Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
Kama kura xitaendelea kuibiwa na media zipo kimya ji hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kadri siku zinavyokwenda anazidi kuchanganyikiwa. Salama yake ni Mbowe kusalia kwenye uenyekiti, iwe kwa moto au kwa upanga.Kweli kabisa. Huyo jamaa siku hz anavuta bangi ya Arusha.
UPEPO UNAANZA KUGEUKA HARAKA MNO!
View: https://youtu.be/4bFvRvum5Ow
... UONGO HUPANDA LIFT WAKATI UKWELI HUPANDA NGAZI ... KWAKWELI!
🤣
Mbowe ameweka aibu sana. Kumbe Hana akili hata kidogo. Hata kumtetea ni aibu sanaMahojiano yalikuwaje wakuuu? Positive au negative? (
Kwani Kikeke siku hz anafanya kazi na media ipi?
Kwani hayo mahojiano yako wapi mbona sijayasikia mimi?Mbowe ameweka aibu sana. Kumbe Hana akili hata kidogo. Hata kumtetea ni aibu sana
Mimi sijui yapo wapi ila niliiona Crown tv kwenye kipindi Cha KasriKwani hayo mahojiano yako wapi mbona sijayasikia mimi?
Eti ana busara, kaingia mkenge kwa maswali ya kikekeMbowe ameweka aibu sana. Kumbe Hana akili hata kidogo. Hata kumtetea ni aibu sana
Mbowe ameongea kwa uchungu na maumivu sana kuhusu Lissu kugombra.Hakuna cha kusikiliza, mwamba akae pembeni...inatosha sasa eboo!!.
Mbowe sera zake ni zipi? Au kutimiza miaka 68 ndo astaafu?Kadri siku zinavyokwenda anazidi kuchanganyikiwa. Salama yake ni Mbowe kusalia kwenye uenyekiti, iwe kwa moto au kwa upanga.
..ukimsikiliza Yale mahojiano utagundua kitu, mbowe alikariri uwenyekiti ni wake milele, nampongeza lissu kwa kubadili GIA anganiMbowe ameongea kwa uchungu na maumivu sana kuhusu Lissu kugombra.
Kumbe Mbowe muonge, kule kuombwa kumbe ni cinema, mwamba hataki kung'ooka kabisa
..chadema mahali ilipo mungu tu ataisaidia, mbowe kaamua kukivuruga mwenyewe kwa uroho wa madarakaNaunga mkono, pia chadema haitagawanyika kwa sababu ya hao screpa
Jamaa kamtega kwamba lissu anampa tuhuma kitu ambacho sio, lissu anaweka hoja mezaniMbowe asigeenda ktk hayo mahojiano, kaboronga kweli.. akidhani atayemuhoji ni boya kumbe kaingia 18
Nadhani chawa wake Retired atakuwa na majibuMbowe sera zake ni zipi? Au kutimiza miaka 68 ndo astaafu?
HaahaaShoka limeungana na Mpini hii Hadi msitu uishe.
Mbowe hafai mara 1000, Bora ccm iendelee kutawala, tumegundua janja yakeLisu hafai
Hatujui hadi hapa plan ya Lissu ni ipi, sura ya Mbowe na sauti vimejaa sumu, Lissu akishinda ni Mungu aingilie kati na akishindwa atafukuzwa chama...ukimsikiliza Yale mahojiano utagundua kitu, mbowe alikariri uwenyekiti ni wake milele, nampongeza lissu kwa kubadili GIA angani