Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Kivipi Mkuu 😤😤😤Dah we jamaa chizi kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi Mkuu 😤😤😤Dah we jamaa chizi kweli
Kwani wewe mtu akikwambia chizi huwa unashangaa? Kwani wewe unajiona upo sawa. Wewe ni sawa na SAGAI GALGANO au Benjamini Netanyau ambao hawajitambuiKivipi Mkuu 😤😤😤
Dogo uwe na adabu Mimi ndio huwa natoa posho ya kuwalipa Machawa wa humu JF ukiwemo na weweKwani wewe mtu akikwambia chizi huwa unashangaa? Kwani wewe unajiona upo sawa. Wewe ni sawa na SAGAI GALGANO au Benjamini Netanyau ambao hawajitambui
We unamjua?Mmliki wa jengo kariakoo hajulikani au
Unamaanisha 🤴 Dully ???Mmiliki wa jengo usingizi umempaa...
Hakika Kila binadamu ana nyakati zake za shida duniani
Acha ujinga wako hapa wewe.tangia lini ninafanya kazi ya kulipwa kwa ajili ya kuandika humu.au umechanganyikiwaDogo uwe na adabu Mimi ndio huwa natoa posho ya kuwalipa Machawa wa humu JF ukiwemo na wewe
Namaanisha hana raha tangu jengo liangukeUnamaanisha 🤴 Dully ???
Mmiliki unamtafuta siku ya TatuEmbu tulia huko
Unaeza kuta ni mpangaji jengo kuu jeupe.Nilitegemea awe tayari kashachukuliwa maelezo, kumbe hata kumwita bado
Jamani ukiangalia kwenye system ya wilaya si unapata nina la mmiliki maana kibali cha ujenzi hakiwezi kutolewa bila faili la kiwanja na hati ya umiliki kufika wilayani. Mbona unaleta siasa kwenye kila kitu. Nyie mtajeni mmiliki mwiteni mahakamani au polisi. Ila kusema mmiliki mnatafuta huu ni uwongo.Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Waziri Mkuu wetu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mwalimu Kasimu Majaliwa ametoa maagizo kwa jeshi la Polisi kumtafuta mmiliki wa jengo ambalo limeanguka na kusababisha vifo vya karibu watu 15 mpaka hivi sana na majeruji kadhaa .
Waziri Mkuu ametoa maagizo hayo wakati wa shughuli ya kuaga miili ya wale waliopoteza Maisha katika tukio hilo la kuporomoka kwa jengo eneo la kariakoo.
Ila mimi Mwashambwa naona kumpata mmiliki ni rahisi tu pasipo hata kumtafuta zaidi ya kumpigia simu.Maana naamini mmiliki ni mlipa kodi na anayetambulika na TRA .ambako huko TRA kuna taarifa zake zote. Lakini nilikuwa nafikiria kuwa pengine mpaka muda huu au siku ya Leo ilitakiwa mmiliki awe ameshapatikana na kufahamika na kushikiliwa na hatua za awali zikawa zinaendelea hususani zile za mahojiano.
Japo mwingine unaweza kusema kuwa Mwashambwa huna akili utaanzaje kumhoji mtu badala ya kujielekeza katika uokoaji. Jibu ni kuwa serikali ni kubwa sana na yenye watu mbalimbali katika vitengo mbalimbali na wenye majukumu tofautitofauti ambapo siyo wote waliokatika eneo la uokoaji japo macho ,masikio yao yapo hapo hapo pia katika kufuatilia kila kinachoendelea.kwa hiyo zoezi la uokoaji linaweza kuendelea huku mahojiano pia yakiendelea kwa ajili ya kukusanya taarifa muhimu za awali.
Ndio Maana Rais wa Nchi hayupo Nchini lakini serikali nzima ipo eneo la tukio ikitekeleza kwa ufasaha na ufanisi maelekezo yake yote kikamilifu.na ndio maana Hata katika hotuba yake fupi Mheshimiwa Rais alitoa taarifa ya hadi idadi ya vifo na majeruhi na maelekezo aliyoyatoa kwa watendaji wa serikali yake na vyombo vya dola kama vile kwa jeshi la polisi na ofisi ya waziri Mkuu na taasisi zingine.
Mwisho niseme tu ya kuwa huu ni wakati wa kuungana kama watanzania kusaidiana katika kuwafikia wale walionasa chini ya jengo na ambao bado kuwafikia.kuwaombea ili Mungu aendelee kuwaweka hai.siyo wakati wa kulaumiana au kunyoosheana vidole vya lawama au kushutumiana. Ni muda wa kupigania kuokoa Maisha ya wale ambao wapo bado hai chini ya jengo walikonasa.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wasingeambiwa wasingemtafuta, lakini wapinzani wakisema wanaandamana selikari ya CCM huwa hawapati usingiziHili nalo hadi waagizwe 🐼
Huna akili wewe chawaSi unaona umepaniki tayari.
Tuna waziri mkuu wa hovyo sana.Mambo mengine ni ya aibu hata kusema
Hajakimbia, hii ni danganya toto msibani, mmiliki yupo central toka day oneWameshampa loop hole ya kusepa ndio wanatangaza sasa kumtafuta😂
Waliomuua Mzee Kibao vipi wameshakamatwa?Mkono wa serikali ni mrefu na kuna uwezekano mpaka sasa akawa tayari mikononi
Tulitegemea sasa hivi ungekuwa Kariakoo umeshaopoa hata majeruhi wawili, badala yake uko kweye keyboard unampongeza mama na kahawa pembeni!Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Waziri Mkuu wetu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mwalimu Kasimu Majaliwa ametoa maagizo kwa jeshi la Polisi kumtafuta mmiliki wa jengo ambalo limeanguka na kusababisha vifo vya karibu watu 15 mpaka hivi sana na majeruji kadhaa .
Waziri Mkuu ametoa maagizo hayo wakati wa shughuli ya kuaga miili ya wale waliopoteza Maisha katika tukio hilo la kuporomoka kwa jengo eneo la kariakoo.
Ila mimi Mwashambwa naona kumpata mmiliki ni rahisi tu pasipo hata kumtafuta zaidi ya kumpigia simu.Maana naamini mmiliki ni mlipa kodi na anayetambulika na TRA .ambako huko TRA kuna taarifa zake zote. Lakini nilikuwa nafikiria kuwa pengine mpaka muda huu au siku ya Leo ilitakiwa mmiliki awe ameshapatikana na kufahamika na kushikiliwa na hatua za awali zikawa zinaendelea hususani zile za mahojiano.
Japo mwingine unaweza kusema kuwa Mwashambwa huna akili utaanzaje kumhoji mtu badala ya kujielekeza katika uokoaji. Jibu ni kuwa serikali ni kubwa sana na yenye watu mbalimbali katika vitengo mbalimbali na wenye majukumu tofautitofauti ambapo siyo wote waliokatika eneo la uokoaji japo macho ,masikio yao yapo hapo hapo pia katika kufuatilia kila kinachoendelea.kwa hiyo zoezi la uokoaji linaweza kuendelea huku mahojiano pia yakiendelea kwa ajili ya kukusanya taarifa muhimu za awali.
Ndio Maana Rais wa Nchi hayupo Nchini lakini serikali nzima ipo eneo la tukio ikitekeleza kwa ufasaha na ufanisi maelekezo yake yote kikamilifu.na ndio maana Hata katika hotuba yake fupi Mheshimiwa Rais alitoa taarifa ya hadi idadi ya vifo na majeruhi na maelekezo aliyoyatoa kwa watendaji wa serikali yake na vyombo vya dola kama vile kwa jeshi la polisi na ofisi ya waziri Mkuu na taasisi zingine.
Mwisho niseme tu ya kuwa huu ni wakati wa kuungana kama watanzania kusaidiana katika kuwafikia wale walionasa chini ya jengo na ambao bado kuwafikia.kuwaombea ili Mungu aendelee kuwaweka hai.siyo wakati wa kulaumiana au kunyoosheana vidole vya lawama au kushutumiana. Ni muda wa kupigania kuokoa Maisha ya wale ambao wapo bado hai chini ya jengo walikonasa.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.