Nchi haindeshi kwa Mila na desturi so chocolate kinaweza kutokeaKwa mila na desturi za Nchi yetu, labda Majaliwa ashike kuanzia 2025 hadi 2030, kwani 2030 Rais ni lazima atoke Vatican.
Awe rais wa namungo fcAnafaa kuwa Rais wa Wasafi, Rais wa Simba SC, Rais wa Tandale, Rais.....!
Uongo haukuathiri wewe lofa kweli. Kwanza kajifunze kiswahili hakuna neno " Umekuathuli" pia umeshindwa hata kutamka neno Magufuli unasema "Maghufuli" huyo ni nani unayemsema wewe. Una dini wewe lofa? Hukumbuki dini zote zinakataza uongo.Huo uongo umekuathuli nini wewe kama mtanzania sana sana aliwapunguzia machungu vipenzi vya Maghufuli
Wewe hufai kuwa Rais?.Kuondoka kwa JPM na kuingia Madarakani kwa Rais SSH kwa Maana rahisi ni Kwamba Kama Taifa tumepoteza uwezekano wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuja kuwa Rais wa JMT .
Kwa Haraka haraka ndiye alikuwa Genuine choice after JPM akiachana dosari ndogo nogo za kisiasa .
Tutachomokaje kama Taifa kumpata mtu mzalendo, mwenye maamuzi magumu na kiongozi bora kama Kassim Majaliwa baada ya Muda wa Mama kuisha ?
Au tuvunje Utaaratibu uliozoleka ?
Nafaa mkuu sema sina ChamaWewe hufai kuwa Rais?.
Nimekuripoti subiri ukafungiwe, unaongea matusi, utakula matusi yako.Kafilw... huko kama kawaida yako , povu linakutoka kwa wivu kwa kua Majaliwa ni presidential Material πΉπΉπΉπΉπΉπΉ
Haototokea!This time tunataka Rais muhindi/Patel ambaye ni mzawa
Uta mpa wewe na familia yako, sisi tulio hitumu vyuoni na wamachinga hatwezi kumpa
Hahaa msukuma mshamba mshamba na sio mjuaj hana tamaa na hawajasoma siku jichanganyen mumpe mchaga mtajuta au mhayaMbona hujataja wasukuma ambao ndio kabila kubwa zaidi kuliko hao wachaga ?
Wachaga wanaukubwa gani kwa mfano?
Au ukubwa unauongelea interms of nini Kwa mfano?
Ukubwa kwa maana linalongoza kwa kusambaaa na kujikita katika shughul flan za kiuchumi yaan country wide wachaga ndio kabila la kwanza kutoka kwao na kwenda kwa wengine kusaka ridhik kwa ukubwa yaan walianza kufungua maduka kila kona ya nch kama wahind walivyotoka kwao au wazungu walivyotoka kwao kuja kuchuma mali kwetu ndio mchaga alivyotoka kwao kwenda kuchuma mali kweingine kwa ukubwa huo ndio ukubwa wakurya walitoka ila sema mkurya na msukuma the same sema shule tu inawaangusha na sio wajanja wajnja kama wahaya wachagaMbona hujataja wasukuma ambao ndio kabila kubwa zaidi kuliko hao wachaga ?
Wachaga wanaukubwa gani kwa mfano?
Au ukubwa unauongelea interms of nini Kwa mfano?
Waziri Mkuu to Rais π π π π kazi sanaaa hapo , Meja alishakosea timing ingawa ana haiba ya kuwa Rais ila haiwezekani.. Hesabu zinakataa kata kataaaAende Zanzibar akapumzike ila majaliwa uhakika yupo serious na kazi
Tungekuwa na mfumo mzuri tungefika mbali.Tatizo mnaangalia watu badala ya mifumo.