Kasimu Majaliwa: Polisi Mtafuteni Mmiliki wa Jengo

Kwa hio Police walikuwa wanaangoja amri ya kumtafuta mmiliki?
 
Unaweza kuta mwamba kashajipandia zake ndege huyooooooo ulayaa watampata wapi...............wenyewe walikuwa wanasubiria maagizo ndio wamkamate wakati na yeye alikuwa anacheki mchezo jinsi ya kujinasua patamu hapo..............hayaa
 
Unaweza kuta mwamba kashajipandia zake ndege huyooooooo ulayaa watampata wapi...............wenyewe walikuwa wanasubiria maagizo ndio wamkamate wakati na yeye alikuwa anacheki mchezo jinsi ya kujinasua patamu hapo..............hayaa
Mkono wa serikali ni mrefu na kuna uwezekano mpaka sasa akawa tayari mikononi
 
Hilo zoezi lilitakiwa lifanyike day 1, lakini kubali kuwa CCM ni ilele.

I will not declare my interest, reasons known by myself, neither provoke the situation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…