povu jingi hivi hadi linamwagika?Hahahaha hahahaahahhaa hahahaha andikaaaaa weeeeeee leo Nina raha tu, Mama atawashangaza hadi mkufe
Huwa sijibishani na vitoto, wewe hustahiku hata reply yangu nusu acha mojaMbona povu jingi hivi hadi linamwagika?
Pole yako unayeshikilia maneno kama Demu wa Uswasi
Walala hoi wakoje unaowazungumzia kama wewe au?Hii ni njia nyingine ya kutafuna pesa za walala hoi, bila shaka mleta mada ni mnufaika wa hili swala ndo maana umekimbilia kuleta huu uzi humu ili mpate watu wengi wa kuwapiga. Kila siku tunaambiwa kuwa mwenyekiti ni tajiri wa kutupa lkn utajiri wake hatuuoni.
Makao makuu hovyo, ofisi ndogo hovyo na bado ruzuku au michango ikipatikana inaliwa na mwenyekiti akishirikiana na genge lake ambalo wengine wapo humu. Kuna jamaa alitoa pesa za kujenga Makao Makuu ya chama pamoja na kuchimba visima mbali mbali, hela hiyo ikayayukia ktk mikono ya wajanja wachache ambao leo hii ndio wanaoshikilia remote ya chama.