Kasimu Majaliwa: Polisi Mtafuteni Mmiliki wa Jengo

Kwani wewe mtu akikwambia chizi huwa unashangaa? Kwani wewe unajiona upo sawa. Wewe ni sawa na SAGAI GALGANO au Benjamini Netanyau ambao hawajitambui
Dogo uwe na adabu Mimi ndio huwa natoa posho ya kuwalipa Machawa wa humu JF ukiwemo na wewe
 
Jamani ukiangalia kwenye system ya wilaya si unapata nina la mmiliki maana kibali cha ujenzi hakiwezi kutolewa bila faili la kiwanja na hati ya umiliki kufika wilayani. Mbona unaleta siasa kwenye kila kitu. Nyie mtajeni mmiliki mwiteni mahakamani au polisi. Ila kusema mmiliki mnatafuta huu ni uwongo.
 
Huwa wanasepa hata miezi 3 kukipoa ndio anakuja kimya kimya......kumbuka huwa ma kada hawa
 
Yaaani ghorofa inaanza kujenga na serikali haijui mmiliki ni nani na yuko wapi? Kibali hakina majina yake? DUH
Hii ni danganya toto na uzembe mkubwa.
 
Tulitegemea sasa hivi ungekuwa Kariakoo umeshaopoa hata majeruhi wawili, badala yake uko kweye keyboard unampongeza mama na kahawa pembeni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…