Kasi ya kuzaa kwa Wasichana wadogo Mkoa wa Lindi inahitaji Ufumbuzi kwani taifa linaangamia

Kasi ya kuzaa kwa Wasichana wadogo Mkoa wa Lindi inahitaji Ufumbuzi kwani taifa linaangamia

Ndiyo uhalisia huo mkuu au haujawahi kuishi rural area? Au upo kwa shemeji hapo kimara bonyokwa ukimsaidia dada kufua nguo za ndani za shemeji na kubadilisha nepi mtoto? Tembea bwana au umemaliza chuo mwaka huu?
Wacha maneno, Lete watoto, zaa, tena zaa.
 
Mwezi uliopita niliwasema Vijana wa kiume wa Jiji la Arusha kwa lengo la kuisaidia jamii hii ijirekebisha na kutunza Tunu ya Vijana mbayo ni nguvu kazi ya Taifa.

Hata hivyo baada ya muda mchache nilifika Mkoa wa Lindi Wilaya ya Ruangwa kwa PM.

Wajameni tunahitaji intervention, hali inatisha.

Kwanza sifa ya mkoa huu ni hii

1. Mkoa huu kwa kutazama tu( obervation) una Wanawake wachache kuliko wanaume. Yaani si ajabu ukitembea ukakutana na wanaume 20 na mwanamke mmoja au hakuna kabisa. Utasema labda wanawake wanashinda majumbani.

Ukienda majumbani unakuta wanaume 6 , mwanamke Mmoja tena Mke wa Baba Mwenye nyumba.

2. Kutokana na sababu hiyo namba 1, wanawake huku wana thamani kubwa sana. Nawaonea huruma wanaum3 wa huku.

3. Wanawake hao wachache waliopo asilimia 70-90% ni Single mazas.
4. Hao Single mazas ukiwaona unaungiwa na huruma, wamechoka balaa. Maisha magumu mno.

Ni kawaida kukutana na wanawake umri kati ya 17 hadi 30 wakiwa kundi la watu 10-15 wote wamebeba watoto wachanga

Hali ni mbaya sana. Wanawake hawafurahii maisha ya ujana wao. At her 20yrs tayari ana watoto watatu, ameachwa, ana madeni.

Something has to be done aisee.
Nchi 20 zenye idadi ndogo ya vifo vya kina mama wakati wakujifungua Africa (2020), pia inaitwa maternal mortality rate (MMR) ni njia nyingine ya kupima maendeleo ya nchi.

Namba baada ya jina la nchi ni Idadi hii ni ya Vifo vilivyotokea kati ya kila wanawake laki mmoja waliojifungua salama mwaka 2020.

1. Egypt 🇪🇬 - 16.8
2. Morocco 🇲🇦- 71.9
3. Libya 🇱🇾- 72.1
4. Algeria 🇩🇿 - 77.7
5. Mauritius 🇲🇺 - 84.4
6. South Africa 🇿🇦 - 126
7. Mozambique 🇲🇿- 127.1
8. Zambia 🇿🇲 - 134.7
9. Botswana 🇧🇼 - 185.9
10. Equatorial Guinea 🇬🇶- 212.3
11. Namibia 🇳🇦 - 214.6
12. Comoros 🇰🇲 - 217
13. Angola 🇦🇴 - 221.9
14. Gabon 🇬🇦 - 226.6
15 Djibouti 🇩🇯 - 234.5
16. Tanzania 🇹🇿 - 238.3
17. Eswatini 🇸🇿 - 239.6
18. Rwanda 🇷🇼 - 258.9
19. Senegal 🇸🇳 - 260.9
20. Ghana 🇬🇭 - 263.1

Sources
1. WHO
2. OWID
 
Kuna matatizo mengine ya jamii hayawezi kutibiwa yenyewe kama yenyewe. Matatizo mengine mpaka kitibiwe kitu kingine kabisa ili tatizo lile lijishepu na kukaa sawa. Hawa wanaozaa mapema tayari walikuwa kwenye risk ya kupata ukimwi kwani kinga haikutumika hapo. Rashidi Jololo ana Ngo inapambana na ukimwi kufikia 95-95-95 ya mwaka 2030 cha ajabu humu hatokei
Tanzania ilikuwa kwenye kufikia 90-90-90. Walivyoenda kwenye mikutano ya PEPFAR na kusikia Zimbabwe inapongezwa kwa kufikia 95-95-95, ghafla Data za Tanzania zikaanza kusoma 95-95-95, wakati hali ya maambukizi inazidi kuwa worse.

Hao wenye NGOs za mapambano ya ngoma wanajua kuandaa reports kwa ajili ya kumfurahisha donor tu, bila kuzingatia impacts waliyopelekea kwenye jamii, huku situation inazidi kuwa mbaya.

Lengo la NGOs za UKIMWI ni like lile ambalo halijaandikwa, yaani ni sehemu ya kuboresha uchumi na maisha ya watu wa hizo NGOs kuliko wahanga.
wa kulaumiwa siyo NGOs pekee, pia serikali , sababu ndiyo inaweka mazingira hayo, wasimamizi wa vitengo serikalinibwanazituhumu NGOs kupewa hela nyingi ambazo wanakul wenyewe halafu wanataka rating ya serikali. NGOs zina lazimika ku comply na unofficial demands za waenye mamlaka na hapo zinaamua kushiriki dhambi ili ziwe salama kwa kpewa ratings, wanatafuta namna ya kuwakatia mafungu kupitia tenders, tranings, capacity buildings na supervision, ajira n.k.
Poleni sana mwe bandu ba Kyala
 
Mwezi uliopita niliwasema Vijana wa kiume wa Jiji la Arusha kwa lengo la kuisaidia jamii hii ijirekebisha na kutunza Tunu ya Vijana mbayo ni nguvu kazi ya Taifa.

Hata hivyo baada ya muda mchache nilifika Mkoa wa Lindi Wilaya ya Ruangwa kwa PM.

Wajameni tunahitaji intervention, hali inatisha.

Kwanza sifa ya mkoa huu ni hii

1. Mkoa huu kwa kutazama tu( obervation) una Wanawake wachache kuliko wanaume. Yaani si ajabu ukitembea ukakutana na wanaume 20 na mwanamke mmoja au hakuna kabisa. Utasema labda wanawake wanashinda majumbani.

Ukienda majumbani unakuta wanaume 6 , mwanamke Mmoja tena Mke wa Baba Mwenye nyumba.

2. Kutokana na sababu hiyo namba 1, wanawake huku wana thamani kubwa sana. Nawaonea huruma wanaum3 wa huku.

3. Wanawake hao wachache waliopo asilimia 70-90% ni Single mazas.
4. Hao Single mazas ukiwaona unaungiwa na huruma, wamechoka balaa. Maisha magumu mno.

Ni kawaida kukutana na wanawake umri kati ya 17 hadi 30 wakiwa kundi la watu 10-15 wote wamebeba watoto wachanga

Hali ni mbaya sana. Wanawake hawafurahii maisha ya ujana wao. At her 20yrs tayari ana watoto watatu, ameachwa, ana madeni.

Something has to be done aisee.
Ruangwa na lindi binti wa miaka 17 kama hajazaa anaanza kuwa na wasiwasi kuwa labda Hana kizazi
 
Back
Top Bottom